Aliyejioa Uganda atimiza nusu ya malengo

Aliyejioa Uganda atimiza nusu ya malengo

Like
619
0
Monday, 15 October 2018
Global News

Lulu Jemimah: Apata nusu ya ada Oxford baada ya kujioa Uganda

Lengo la Lulu Jemimah, 32, ni kuionesha jamii yake kuwa inawezekana kufikia malengo kimaisha bila ya msaada wa mume.

Hata baada ya kujioa mwezi Agosti mwaka huu jijini Kampala Uganda, Bi Jemimah alikuwa anachangamoto moja ya kutafuta ada ya kumalizia masomo ya uzamili.

Mwanamke huyo anasoma chuo maarufu cha Oxford, kilichopo Uingereza. Kumalizia mwaka wa pili wa masomo yake, anahitaji pauni 10,194.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *