Naby Keita: Nyota wa Liverpool alazwa baada ya kuumia akiwa uwanjani dhidi ya Napoli UEFA

Naby Keita: Nyota wa Liverpool alazwa baada ya kuumia akiwa uwanjani dhidi ya Napoli UEFA

Like
797
0
Thursday, 04 October 2018
Sports

Kiungo wa kati wa Liverpool Naby Keita alikimbizwa hospitalini baada ya kuondolewa uwanjani kwa machela alipoumia akicheza mechi ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Napoli hatua ya makundi.

Liverpool walilazwa 1-0 ugenini Italia.

Keita, aliyejiunga na klabu hiyo kutoka RB Leipzig ya Ujerumani kwa £48m majira ya joto mwaka huu, aliondolewa uwanjani baada ya kucheza dakika 19 pekee. Aliumia mgongoni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *