Diane Rwigara na mamake waachiliwa huru na mahakama Rwanda

Diane Rwigara na mamake waachiliwa huru na mahakama Rwanda

Like
359
0
Friday, 05 October 2018
Global News

Mahakama Kuu mjini Kigali imeamua kumuachilia huru kwa dhamana mwanasiasa wa upinzani Diane Rwigara na mamake na watafuatiliwa wakiwa nje ya gereza.

Jaji wa mahakama kuu mjini Kigali ametangaza kwamba maombi yao ya dhamana yamekubaliwa lakini wakawekewa masharti ya kukabidhi pasipoti zao kwa mwendesha mashitaka.

Aidha wametakiwa kutovuka mipaka ya jiji la Kigali bila kibali maalumu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *