Local News

VIJANA WANAOJIUNGA NA JKT KUPATIWA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI
Local News

BARAZA la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi NEEC  kwa kushirikiana na jeshi la kujenga  taifa JKT limeanzisha program ya  kutoa mafunzo ya  mtaala maalumu kwa ajili ujasiriamali na uendeshaji wa biashara kwa  vijana wanaojiunga na  jeshi  hilo   kwa kujitolea.   Vijana  hao  ambao hawapati ajira wanafikia  elfu 2,hivyo NEEC imeamua kuwaendeleza  kutokana na  mafunzo  ya  elimu za stadi  za maisha wanayopata  wawapo jeshini  kwa kipindi chote cha miaka miwili...

Like
292
0
Friday, 06 November 2015
RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA WIZARA YA FEDHA
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu hadi katika Wizara ya Fedha.   Akiwa Wizarani hapo, Rais Magufuli amekagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa  ofisi hizo.   Rais amefanya ziara hiyo muda  mfupi baada ya kumuapisha Mwanasheria Mkuu George Mcheche Masaju. Hata hivyo ziara hiyo ya ghafla ya rais ilikuta baadhi ya maofisa wakiwa nje ya ofisi...

Like
251
0
Friday, 06 November 2015
HOFU YA KIPINDUPINDU YATANDA MBEYA
Local News

WAKAZI wa jiji la Mbeya wameingiwa na hofu ya kukumbwa na ugonjwa wa kipindupindu kutokana na mlundikano wa taka katika maeneo yao.   Wakazi hao wameingiwa na hofu hiyo hasa katika kipindi hiki ambacho mvua inanyeesha na takataka bado zimeendelea kuwepo katika ghuba la kuhifadhia taka kwa muda mrefu.   Akiongelea malalamiko hayo ya wananchi Afisa Afya wa jiji la Mbeya Daktari JOHNSON NDARO amesema wameshindwa kuondoa taka katika makazi ya watu kutokana na ubovu wa magari pamoja na ukosefu...

Like
387
0
Friday, 06 November 2015
GEORGE MASAJU AAPISHWA KUWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dokta John Pombe Magufuli, asubuhi ya leo amemwapisha Bwana George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali –AG, herehe zilizo fanyika  Ikulu jijini Dar es saalam.   Mwanasheria Mkuu Masaju ambaye kwa mara ya mwisho aliteuliwa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kuchukua nafasi hiyo  iliyobaki wazi baada ya aliyekuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema  kujiuzulu.   Tayari Rais Dokta Magufuli ameshaitisha Vikao vya Bunge Novemba 17 na anatarajiwa kumtangaza...

Like
186
0
Friday, 06 November 2015
SERIKALI YA WANAFUNZI UDSM YASIKITISHWA NA UTARATIBU WA UTOAJI MIKOPO
Local News

SERIKALI ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam UDSM imesema kuwa imesikitishwa na utaratibu wa kutoa mikopo uliofanywa na Bodi ya mikopo kufuatia asilimia 90 ya Wanafunzi kukosa mikopo ambapo jumla ya Wanafunzi 600 kati ya Wanafunzi zaidi ya elfu 7000 wanaodahiriwa katika chuo hicho ndio waliobahatika kupata mikopo hiyo.   Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es salaam Waziri wa Mikopo kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam Shitindi Venance amesema kuwa wameshangazwa na idadi ya...

Like
357
0
Wednesday, 04 November 2015
RAIS KIKWETE AMEITANGAZA SIKU YA KESHO KUWA NI MAPUMZIKO
Local News

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameamua na ameitangaza kesho, Alhamisi, Novemba 5, mwaka huu, 2015, kuwa Sikukuu na siku ya mapumziko. Rais Kikwete amefanya uamuzi huo, ili kuwawezesha Watanzania kushiriki katika sherehe za kuhitimisha Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne na kuingizwa madarakani Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Dar es Salaam leo Jumatano, Novemba 4, 2015...

Like
287
0
Wednesday, 04 November 2015
WAFUGAJI WAMETAKIWA KUUZA MIFUGO KUNUNUA VYAKULA SIMANJIRO
Local News

MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona amewataka wafugaji wa wilaya hiyo kupunguza mifugo yao kwa kuiuza ili wanunue vyakula kwenye wakati huu unaokabiliwa na upungufu wa chakula.   Kambona ameyasema hayo wakati akizungumzia tukio la Tarafa ya Moipo kupatiwa msaada wa chakula tani 150 za mahindi zilizotolewa na serikali kutokana na eneo hilo kukumbwa na ukame hivyo kukosa chakula. Amesema tani hizo 150 za mahindi baadhi yake zitauzwa sh500 kwa kila kilo moja na sh5,000 kwa gunia...

Like
274
0
Wednesday, 04 November 2015
VIONGOZI WA MATAIFA WATUA NCHINI KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA MAGUFULI
Local News

VIONGOZI mbalimbali wameanza kuwasili nchini kwa ajili ya kushiriki sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hapo kesho Novemba tano.   Miongoni mwa Viongozi wanaotarajiwa kushiriki sherehe hizo ni pamoja na marais Uhuru Kenyatta wa Kenya, Robert Mugabe wa Zimbabwe, Yoweri  Kaguta Museveni  wa Uganda, Paul Kagame wa Rwanda, Jacob Zuma  wa Afrika Kusini , Joseph Kabila  wa DRC, Filipe Nyusi  wa Msumbiji na  Edgar Lungu  wa Zambia.   Akiwa amevuta hisia za watu wengi hususani...

Like
232
0
Wednesday, 04 November 2015
UCHAGUZI KINONDONI MISINGI YA DEMOKRASIA ILIKIUKWA
Local News

IMEELEZWA kuwa uchaguzi wa wabunge na madiwani katika jimbo la kinondoni  uliofanyika oktoba 25 mwaka huu haukuzingatia baadhi ya misingi ya haki inayoongozwa na demokrasia ya kweli kutokana baadhi ya wagombea wa vyama mbalimbali vya siasa kutoshirikishwa katika hatua zote.   Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na Katibu mwenezi wa Taifa wa chama cha Sauti ya Umma-SAU-ambaye pia alikuwa mgombea wa nafasi ya ubunge jimboni hapo kupitia chama hicho Johnson Mwangosi wakati akizungumza na waandishi wa habari juu...

Like
214
0
Tuesday, 03 November 2015
CUF KUSIMAMA MAHAKAMANI KUPINGA MATOKEO MAJIMBO 6
Local News

KUFUATIA dosari mbalimbali zilizojitokeza katika baadhi ya Majimbo ya uchaguzi wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu Chama cha Wananchi-CUF-kinatarajia kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa wabunge katika majimbo sita Nchini.   Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dar es salaam Afisa haki za binadamu na Sheria Taifa wa chama hicho Muhamedi Mluwa amesema kumekuwa na dosari nyingi katika uchaguzi mkuu jambo ambalo limesababisha chama hicho kushindwa.   Mluwa ameyataja baadhi ya majimbo hayo kuwa ni...

Like
155
0
Tuesday, 03 November 2015
SHIRIKISHO LA VYUO VIKUU CCM LAMPONGEZA MAGUFULI
Local News

SHIRIKISHO la Vyuo vikuu la Chama cha mapinduzi-CCM-limempongeza Rais mteule wa Jamhuri  Ya Muungano wa Tanzania dokta John Pombe Magufuli kwa kushinda kiti cha Rais, ikiwa ni kielelezo cha utendaji bora aliouonyesha katika kuwatumikia watanzania kupitia nafasi alizopitia kabla ya kuchaguliwa katika nafasi hiyo.   Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa shirikisho hilo Bi Zainab Abdallah amesema kuwa Rais Mteule Dokta Magufuli ndiye mtu pekee ambaye watanzania walikuwa wanamuhitaji ili aweze kuwaletea...

Like
265
0
Tuesday, 03 November 2015