Kocha Msaidizi wa Simba Aendelea kuwa Mbali na Benchi la Ufundi la Simba

Kocha Msaidizi wa Simba Aendelea kuwa Mbali na Benchi la Ufundi la Simba

Like
723
0
Tuesday, 18 September 2018
Sports

Masoud Djuma Kocha Msaidizi wa Simba ataendelea kubaki Dar es Salaam, ikiwa timu inakwenda Mkoani Mwanza kwa ajili ya kucheza michezo miwili ya Ligi kuu ampapo tarehe 20, September Simba SC itacheza na Mbao Fc kwenye Uwanja wa CCM Kirumba na Mchezo  mwingine ni ule dhidi ya Mwadui FC kwenye uwanja huo huo wa CCM Kirumba utakao pigwa tarehe 22, September.

Hatua hiyo inakuja baada ya viongozi wa kumkabidhiwa majukumu mengine ya kuwanoa wachezaji waliobakia Dar wakiwemo Juuko Mushid na Haruna Niyonzima kwa ajili ya mechi zingine za ligi.

 

Swali Linabaki Je Kweli Kocha Mkuu anajitosheleza mwenyewe bila kuhitaji Msaidizi ??

 

#SportHQ

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *