Ballon d’Or: Sergio Aguero na Gareth Bale miongoni mwa wanaoshindania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka duniani

Ballon d’Or: Sergio Aguero na Gareth Bale miongoni mwa wanaoshindania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka duniani

1
759
0
Monday, 08 October 2018
Sports

Mshambuliaji wa Manchester City Sergio Aguero, kipa wa Liverpool Alisson, mshambuliaji wa Real Madrid Karim Benzema na straika wa Paris St-Germain Edinson Cavani ni miongoni mwa wachezaji walioteuliwa kushindania tuzo ya Ballon d’Or mwaka huu.

Mshambuliaji wa Wales Gareth Bale anayechezea Real Madrid pia ameorodheshwa kushindania.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *