Kwa nini huwa vigumu kwa Waafrika kuzuru mataifa ya Afrika wakilinganishwa na Wazungu na raia wa nchi za nje

Kwa nini huwa vigumu kwa Waafrika kuzuru mataifa ya Afrika wakilinganishwa na Wazungu na raia wa nchi za nje

1
599
0
Monday, 08 October 2018
Global News

Mfanyibiashara tajiri zaidi barani Afrika Aliko Dangote, amesema kuwa anahitaji hati 38 za kusafiria mataifa tofauti barani akitumia pasipoti yake ya Nigeria.

Licha ya hayo raia wengi wa mataifa ya bara Ulaya wanaruhusiwa kuzuru mataifa ya Afrika bila hati ya usafiri, yaani visa.

Mataifa ya Kiafrika yalitakiwa kufutilia mbali masharti ya visa kwa wananchi wote wa Afrika kufikia mwaka 2018.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *