Miili 44 ya waliofariki katika Kivuko inavyotolewa majini

Miili 44 ya waliofariki katika Kivuko inavyotolewa majini

Like
399
0
Friday, 21 September 2018
Local News

Zoezi la uokoaji wa abiria waliokuwemo katika kivuko cha MV Nyerere kilichozama limesitishwa kutokana na giza na litaendelea leo alfajiri ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela amesema mpaka sasa watu waliyookolewa wakiwa hai ni 37 na waliopoteza maisha ni 44.

RC Mongela amesema Kivuko hicho haikujulikana kilikuwa na idadi ya watu wangapi.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *