Local News

HILLARY CLINTON AKATAA KUSHIRIKI MDAHALO DHIDI YA SANDERS
Local News

MGOMBEA urais wa Marekani anayeongoza katika kinyang’anyiro cha kumteua mgombea wa chama cha Democratic Hillary Clinton amekataa kushiriki mdahalo wa nne dhidi ya mpinzani wake Bernie Sanders. Maafisa wake wa kampeni wamesema, Bi Clinton ameamua kuwa ni vyema kutoshiriki mdahalo huo na badala yake akabiliane na mgombea mtarajiwa wa chama cha Republican Donald Trump. Awali Bi. Clinton alikuwa amekubali kushiriki mdahalo wa mwisho kabla ya mchujo muhimu katika jimbo la California na katika majimbo mengine matano wiki mbili...

Like
229
0
Tuesday, 24 May 2016
WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI WATAKIWA KUSHIRIKIANA VYEMA
Local News

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wametakiwa kushirikiana vyema ili kuunda nguvu ya pamoja itakayosaidia kuharakisha maendeleo ya nchi kwa ufanisi zaidi.   Wito huo umetolewa na Chama cha Mapinduzi Zanzibar na kusema kuwa utendaji mzuri wa viongozi hao ndani ya Baraza hilo ndiyo utakaoweza kukirahisishia kazi Chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.   Akifafanua suala hilo, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai amesema ushirikiano baina yao pia utaongeza ufanisi wa kusimamia vyema shughuli za baraza kulingana na...

Like
217
0
Tuesday, 24 May 2016
CHAWATA SERIKALI KUSIMAMIA SHERIA NA KANUNI ZA USALAMA BARABARANI
Local News

CHAMA cha Walemavu Tanzania-CHAWATA-kimeitaka Serikali kupitia kikosi cha usalama barabarani kusimamia sheria na kanuni za usalama barabarani ili kunusuru vijana wanaopata ulemavu kupitia ajali zinazotokana na usafiri wa bodaboda.   Akizungumza na EFM Mweyekiti wa CHAWATA John Mlabu amesema tangu kuanza kwa biashara ya usafiri wa bodaboda Nchini kumekuwa na ongezeko kubwa la watu wenye ulemavu ambao baadae wanakuwa tegemezi kwa Taifa badala ya kuwa ni wazalishaji.   Aidha amewataka madereva wa magari pamoja na wa bodaboda kufuata...

Like
364
0
Tuesday, 24 May 2016
KIBOKO ALIYETISHIA MAISHA YA WATU AULIWA KIJIJI CHA MAGUNGA, IRINGA
Local News

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela aliongoza kikosi cha wananchi na maafisa wa wanyama pori kumsaka Kiboko aliyevamia mazao ya wananchi na kutishia maisha ya wananchi hao wa kijiji cha Magunga tarafa ya Kiponzelo. Kiboko huyo alijificha kwenye eneo ambapo wananchi wa kijiji hicho waliogopa kutembea kufanya shughuli za kilimo. mnamo saa 10 na nusu jioni kiboko huyo alipatikana na kuuawa na baadae wananchi kugawiwa nyama yake. Ilikuwa kazi ngumu kumtoa kwenye dimbwi alilo angukia baada ya kuuawa kwa...

Like
441
0
Tuesday, 24 May 2016
TANGA: WAJASIRIAMALI WADOGO WAIOMBA OSHA KUTOA SEMINA YA MAFUNZO KILA MARA
Local News

WAJASIRIAMALI Wadogo Jijini Tanga wameiomba wakala wa afya na usalama pahala pa kazi (OSHA) kutoa semina ya mafuzo kila mara hapa Nchini.   Wakizungumza na EFM RADIO baada ya kumalizika semina hiyo jana atika ukumbi wa mkuu wa mkoa, baadhi ya wajasiriamali hao wameishukuru OSHA kwa kutoa mafunzo hayo ambayo yatasaidia kwa kiasi kikubwa kuweza kujikinga na madhara yanayoweza kuzuilika atika jamii.   Kwa upande wake AKWILINA KATUMBA ambaye ni mtendaji mkuu wa wakala wa afya na usalama pahala pa kazi, amesema kuwa madhumuni makubwa...

Like
308
0
Monday, 23 May 2016
DOKTA MAKONGORO MAHANGA ASIKITISHWA NA TAARIFA YA KUZUSHIWA KIFO
Local News

ALIYEKUWA Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana,katika serikali ya awamu ya nne, Dokta  Makongoro Mahanga, amesema amesikitishwa na uvumi wa taarifa kuwa amefariki dunia. Akizungumza kwa njia ya simu na Efm Habari, Dokta Mahanga amesema hata yeye hajui ni nani ametoa taarifa hizo ambazo siyo za kweli na amewaomba watanzania kuitumia vyema mitandao badala ya kuibuka na taarifa ambazo hazina...

Like
266
0
Monday, 23 May 2016
TFDA YAKUTANA NA WADAU WA USALAMA WA CHAKULA
Local News

MAMLAKA ya chakula na dawa-TFDA  imekutana na adau mbalimbali wa usalama wa chakula na dawa kutoka nchi 12 za bara la Africa ikiwemo Tanzania kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa kiutendaji kazi utakaochangia kutatua changamoto zinazoikabili mamlaka hiyo.   Akizungumza jijin dar es salaam, Mkurugenzi mkuu wa TFDA HIIT SILLO amesema kuwa kupitia mkutano huo wadau wataweza kuchambua ubora wa maabara zinazozingatia viwango vya upimaji vya vakula, dawa pamoja na viwango vya uchunguzi wa vyakula.   Hata hivyo sillo ametoa...

Like
257
0
Monday, 16 May 2016
ANUSURIKA KIFO KWA KUDHANIWA NI JAMBAZI
Local News

KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhani Saidi mwenye umri wa miaka 20 mkazi wa kijiji cha Manyinga Turiani Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro amenusurika kifo baada ya kupigwa risasi na askari wa jeshi la polisi wakati wakiwa doria usiku wa kuamkia leo. Mkuu wa upelelezi wilaya ya mvomero ASP Peter Majengo akizungumza na wananchi waliokusanyika katika hospitali hiyo amesema tukio hilo lilitokea usiku wakati askari wakiwa doria na walipomuona walimsimamisha kijana huyo na kumtilia shaka kuwa ni jambazi ndipo...

Like
309
0
Monday, 16 May 2016
MAKONDA: WANAWAKE CHANZO CHA UFISADI NCHINI
Local News

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema wanawake wamekuwa ni chanzo cha ufisadi nchini kutokana na kupokea zawadi zitokanazo na fedha za kifisadi. Makonda aliyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Mnyamani Vingunguti Jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wa kujadili namna ya kupata mikopo mbalimbali kutoka Benki ya Wananchi Dar es Salaam (DCB). Makonda amewaambia wanawake hao kuwa hata katika suala la usafi linaanzia na malezi ya usafi ya akina mama kwa watoto...

Like
322
0
Monday, 16 May 2016
DAWASCO YAAHIDI KUENDELEA KUSAMBAZA HUDUMA YA MAJI DAR
Local News

KATIKA kutekeleza agizo la serikali la kuwafikia wateja laki 4 ifikapo June mwaka 2016 Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es salaam (Dawasco) limesema linaendelea na zoezi la uunganishaji wa huduma ya Maji kwa wananchi wote wa jiji la Dar es salaam. Akizungumza na waandishi wa habari Afisa mtendaji mkuu wa Dawasco, Mhandisi Cyprian Luhemeja ameeleza kuwa kwenye awamu hii ya zoezi la uunganishaji wateja wapya shirika litagharamia gharama zote za maunganisho ambazo ni gharama za uunganishaji mabomba na vifaa...

Like
223
0
Tuesday, 10 May 2016
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KUMUWAKILISHA RAIS UINGEREA
Local News

WAZIRI mkuu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Kassim Majaliwa anatarajiwa kuondoka nchini leo kwenda London nchini Uingereza kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi kuhusu mapambano dhidi ya rushwa.   Akizungumza na waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam, Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa anaenda kumuwakilisha Mheshimiwa Rais kwa sababu siku hiyo ya mkutano atalazimika kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Yower Museven   Akizungumzia kuhusu suala la kupambana na rushwa waziri Mkuu amesema kuwa Tanzania inafanya jitihada...

Like
853
0
Tuesday, 10 May 2016