Waziri Mwakyembe Anogesha final ya Shika Ndinga 2018

Waziri Mwakyembe Anogesha final ya Shika Ndinga 2018

Like
1088
0
Sunday, 20 May 2018
Shika Ndinga

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi wa kilele cha shindano la Shika Ndinga 2018 akionyesha mfano wa kushika ndinga kwa washiriki

kutoka Kushoto Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ambaye ndiye alikuwa Mgeni rasmi wa kilele cha shindano la Shika Ndinga 2018 akifuatiwa na Meneja Mkuu E-fm & Tv E, Dennis Ssebo pamoja na Mhariri Mkuu Vipindi vya Redio na Tv E Scholastica Mazula wakiwa kwenye meza kuu

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *