Simba Bingwa 2017/2018, Baada ya Yanga Kupokea Kipigo cha 2-0 kutoka kwa Prisons

Simba Bingwa 2017/2018, Baada ya Yanga Kupokea Kipigo cha 2-0 kutoka kwa Prisons

Like
1143
0
Thursday, 10 May 2018
Sports

 

Simba SC imetwaa taji la VPL msimu wa 2017/18 baada ya aliyekuwa bingwa mtetezi Yanga SC kukubali kipigo cha magoli 2-0 kutoka kwa Tanzania Prisons.

Simba imeshinda kombe hilo mara ya 19. Mara ya mwisho kushinda ilikuwa ni mwaka 2012.

#Esports

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *