Dkt. Arnold Kihaule ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Dkt. Arnold Kihaule ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Like
972
0
Wednesday, 03 October 2018
Local News

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Arnold Mathias Kihaule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Uteuzi wa Dkt. Kihaule unaanza leo tarehe 03 Oktoba, 2018.

Kabla ya uteuzi huo Dkt. Kihaule alikuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *