LIST YA VILABU VITAKAVYOKUTANA USIKU WA LEO KWENYE MICHUANO YA KLABU BINGWA BARANI ULAYA

LIST YA VILABU VITAKAVYOKUTANA USIKU WA LEO KWENYE MICHUANO YA KLABU BINGWA BARANI ULAYA

Like
387
0
Wednesday, 05 November 2014
Slider

Usiku wa klabu bingwa Ulaya kuendelea tena leo kwa kuvitukanisha vilabu mbalimbali vinavyosaka tiketi ya kuvuka hatua ya makundi ikiwa ni michezo ya raundi ya pili katika hatua hiyo.

Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Uingereza, Manchester City itashuka dimbani Majira ya saa nne na dakika arobaini na tano kuwakaribisha klabu ya CSKA MOSKVA ya nchini Urusi.

Mabingwa wa Bundesliga klabu ya Bayern Munich itakuwa wenyeji wa klabu ya AS Roma ya huko nchini Italy wakiwa na kumbukumbu mbaya ya kupokea kichapo cha magoli 7-1 kwenye mchezon uliopigwa uwanja wa Stadio Olimpico.

FC Barcelona watasafiri mpaka huko nchini Uholanzi kuivaa Ajax Amsterdam, wakiwa na nahodha wa Argentina Lionel Messi anayefukuzia rekodi ya Raul na mchezo huu utakuwa maalum kwa Luis Suarez aliyewahi kuichezea Ajax kabla ya kuhamia Liverpool.

Michezo mengine ya leo 5/11/2014

PSG VS APOEL

Sporting CP vs Schalke 04

Maribor vs Chelsea

Shakhtar Donestk vs BATE Borisov

Athletic Club vs Porto.

Comments are closed.