hizi ndizo sababu za Rais magufuli kutokutoa dream liner

hizi ndizo sababu za Rais magufuli kutokutoa dream liner

Like
1256
0
Friday, 19 October 2018
Local News


Picha kutoka Ikulu Dar Es Salaam mahali ambapo Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Oktoba, 2018 anakutana na wachezaji wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na baadaye kula nao chakula cha mchana.

Hii nikufuatia Timu ya Taifa (taifa stars) kushinda mechi dhidi ya Cape Verde iliyochezwa mwanzoni mwa wiki hii,  mchezo huo ulimalizika taifa stars 2 – Cape Verde 0 magoli yalifungwa na Mbwana Sammatta na Simon Msuva.

Pia Raisi Magufuli amezugumza na timu ya taifa na amesema “Mh Waziri alipokuwa akitafuta ndege nilikuwa nipo kwenye ‘stage’ ya mwisho kutoa ndege bure baadae nikaambiwa ule uwanja hautoshi kwa ndege ya Dream Liner kutua lakini nilivyoanza kufuatilia ule mchezo dakika chache tu mmeshatandikwa wakati mnaenda mapumziko nikasema ni nafuu uwanja ule umekuwa mfupi ndge yangu sikutoa”.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *