Local News

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA SHEM IBRAHIM KARENGA
Local News

RAIS JAKAYA KIKWETE amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dokta FENELLA MUKANGARA kuomboleza kifo cha mwanamuziki mkongwe, SHEM IBRAHIM KARENGA kilichotokea Desember 15 mwaka huu katika Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam alikokuwa amepelekwa kwa matibabu ya ugonjwa wa shinikizo la damu. Enzi za uhai wake, Marehemu KARENGA alijaaliwa kipaji cha muziki hususan upigaji wa gitaa la solo na uimbaji, kipaji ambacho kilimwezesha kufanya kazi katika bendi mbalimbali za muziki hapa nchini akianzia na...

Like
240
0
Wednesday, 17 December 2014
WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAIOMBA SERIKALI KUWEKA WAZI TOZO INAYOKUSANYWA NA POLISI JAMII
Local News

WAFANYABIASHARA wadogo wadogo katika soko la kariakoo wameiomba serikali kuweka wazi kuhusu posho wanazotozwa kila siku na polisi jamii. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na EFM katika soko la kariakoo leo jijini Dar es Salaam wamesema wamekuwa wakitozwa shilingi elfu 2 kwa kila askari anaepita katika biashara zao bila kujua matumizi ya fedha wanazotozwa. Naye mmoja wa wafanyabiashara hao RUMANYIKA MANYANGA amesema wanashidwa kuendelea kimaisha na kiuchumi kutokana na na wengi wao kufanya biashara zenye vipato vidogo na wakati huo kutozwa...

Like
188
0
Tuesday, 16 December 2014
MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE YAANDAA MKAKATI WA KUPANUA NA KUBORESHA VIWANJA VYA NDEGE
Local News

MAMLAKA ya viwanja vya ndege Tanzania TAA imeandaa mkakati wa kupanua na kuboresha viwanja vyote vya ndege kwa kiwango cha lami jambo ambalo litakalosaidia kukua kwa uchumi wa nchi kupitia sekta ya usafiri wa anga. Akizungumza jijini Dar es Salaam mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya ndege TAA Suleiman Suleiman amesema uboreshaji huo wa viwanja vya ndege kwa kiwango cha lami utasaidia kupunguza gharama za uendeshaji kwani ndege inapotua kwenye kiwanja cha tope gharama zake zinakuwa mara mbili zaidi tofautia na...

Like
289
0
Tuesday, 16 December 2014
WAFANYABIASHARA WAIOMBA TRA KUWA NA MFUMO WA WAZI WA MASHINE ZA EFD
Local News

WAFANYABIASHARA nchini wameiomba mamlaka ya mapato Tanzania TRA kutengeneza utaratibu utakaoonyesha stakabadhi za Manunuzi,uendeshaji na uuzaji wa bidhaa katika mashine za kierectroniki za EFD. Akiongea na EFM kwa niaba ya wafanyabiashara leo jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa taifa wa jumuiya wafanyabiashara JOHNSON MINJA amesema wafanyabiashara hawagomi kutumia mashine za EFD kama inavyosemwa na baadhi ya watu ila wanachohitaji ni kuwepo kwa mifumo hiyo mitatu ya wazi itakayoonyesha kila kitu. Minja amesema uwepo wa utoaji wa stakabadhi tatu...

Like
205
0
Tuesday, 16 December 2014
CUF YAMTAKA RAIS KUWAWAJIBISHA PINDA NA GHASIA
Local News

CHAMA cha Wananchi CUF kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete kuwawajibisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda Pamoja na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa –TAMISEMI Hawa Ghasia kwa kile wanachokidai kushindwa kusimamia Vizuri Chaguzi za serikali za Mitaa. Akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba amesema kuwa kumekuwa na malalamiko na mapungufu mengi katika chaguzi hizo zilizosababishwa na utendaji mmbovu wa usimamizi....

Like
208
0
Tuesday, 16 December 2014
SAUTI: TUME YA KUDHIBITI DAWA ZA KULEVYA YATOA TAKWIMU
Local News

IMEELEZWA KUWA zaidi ya gramu elfu 3 za dawa za kulevya kutoka viwandani zimekamatwa katika kipindi cha kuanzia mwezi juni hadi Novemba mwaka huu zikihusisha watuhumiwa 24 ambapo kati ya hao watuhumiwa 7 ni raia wa Tanzania na 17 ni raia wa kigeni. Takwimu hizo zimetolewa leo jijini Dar es salaam na Mkemia kutoka Tume ya kudhibiti dawa za kulevya nchini ALOYCE NGONYANI wakati akizungumza na Efm juu ya mikakati ya kuzuia uingizwaji wa dawa hizo hususani kipindi hiki cha...

Like
231
0
Tuesday, 16 December 2014
GHARAMA ZA MASOMO ZASABABISHA UHABA WA MARUBANI
Local News

IMEELEZWA kuwa gharama kubwa za mafunzo ya urubani zimekuwa kikwazo kwa wanafunzi kujiunga na taaluma hiyo na kusababisha kuwepo na uhaba wa Marubani wa ndege za Abiria na Helkopta nchini. Hayo yameelezwa na Rubani Mstaafu Meja CHARLES WACHIRA alipokuwa akiongea na EFM kuhusu Uhaba wa Marubani unaozikumba nchi za Afrika Mashariki. Rubani huyo Mstaafu ameeleza kuwa amekuwa maarufu hapa nchini kwa kipindi kirefu kutokana na kushiriki katika Kampeni za Vyama Vya Siasa nchini akiendesha Helkopta ambazo zimekuwa zikikodiwa na vyama...

Like
380
0
Tuesday, 16 December 2014
CCM YAIBUKA KIDEDEA WILAYA YA KINONDONI
Local News

CHAMA CHA MAPINDUZI -CCM kimeibuka kidedea  katika Wilaya ya Kinondoni , baada ya kunyakua viti 132  kikifuatiwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo- CHADEMA 34  na Chama Cha Wananchi-CUF 16. Ofisa Uchaguzi wa Manispaa hiyo, VALENCE URASSA amesema Ccm imeshinda viti hivyo katika Mitaa 197 ya Wilaya hiyo huku Mitaa Miwili ikiwa haijafanya kabisa uchaguzi na 14 ikiharishwa. Amebainisha kuwa Mitaa hiyo 14 inatarajiwa kufanya uchaguzi wake Disemba 21mwaka huu, na baadhi ya  taratibu za maandalizi zimeanza kukamilika. Ameitaja baadhi...

Like
364
0
Tuesday, 16 December 2014
ABIRIA KUTOKA DAR WAKWAMA NJIANI SINGIDA
Local News

ABIRIA waliokuwa wanafanya safari kutoka Dar es salaam kwenda Mwanza wamekwama njiani katika kijiji cha Chikuyu Manyoni mkoani Singida kufuatia Basi walilokuwa wakisafiria la BEST LINE kuharibika kifaa tangu majira ya Saa nane na Nusu jana Mpaka leo. Akizungumza na Efm mmoja wa Abiria hao amesema kuwa mara baada ya kuharibika kwa gari hilo Dereva na Kondakta wamekimbia na hata walipopigiwa Simu wamedai wamekwenda Mkoani Dodoma kufuata kifaa ambacho kimeharibika na kutokurudi hadi leo. Abiria hao wamelazimika kulala vijiji vya...

Like
335
0
Tuesday, 16 December 2014
TAMISEMI YAZITAKA TAARIFA ZA VURUGU KATIKA CHAGUZI ZA SELIKARI ZA MITAA ZIWASILISHWE
Local News

WAZIRI WA NCHI Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI- Mheshimiwa HAWA GHASIA ameitaka mikoa ambayo vurugu zimejitokeza wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa kuwasilisha taarifa za matukio hayo ili maamuzi sahihi yafanyike kwa wahusika ikiwemo kuwafukuza kazi. Mheshimiwa GHASIA ametoa agizo hilo leo jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya taarifa za awali kuhusu uchaguzi huo katika ngazi ya mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika jana disemba 14 mwaka huu nchini. Aidha katika taarifa hiyo ameitaja...

Like
351
0
Monday, 15 December 2014
WATANZANIA WATAKIWA KUWATUMIA WATAALAMU WA UBUNIFU MAJENGO NA UKADIRIAJI
Local News

WATANZANIA wametakiwa kuwatumia wataalamu wa ubunifu majengo na ukadiriaji majenzi katika ujenzi ili kuepusha uwepo wa majengo yalio chini ya kiwango yanayoweza kuhatarisha maisha ya watu na mali zao. Hayo yamebainishwa leo jijini Dar es salaam na Msajili wa Bodi ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi JEHAD JEHAD alipozungumza katika mkutano wa wadau wa taaluma na bodi hiyo ambapo amesema Watanzania wengi wamekuwa wakijenga kiholela kwa kuhofia gharama bila kujali kuwa ujenzi huo unagharama zaidi endapo jengo litadondoka. Aidha JEHAD...

Like
305
0
Monday, 15 December 2014