Yanga Sc Dimbani Leo Dhidi ya Gor Mahia ya Kenya

Yanga Sc Dimbani Leo Dhidi ya Gor Mahia ya Kenya

1
724
0
Wednesday, 18 July 2018
Sports

Yanga Sc leo inashuka dimbani kupambana na Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika.

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa majira ya saa moja jioni jijini Nairobi, Kenya

Tutarajie matokeo ya aina gani kwenye mchezo huo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *