rambirambi zampeleka katibu wa ccm rumande

rambirambi zampeleka katibu wa ccm rumande

Like
701
0
Wednesday, 17 October 2018
Local News

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, ametoa amri ya kuwekwa rumande saa 24, Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kata ya Maanga, bwana Norasco Tibakawa kwa madai ya kula rambirambi ya shilingi 20,000.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *