Mfanyabiashara Mohamedi Dewji ametekwa na watu wasiojulikana jijini das es salaam

Mfanyabiashara Mohamedi Dewji ametekwa na watu wasiojulikana jijini das es salaam

Like
607
0
Thursday, 11 October 2018
Local News

Mfanyabiashara Mohamedi Dewji ametekwa na watu wasiojulikana leo asubuhi wakati akienda kufanya mazoezi (gym).

Taarifa za awali zinaeleza kuwa, Watu hao walifyatua risasi angani wakati akiingia Gym nakumchukua na kuondoka nae

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *