Erasto Nyoni kuitwa taifa stars

Erasto Nyoni kuitwa taifa stars

Like
1198
0
Monday, 15 October 2018
Local News

Nyota wa Simba SC Erasto Nyoni ameitwa kikosi cha Taifa Stars kitachoshuka dimbani jumanne ijayo kucheza mechi ya Marudiano na Cape Verde katika mbio za kwenda Cameroon kucheza AFCON 2019.

Nyoni anachukua nafasi ya Hassan Kessy ambaye ataukosa mchezo huo kwa kuwa na kadi mbili za njano.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *