Global News

Ajali ya Treni yaua 20 Misri
Global News

Watu 20 wamekufa na wengine 40 kujeruhiwa baada ya kutokea ajali ya treni katika njia kuu ya treni nchini humo. Tukio hilo limetokea baada ya treni hiyo kugonga kizuizi cha kupunguza kasi, katika kituo kimoja cha treni katikati ya mji. Ajali hiyo imesababishwa na kulipuka kwa tanki la mafuta la treni hiyo, hali iliyosababisha majengo ya jirani pia kuungua. chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana, lakini saa chache baadaye, Waziri anayeshughulika na usafiri Hisham Arafat alijiuzulu. Watu walioshuhudia ajali hiyo...

Like
877
0
Thursday, 28 February 2019
Wakili wa zamani wa Trump aliambia bunge kuwa rais huyo wa Marekani alipanga uongo
Global News

Wakili wa zamani wa rais wa Marekani Donald Trump, Michael Cohen amedai kwamba kiongozi huyo alimtaka adanganye kuhusu mpango biashara kuhusu biashara ya ujenzi wa jengo mjini Moscow wakati wa kampeni ya uchaguzi wake. Katika ushahidi alioutoa bungeni, Cohen amesema Trump aliratibu mipango ya siri kwa ujenzi wa jengo kubwa, hata wakati alikana kuhusika na biashara yoyote Urusi. Ameeleza pia kwamba Trump alifahamu kuhusu kufichuliwa kwa barua pepe zilizodukuliwa za chama cha Democrat na amemuita kiongozi huyo “mbaguzi”,...

Like
599
0
Thursday, 28 February 2019
Marekani yaeleza ilivyowachapa Al-Shabaab Jumapili
Global News

Jeshi la Marekani jana lilisema kuwa limefanya mashambulizi ya anga nchini Somalia na kufanikiwa kuwaua wapiganaji 35 wa kundi la kigaidi la Al Shabaab. Marekani imekuwa ikifanya mashambulizi mara kadhaa dhidi ya Al Shabaab kwa lengo la kuviunga mkono vikosi vya Umoja wa Mataifa vinavyoendelea kuisaidia Serikali ya Somalia kupambana na Al Shabaab kwa miaka kadhaa sasa. Kupitia tamko lake, Kamandi ya Marekani nchini Afrika imeeleza kuwa ilifanya mashambulizi hayo Jumapili katika eneo lililo karibu na Beledweyne mkoani Hiran nchini...

Like
578
0
Tuesday, 26 February 2019
Nigeria yasuburia matokeo ya uchaguzi
Global News

Kura zinaendelea kuhesabiwa nchini Nigeria kufuatia uchaguzi mkuu wa nchi hiyo,Hata hivyo upigaji kura ulisogezwa kufikia siku ya pili katika maeneo machache Kutokana na hitilafu ya mambo,kutokukamilika kwa mipango na vurugu katika baadhi ya maeneo uchaguzi umesogezwa mpaka hapo baadae. Raisi Muhamadu Buhari mwenye miaka 76 anatetea kiti chake kwa awamu ya pili .Mpinzani wake mkuu ni Makamu wa Rais wa zamani Atiku Abubakar, 72. Uchaguzi ulitakiwa kufanyika juma moja lililopita na baadae kuahirishwa katika dakika za lala salama Kwa...

Like
515
0
Monday, 25 February 2019
alinusurika kunyongwa mara tatu
Global News

Katika hukumu ya kifo nchini Malawi,Byson Kaula alikuwa karibu anyongwe mara tatu lakini kila zamu yake ilipofika, mnyogaji aliacha kunyonga na kudai kuwa amechoka kabla hajamaliza watu wote ambao waliokuwa kwenye orodha yake. Hivyo kutokana na kuhairishwa huko Kaula aliweza kunusurika kifo mpaka taifa hilo lilipoacha kutoa adhabu ya kunyonga. Byson Kaula anasema kuwa ni jirani zake wenye wivu ndio walihusika kusababisha yeye apatikane na hatia ya uuaji. Ilikuwa mwaka 1992, wakati aambapo mtu akiua hukumu ya kunyongwa ilikuwa ni...

3
1856
0
Thursday, 21 February 2019
Atapokonywa uraia kwa kuwa mfuasi wa Islamic State
Global News

Shamima Begum, aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa Islamic State nchini Syria akiwa na miaka 15, atapoteza uraia wake Uingereza. Duru kutoka serikalini zilisema inawezekana kumvua uraia msichana huyo mwenye umri wa miaka 19 raia wa Uingereza kwasababu ana nafasi ya kupata uraia wa nchi nyingine. Wakili wa familia yake, kwa uamuzi huo na wanatathmini ‘njia zote kisheria’ kukabiliana na hatua hiyo. Begum, aliyeondoka London mnamo 2015, alisema anataka kurudi nyumbani. Alipatikana katika kambi ya wakimbizi nchini Syria wiki...

Like
577
0
Wednesday, 20 February 2019
Mbunge ajiuzulu baada ya kuiba mkate
Global News

Mbunge mmoja nchini Slovenia amejiuzulu baada ya kuiba mkate maarufu ”sandwich” katika duka moja kwa madai kuwa wahudumu wa sehemu hiyo walimpuuzia. Darij Krajcic ameviambia vyombo vya habari vya ndani kuwa alipuuzwa na wafanyakazi wa duka hilo na walikua wakiendelea na shuguli zao. Hakujilakana kama ameiba lakini baadae baadhi ya wanachama walisisitiza arudi kulipa pesa ya mkate huo. Krajcic ameomba msamaha na kusema kuwa anajutia kitendo alichokifanya. Suala lake la kuiba lilisambaa baada ya kuwaambia wabunge wengine wakati wa...

Like
656
0
Friday, 15 February 2019
Polisi Kenya wadai kifo cha mwanaharakati maarufu Caroline Mwatha huenda kimesababishwa na kutoa mimba
Global News

Polisi nchini Kenya wamesema kuwa uchunguzi wa awali uanaonesha kuwa kifo cha mwanaharakati maarufu Caroline Mwatha kimetokana na kutoa ujauzito wa miezi mitano. Mara ya mwisho kwa mawanaharakati huyo kuonekana hai ilikuwa Jumatano ya wiki iliyopita kabla ya mwili wake kugunduliwa kwenye chumba cha kuhifadia maiti cha City Mortuary mjini Nairobi. Caroline Mwatha ni mwanaharakati aliyefanya kazi katika shirika la haki la kijamii katika kitongoji cha Dandora mjini Nairobi, shirika linalonakili visa vya mauaji ya kiholela yaliotekelezwa na...

Like
490
0
Wednesday, 13 February 2019
Urusi ‘kuzima intaneti ili kujilinda na maadui’
Global News

Urusi inajipanga kuzima mtandao wa intaneti kwa muda, na hivyo kujitoa kwenye mawasiliano na dunia kama sehemu ya majaribio yake ya kujikinga dhidi ya mashambulio ya kimtandao. Zoezi hilo litafanya mawasiliano baina ya raia na mashirika ya Urusi kubaki ndani ya nchi badala ya ya kupitia njia za kawaida za kimtandao kimataifa. Rasimu ya sheria ya kuruhusu mabadiliko ya kiufundi ili kuiwezesha nchi hiyo kuendesha mtandao wake wenyewe iliwasilishwa bungeni mwaka jana. Jaribio hilo linatarajiwa kufanyika kabla ya tarehe mosi...

Like
502
0
Tuesday, 12 February 2019
Trump atangaza mkutano mwingine na rais Kim Jong-un wa Korea kaskazini
Global News

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza katika hotuba yake kwamba ataanda mkutano wa pili kujadili masuala ya nyuklia na kiongozi wa Korea kaskazini mwezi huu. Katika hotuba kwa taifa iliyoambatana na kauli mbiu “Choosing Greatness”, aliapa kwa mara nyingine kujenga ukuta mpakani. Huku akihimiza umoja, kiongozi huyo wa Republican pia amesema jitihada za ‘uchunguzi ulio na upendeleo’ wa Democratic huenda ukaathiri ustawi wa Marekani. Kwa ukali, wanachama wa Democrat wamemshutumu Trump kwa kupuuza maadili ya Marekani....

Like
648
0
Wednesday, 06 February 2019
Maisha yaliobadilika kwa mwanamke aliyeugua saratani kwa miaka 9
Global News

Millicent Kagonga, ameugua saratani ya mlango wa uzazi kwa miaka 9, na anasema maisha yake hayajakuwa rahisi. Saratani ya mlango wa uzazi inaweza kusababishwa kwa maambukizi ya virusi vya Human Papillomavirus au HPV, na aina hii ya virusi huambukizwa kwa njia ya kujamiiana. Alianza kuhisi kwamba ana tatizo alipojifungua mtoto wake wa tatu akiwa na miaka 20, ambapo alianza kutokwa na uchafu katika sehemu za siri lakini hakujua ulikuwa ni ugonjwa gani. “Baada ya muda nikaanza kuvuja damu na hapo...

Like
501
0
Monday, 04 February 2019