Local News

CHIEF YEMBA ATANGAZA KUWANIA KITI CHA USPIKA WA BUNGE
Local News

ALIYEKUWA mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Chief Lutayosa Yemba, ametangaza kugombea kiti cha Uspika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama hicho.   Chief Yemba, ameyasema hayo jijini Arusha, alipokuwa akitoa Tathimini yake kwa vyombo vya habari kuhusu uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu, pamoja na tathimini ya uchaguzi wa nafasi ya ubunge katika jimbo la Arusha ambao unatarajiwa kufanyika Desemba 13 mwaka huu.   Amesema baada ya kuanguka...

Like
410
0
Monday, 16 November 2015
EFM VS KAWE VETERANI 3-3
Local News

Dakika 90 za mchezo wa kirafiki kati ya E-fm Vs Kawe Veterani zilimalizika kwa sare ya magoli 3-3, huku E-fm wakiwa wa kwanza kuliona lango la Kawe Veterani katika kipindi cha kwanza cha mchezo. Mchezo huo wa kusisimua ulishuhudiwa na wakazi wa Kawe katika uwanja wa Tanganyika Packers ambapo pia wakazi hao walipata nafasi ya kupima afya zao bure kabisa kwa kufanyiwa vipimo vya ugonjwa wa kisukari chini ya ST LAURENT DIABETES CENTRE E-fm walipoandika goli la kwanza kupitia mshambuliaji...

Like
545
0
Monday, 16 November 2015
MAMA NA BABA LISHE TANZANIA KUANZISHA UMOJA
Local News

JUMUIYA ya Mama na Baba lishe Tanzania inatarajia kuunda umoja wao wenye malengo ya kutoa suluhisho la changamoto zinazowazunguka kwa kuanzisha Shirikisho la Saccos ili kutoa elimu mbalimbali za mkopo na ujasiliamali.   Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mama lishe na Baba lishe Tanzania Ramadhan Mhonzu amesema kuwa malengo na madhumuni ya jumuiya hiyo ni kuunganisha Wadau mbalimbali ili kutoa nafasi za kulinda haki za ajira zao.   Kwa upande wake Katibu...

Like
292
0
Friday, 13 November 2015
ANNE MAKINDA ATANGAZA KUTOWANIA NAFASI YA SPIKA WA BUNGE NA KUACHANA NA SIASA
Local News

WAKATI viongozi mbalimbali wakijitokeza kuwania nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyekuwa Spika wa Bunge hilo Anne Makinda amesema hatogombea nafasi hiyo na kwamba ameachana na masuala ya kisiasa kwa kuwa amejishughulisha na masuala hayo kwa kipindi cha miaka 40.   Makinda ameyasema hayo leo Jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mustakabali wake wa kuwania nafasi hiyo ambayo tayari ameshaipitia.   Akizungumzia namna alivyoweza kuliongoza bunge kwa kipindi alichokuwa...

Like
200
0
Friday, 13 November 2015
IDADI YA WAZAZI WANAOTUPA WATOTO YAPUNGUA
Local News

IMEELEZWA kuwa idadi ya wazazi ambao hutupa watoto wao imepungua kwa kasi tofauti na elimu ambayo hutolewa na serikali, jeshi la polisi pamoja na wadau mbalimbali wa haki za watoto juu ya kuwatunza watoto. Hayo yamesemwa na kamanda wa polisi mkoa wa IRINGA–ACP- RAMADHAN MUNGI wakati akizungumza na wadau mbalimbali juu ya suala hilo na kuwaonya wazazi wenye tabia ya kutupa watoto mara baada ya kujigungua kuacha haraka kwani kufanya hivvo, ni kwenda kinyume na sheria za haki za binadamu....

Like
258
0
Friday, 13 November 2015
ANGLO GOLD ASHANTI YAJITOLEA KUWEZESHA MATIBABU YA UGONJWA WA MIDOMO SUNGURA KANDA YA ZIWA
Local News

KAMPUNI ya uchimbaji Madini ya Anglo Gold Ashanti imejitolea kuwezesha huduma za matibabu ya Ugonjwa wa Midomo sungura Katika kanda ya ziwa matibabu yanayotarajia kufanyika katika hospitali ya Rufaa ya Sokoe Toure jijini Mwanza. Akizungumza na waandishi wa habari juu ya mpango huo Meneja Mawasiliano wa Kampuni hiyo Tenga Tenga amesema miongoni mwa majukumu ya kampuni hiyo ni pamoja na kusaidia jamii kujikwamua na matatizo mbalimbali na kuwataka wananchi wanaosumbuliwa na ugonjwa huo kujitokeza kwa wingi siku hiyo ili kupata...

Like
266
0
Friday, 13 November 2015
WAFANYAKAZI URAFIKI WAGOMA KUSHINIKIZA NYONGEZA YA MISHAHARA
Local News

WAFANYA KAZI wa kiwanda cha nguo cha urafiki kilichopo mabibo Jijini Dar es salaam leo wamegoma kufanyakazi kwa kushinikiza uongozi wa kiwanda hicho kuwaongezea mishahara yao pamoja na kulipwa malimbikizo mengine wanayodai.   Wakizungumza na Efm wafanyakazi hao wamesema kuwa mishahara wanayo lipwa ni kidogo sanjari na makato mengine kwenye mishahara yao ikiwemo bima ya Afya ingawa Awali walishafungua kesi mahakama kuu ya rufaa ili waweze kulipwa madeni yao lakini bado hawajalipwa hadi sasa. Kwa upande wake Naibu meneja mkuu...

Like
292
0
Thursday, 12 November 2015
PROF. MSERU ATAMBULISHWA RASMI KUWA MKURUGENZI WA BODI YA HOSPITALI YA MUHIMBILI
Local News

HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili leo imempokea na kumtambulisha rasmi mkurugenzi mpya wa bodi ya hospitali hiyo Profesa Lawrence Mseru kufuatia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dokta John Pombe Magufuli kuivunja bodi iliyokuwa ikiongozwa na mkurugenzi dokta Hussein Kidanto siku chache zilizopita.   Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar Salam Afisa uhusino wa hospitali hiyo dokta Amnieli Eligisha amesema kuwa tayari mkurugenzi huyo ameanza kazi ya kuhakikisha ana boresha huduma ya matibabu ikiwemo kufanyia matengenezo mashine...

Like
636
0
Thursday, 12 November 2015
TARIME: WANANCHI WAMTAKA DIWANI KUTEKELEZA AHADI ZAKE
Local News

WANANCHI wa kata ya Turwa wilayani Tarime Mkoani Mara wamemtaka diwani wao kutekeleza ahadi alizo ahidi wakati wa kampeni zake  ikiwemo kutatua tatizo la ukosefu wa maji safi na salama. Wakizungumza na Efm wakazi hao wamemtaka kiongozi huyo atakapoanza kutekeleza majuku yake aanze na matatizo yaliyopo kwenye kata hiyo yanayowakabili kwa muda mrefu. Kwa upande wake kiongozi Mteule ambaye ni diwani wa kata hiyo Zakayo Wangwe amesema kuwa atahakikisha anawatumikia wananchi ipasavyo kwa lengo la kuleta maendeleo ya...

Like
278
0
Thursday, 12 November 2015
MAMA WAJAWAZITO WAMETAKIWA KUFUATA VIDOKEZO VYA HATARI WAKATI WA UJAUZITO
Local News

IMEELEZWA kuwa vifo vya mama wajawazito vinavyotokea wakati wa kujifungua vinachangiwa na wao kutozingatia vidokezo vya hatari wakati wa ujauzito. Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa magonjwa ya watoto kutoka hospitali ya Rufaa mkoa wa Mbeya Dakta GRORIA MBWILLE wakati akizungumza na Efm. Dokta Mbwille Amesema kuwa vifo vingi vimekuwa vikichangiwa na mama wajamzito kutofanya maandalizi mapema kabla ya...

Like
356
0
Thursday, 12 November 2015
SERIKALI YAOMBWA KUWACHUKULIA HATUA KALI BAADHI WATUMISHI WA IDARA YA ARDHI
Local News

WAKAZI wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wameiomba serikali kuwachukulia hatua kali baadhi ya watumishi wa Idara ya Ardhi kwenye halmashauri ya mji wa Babati kwani wamehusika kusababisha migogoro ya ardhi wilayani humo.   Wakazi hao pia wameeleza kuwa, migogoro mingi ya Ardhi kwenye wilaya hiyo imesababishwa na baadhi ya watumishi wasiokuwa na maadili na wanaojali maslahi yao binafsi badala ya kujali maslahi ya wananchi.   Kwa upande wakes mkuu wa wilaya ya Babati Crispin Meela amesema atahakikisha anasimamia vyema...

Like
144
0
Wednesday, 11 November 2015