Global News

Zuckerberg aomba radhi kwa sakata la Cambridge Analytica
Global News

Zuckerberg aomba radhi kwa sakata la Cambridge Analytica Mmiliki wa kampuni ya Facebook Mark Zuckerberg amevunja kimya cha siku tano tangu lilipofichuliwa sakata la kutumika data za watumiaji wa Facebook, kwa kusema kampuni yake ina wajibu wa kulinda data za watumiaji wake. Zuckerberg amesema kuwa Facebook, ambao ni mtandao wa kijamii unaoongoza kwa kuwa na watumiaji wengi duniani, umechukua hatua kadhaa kuzilinda data hizo huku akikiri kuwa walifanya makosa na wanahitaji kuchukua hatua madhubuti kurekebisha makosa hayo. Kauli yake inakuja...

Like
258
0
Thursday, 22 March 2018
Josephine Majani: Mwanamke aliyedhalilishwa akijifungua Bungoma, Kenya kulipwa $25,000
Global News

Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru mwanamke aliyeteswa na kudhalilishwa wakati wa kujifungua hospitalini alipwe fidia ya jumla ya dola 25,000 za Marekani. Mwanamke huyo alidhalilishwa miaka mitano iliyopita katika kisa ambacho kilizua lalama kutoka kwa raia na watetezi wa haki za kibinadamu baada ya kuangaziwa kwenye vyombo vya habari na mtandaoni. Jaji wa mahakama kuu ya Bungoma, magharibi mwa Kenya, Abida Aroni alisema mamlka ya afya nchini Kenya ilikiuka haki za kimsingi za Josephine Majani alipotengwa na kukosa kuhudumiwa wakati...

Like
418
0
Thursday, 22 March 2018
Ahed Tamimi: Binti Mpalestina aliyemzaba kofi mwanajeshi wa Israel afungwa jela
Global News

Binti mmoja wa Kipalestina aliyekamatwa baada ya kumchapa kofi mwanajeshi, Msichana huyo Ahed Tamimi alikiri kuwa na hatia kwa makosa manne aliyokuwa akishtakiwa kati ya 12 yaliyokuwa yakimkabili, ikiwemo shambulio la mwili, wakili wake ameeleza. Kadhalika, atalipa faini ya shekeli 5,000 sawa na dola 1,440 . Binti huyo mwenye miaka 17 alikamatwa baada ya kunaswa kwenye picha ya video akiwakabili wanajeshi wawili nje ya nyumba yake mwezi Desemba. Uamuzi wa mahakama unamaanisha kuwa ataachiwa huru kipindi cha majira ya joto...

Like
461
0
Thursday, 22 March 2018
RAISI WA PERU KUJIUZULU
Global News

Rais wa Peru Pedro Pablo Kuczynski amepata kuwasilisha barua yake ya kujihuzulu bungeni hapo jana. Hii ni kutokana na tuhuma za kununua kura zinazomkabili na serikali yake, Amefanya hivyo kutokana na mchakato uliopambana moto wa kutaka kumng’oa...

Like
466
0
Thursday, 22 March 2018
Marekani yaweka vikwazo kwa watendaji 15 wa mafuta wa Sudan Kusini
Global News

Marekani Jumatano imeweka vikwazo kwa watendaji 15 wa mafuta wa Sudan Kusini ambao imesema walikuwa vyanzo muhimu cha fedha kwa serikali, hatua ambayo inalenga kuongeza shinikizo kwa rais Salva Kiir kumaliza mgogoro na mzozo wa kibinadamu nchini kwake. Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters makampuni na taasisi za serikali huenda katika siku za mbeleni zikahitaji leseni maalum ya kufanya biashara nchini Marekani, wizara ya mambo ya nje ya Marekani imesema. Serikali ya Sudan Kusini na maafisa ambao ni...

Like
337
0
Thursday, 22 March 2018
May aunga mkono uchunguzi dhidi ya Cambridge Analytica
Global News

Waziri wa Mkuu wa Uingereza Theresa May Jumatano ameunga mkono uchunguzi dhidi ya kampuni ya utafiti ya Cambridge Analytica, katikati ya mgogoro unaoikabili kwa madai ya kutumia vibaya takwimu za mtandao wa Facebook. “Kile tulichokiona katika kampuni hiyo ya Cambridge Analytica, shutuma hizo ni wazi kabisa zinatia wasiwasi, ni sawa kabisa kwamba ni lazima uchunguzi kamili ufanyike,” May ameliambia Bunge la Uingereza. Amesema kuwa hafahamu kama kulikuwa na mikataba yoyote kati ya serikali na kampuni ya Cambridge Analytica au makampuni...

Like
294
0
Wednesday, 21 March 2018
WANAFUNZI WA KIKE 110 WAACHIWA NA BOKO HARAM
Global News

...

Like
504
0
Wednesday, 21 March 2018
Marais wa nchi za Kiafrika huko makao makuu ya Umoja wa Afrika, Addis Ababa, Ethiopia
Global News

  Marais 27 wa bara la Afrika Jumatano wamesaini makubaliano ya kuanzisha soko huria barani Afrika huko nchini Rwanda. Pia marais hao wamepongeza uamuzi huo na kusema kuwa hiyo ni hatua ya mwanzo kabisa ya kuleta mapinduzi ya kujikwamua kiuchumi katika bara hilo. Rais wa Rwanda Paul Kagame ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) amesema kwamba ufanisi wa makubaliano haya utategemea zaidi utekelezaji wa mikataba ya umoja wa kanda ambayo imekuwepo kwenye bara hilo kwa miaka mingi...

Like
497
0
Wednesday, 21 March 2018
MABOMU YA MACHOZI BUNGENI
Global News

  WABUNGE WA UPINZANI WATINGA NA MABOMU YA MACHOZI BUNGENI Wabunge wa upinzani nchini Kosovo wamerusha mabomu ya machozi katika ukumbi wa bunge nchini humo wakiwa na lengo la kukwamisha mpango wa kupiga kura za maoni juu ya makubaliano ya mpangilio wa mpaka kati ya Kosovo na Montenegro. Mpango huo uliotakiwa kuanza jumatano ya leo ulikwama baada ya Wabunge hao wa Chama cha Self-Determination Movement kulazimisha wabunge kutawanyika na kutoka nje ya Bunge. Jumla ya kura 120 zilitarajiwa kukusanywa bungeni...

Like
408
0
Wednesday, 21 March 2018
Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mwenyekiti wa NHC na Kuvunja Bodi ya NHC
Global News

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (National Housing Corporation – NHC) Bi. Blandina Nyoni kuanzia leo tarehe 21 Machi, 2018. Pia Mhe. Rais Magufuli ameivunja Bodi ya NHC kuanzia leo. Uteuzi wa Mwenyekiti na bodi nyingine utafanyika baadaye. Gerson Msigwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU Dar es Salaam 21 Machi,...

Like
344
0
Wednesday, 21 March 2018
VLADIMIR PUTIN ASHINDA TENA KITI CHA URAIS KWA KISHINDO
Global News

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameibuka mshindi kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine ujao wa miaka sita baada ya kujipatia ushindi mkubwa.Ushindi huo ulitarajiwa katika upigaji kura uliomalizika siku ya jumapili.Hata kabla ya kura zote kuhesabiwa tayatri alikuwa amejizolea asilimia 76 kwa mjibu wa tume ya uchaguzi. Akizungumza katika mkutano wa kutangazwa mshindi amsema ushindi wake ni matokeo ya hatua kubwa ya mafanikio aliyoyafikia katika uongozi wake. Putin ameongeza kuwa hii ni uthibitisho wa kukubalika kwa sera zake na kwamba...

Like
447
0
Monday, 19 March 2018