Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuingia DRC kukabiliana na Ebola

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuingia DRC kukabiliana na Ebola

Like
339
0
Thursday, 04 October 2018
Global News

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linafanya ziara ya dharura kuelekea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia mapigano makali nchini humo ambayo yametatiza jitihada za kudhibiti kuzuka kwa virusi vya Ebola.

Baraza hilo lenye wanachama 15 pia imeonya kuenea kwa Ebola kwa nchi za jirani na kuifanya kuwa vigumu zaidi kudhibiti.

Ugonjwa huo umeua watu zaidi ya mia moja tangu Agosti 1.

Mapigano makali kati ya makundi yaliyojihami katika mji wa Beni Mashariki mwa nchi yamewalynga pia wahudumu wa afya wa Umoja wa Mataifa na kupunguza kasi ya vita kuzuia kuenea kwa Ebola nchini DRC.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *