Slider

CRISS BROWN KWENYE UTATA NA TMZ
Entertanment

Mkali wa ngoma zinayofanya vizuri kwa sasa New frame na loyal Criss brown jana kupitia mtandao wa Instagram alimtukana meneja wa TMZ mtandao unaotoa ripoti na tetesi za mastar huko marekani.                     Criss brown alimtukana CEO . Harvey Levin kwa kumuita shetani na kumtaka aache kumfuatilia mara moja. Criss Brown amedai meneja huyo amekuwa akimfuatilia kwa miaka kadhaa kwa lengo la kumshusha. Hii inakuja siku chache baada ya mtandao huo kuchapisha habari...

Like
371
0
Tuesday, 30 September 2014
Je Mugabe atamrithisha mkewe mamlaka?
Global News

            Hivi karibuni kumekuwa na swali ambalo linawatatiza watu wengi hususani raia wa Zimbabwe kufuatia mtukio ya rais wa nchi hiyo kumkabidhi mkewe nyazfa mbalimbali za juu kiutawala. Kuzaliwa kwa utawala wa kinasaba sio jambo jepesi kubashiri. Lakini wananchi wengi wa Zimbabwe kwa sasa wanaonekana kushawishika kuwa kuna uwezekano wa familia ya Mugabe kuingia katika orodha hiyo ya kurithishana madaraka. Rais Mugabe ana umri wa miaka 90. Mke wake, Grace, ana umri wa miaka 49....

Like
347
0
Monday, 29 September 2014
CHINA YAONYA MATAIFA YA KIGENI KUTOINGILIA HONG KONG
Global News

Uchina imeonya kuwa  kuwa haitawavumilia wahaini kutoka nje ya nchi wanaounga mkono maandamano yasiyo halali nchini humo. Kundi lijulikanalo kama Occupy Central ndilo linalolengwa kwa sababu limekuwa likiunga mkono juhudi za maandamano ya maelfu ya watu wanaounga mkono kuimraishwa kwa Demokrasia nchini Uchina. Katika kile kinachoaminika kulenga maandamano yanayoendelea katika jimbo la Hong Kon, Uchina inaonya mataifa mengine yasijiingize kwa kila inachoamini na maswala ya ndani ya Uchina.Uchina mara kwa mara hutoa onyo kwa mataifa mengine...

Like
525
0
Monday, 29 September 2014
MEEK MILL KUTOKA JELA HIVI KARIBUNI
Entertanment

  Rapa kutoka kundi la MMG Meek Mill ambae jina lake halisi ni Robert Williams alihukumiwa kutumikia kifungo kisichopungua miezi mitatu hadi sita jela baada ya rufaa yake kukataliwa alipokutwa na hatia ya kutofuata taratibu alizowekewa wakati anatumikia kifungo cha nje ikiwemo fujo na vurugu. Meek Mill alitiwa hatiani baada ya kukamatwa na silaha pamoja na madawa ya kulevya mwaka 2008 ambapo alitumikia miezi nane jela kabla hajaachiwa kutumikia kifungo cha nje ndani ya miaka mitano.Kupitia mtandao wa twitter rick...

Like
488
0
Monday, 29 September 2014
DIAMOND PLUTNUM AMZAWADIA GARI WEMA SEPETU
Entertanment

Kupitia mtandao wa instagram jana msanii wa muziki wa kizazi kipya Nasib Abdul yani Diamond amepost picha ya gari alilomnunulia mpenzi wake muigizaji Wema Sepetu gari aina ya Nisani kama zawadi katika siku yake ya kuzaliwa september 28. wawili hawa ambao wamekuwa wakimake Headlines kwenye vyanzo vya habari tofauti kuhusiana na mapenzi yao mbali na hayo wema anamiliki kampuni ya Endless fame inayojihusisha na uandaaji wa filam lakini pia Diamond ndie mmiliki wa brand ya Wasafi classic inayojihusisha zaidi na maswala...

Like
791
0
Monday, 29 September 2014
Jason Derulo amethibitisha rasmi kuachana na Jordin Sparks
Entertanment

mkali wa r&b kutoka marekani Jason Derulo ambae alikuwa na mahusiano na mwimbaji mwenzake Jordin Sparks.Jason Derulo  amethibitisha kuachana kwao kupitia ABC News kwa kusema hakuna ubaya baina yao wala usaliti ama kukwazana. Jason ameongeza kuwa licha ya mahusiano yao kuwa ni maswala binafsi ila anayaweka wazi kuepuka kuvuma kwa taarifa zisizo za kweli kupitia vyao tofauti vya habari, wawili hao ambao wamedumu kwa miaka mitatu mara baada ya kuingia rasmi kwenye mahusiano mwaka 2011 na kuamua kuyaweka wazi mwaka uliofuata 2012. kwa...

Like
386
0
Monday, 29 September 2014
Wananchi Wasema Sauti Zao Hazisikiki
Local News

Asilimia 70 ya wananchi sehemu mbalimbali nchini wameripoti kuwa sauti zao hazisikiki katika maamuzi ya serikali huku asilimia 71 wakiamini njia pekee ya kuleta ushawishi kwa serikali ni kupiga kula. Hayo yamebainishwajana jijini Dar es salaam kufuatia utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA uliohusisha mazungumzo ya wananchi juu ya hali zao na kupitia simu za mkononi uliopewa jina la Sauti za Wananchi....

Like
249
0
Wednesday, 03 September 2014
Kamati Yapendekeza Mipaka Uhuru Wa Habari
Local News

Bunge maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma limependekeza kuwe na mipaka ya Uhuru wa Vyombo vya Habari badala ya kuwa na Uhuru usiokuwa na Mipaka. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati Namba Kumi ya Bunge maalumu la Katiba Mheshimiwa ANNA ABDALLAH wakati akiwasilisha maoni ya Wajumbe walio wengi katika Kamati hiyo ambapo Kamati hiyo imevitaka vyombo vya Habari kulinda na kuheshimu Utu,Heshima,Uhuru na Staha ya Mtu...

Like
422
0
Wednesday, 03 September 2014
Tumieni Vizuri Tabiri Za Hali Ya Hewa
Local News

Jamii imetakiwa kufuata na kutumia vema utabiri wa Hali ya Hewa unaotolewa kwa muda muafaka na mamlaka ya hali ya hewaTanzania -TMA ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi pamoja na kuepuka madhara ikiwemo mafuriko. Wito huo umetolewa leo na Mkuu wa wa Mkoa Morogoro JOEL BENDERA wakati akifungua Warsha juu ya umuhimu wa huduma za ushirikishwaji na usambazaji wa taarifa za hali ya hewa kwa Umma. Wakati huo huo Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo Dokta AGNES KIJAZI amewasisitiza wananchi kutopuuza...

Like
526
0
Wednesday, 03 September 2014
Ponda Aiomba Mahakama Morogoro Isimamishe Kesi Yake
Local News

  Wakili Nassoro Juma anayemtetea Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda ameiomba Mahakama Kuu itumie busara kusimamisha kesi ya jinai inayomkabili mteja wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro. Ponda kupitia wakili huyo, aliwasilisha maombi akitaka mahakama iamuru kesi hiyo inayomkabili mkoani Morogoro isimame ili kusubiri kwanza uamuzi wa rufaa yake aliyokata mahakamani hapo. Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, Ponda anakabiliwa na mashtaka ya uchochezi katika maeneo mbalimbali mkoani humo, likiwamo...

Like
347
0
Tuesday, 02 September 2014
Ndege Yaanguka Serengeti Na Kuua Abiria Wake Watatu
Slider

  Ndege ndogo ya abiria ya Kampuni ya Safari Express Limited imeanguka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuwauwa watu watatu waliokuwamo ndani. Ndege hiyo yenye namba za usajili 5Y-SXP iliruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Mwanza Jumapili saa 1:26 usiku ikielekea Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) Kenya ambako ilitakiwa kutua saa 2:36 usiku. Meneja Uhusiano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), Paschal Shelutete alikiri ndege hiyo kuanguka kwenye hifadhi hiyo na walikuwa katika harakati za...

Like
584
0
Tuesday, 02 September 2014