WANANCHI WATOA MAONI YAO KUELEKEA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWL.NYERERE

WANANCHI WATOA MAONI YAO KUELEKEA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MWL.NYERERE

Like
388
0
Monday, 13 October 2014
Local News

 

Kuelekea kuadhimisha siku ya Kumbukumbu Kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu JULIUS NYERERE Taasisi ya Mwalimu Nyerere foundation, Makumbusho ya Taifa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania-JWTZ wameandaa maonyesho na mdahalo wa kumuenzi Baba wa Taifa ili kujenga, kulinda na kudumisha amani ya nchi.

Mdahalo huo pamoja na maonesho kwa pamoja vitafanyika katika jumba la Makumbusho jijini Dar es salaam kuanzia Oktoba 13 hadi 17 baadhi ya Watanzania wamekua na maoni tofauti juu ya namna ambavyo wanamkumbuka na kumuenzi Mwalimu Nyerere.

Comments are closed.