Sports

MCHEZAJI WA QPR ASEMA HANA UZANI MKUBWA
Slider

Mchezaji wa QPR Adel Taarabt amemjibu kocha wake Harry Redknapp aliyesema kuwa mchezaji huyo ana uzani mkubwa hivyobasi hafai kucheza. Redknapp alitoa madai hayo alipoulizwa ni kwa nini hakumjumuisha kiungo huyo wa kati katika kikosi kilichocheza mechi dhidi ya Liverpool waliposhindwa kwa mabao 3-2. Hata hivyo Taarabt alipokuwa akiongea na kituo cha habari cha Daily Mail alijitetea kwamba madai hayo si ya kweli. “Nilikuwa na tamaa kubwa ya kucheza kabla ya mechi kuanza. Nilikasirika sana niliponyimwa nafasi ya kucheza.”alisema...

Like
232
0
Wednesday, 22 October 2014
KUNA UWEZEKANO WA KURUDISHA CHENJI KWA MASHABIKI AFRIKA?
Slider

Wachezaji wa Sunderland wameamua kuwarudishia Mashabiki wao gharama walizotumia kuutizama mchezo ambao mwisho wa siku walipokea kichapo cha bao 8-0 kutoka kwa Southampton. Hicho kilikuwa kisago kikubwa kabisa kwa Sunderland katika miaka 32. Mashabiki wana nafasi ya kudai pesa yao mpaka kufikia tarehe 5 ya Novemba mwaka huu. Akizungumza kwa niaba ya wenzake, nahodha John O’Shea amesema, “Tunashinda na kushindwa kama timu, wachezaji, uongozi na mashabiki lakini tungependa kuwatambua na kuwashukuru mashabiki waliosafiri umbali mrefu kuja...

Like
294
0
Wednesday, 22 October 2014
FAINALI ZA KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA ZAINGIA UTATA KUFUATIA KUENEA KWA EBOLA
Slider

Kuenea kwa ugonjwa wa Ebola umefanya fainali za Kombe la mataifa ya Afrika kuwa mashakani. Fainali hizo zimepangwa kufanyika nchini Moroco kuanzia Januari 17 lakini nchi hiyo iliwaeleza waandaji wa mashindano hayo kwamba wangependa kusogeza mbele mashandano hayo. Serikali ya Moroco imekuwa na wasi wasi maambukizo ya virusi vya ebola kutoka nchi za magharibi mwa Afrika. Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF linatarajiwa kutoa uamuzi wa mwisho mwezi novemba kama nitasogeza mbele mashindano hayo au la japo limekuwa likisisitiza kuwa...

Like
320
0
Friday, 17 October 2014
SIMBA NA YANGA KUKICHAPA KESHO KWENYE MCHEZO WA LIGI KUU
Slider

Kikosi cha wekundu wa msimbazi Simba, kimerejea nnchini kimyakimya toka Afrika kusini baada ya kumaliza kambi yake na sasa wapo tayari kuwavaa watani wao wa jadi Yanga katika mchezo wa ligi kuu uatakaopigwa keshokutwa jumamosi kwenye uwanja wa taifa jijini Daresalaam. ikiwa huko Afrika kusini Simba chini ya kocha wake Mzambia Patrick Phiri, imecheza mechi tatu za kujipima nguvu, ambapo imekwenda sare mechi mbili na kuchezea kichapo mechi moja Tumezungumza na mjumbe wa kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tulli,...

Like
308
0
Friday, 17 October 2014
HATIMAE THEO WALCOTT AREJEA UWANJANI BAADA MIEZI 9
Slider

Mshambuliaji nyota wa Arsenal Theo Walcott ambae alikaa nje kwa miezi tisa akiwa majeruhi, ameanza mazoezi rasmi akiwa na kikosi hicho chini ya Arsenal Wenger....

Like
365
0
Thursday, 16 October 2014
SHABIKI AMUOMBA NEYMAR AMUOE DADA YAKE
Slider

Shabiki amuomba Neymar amuoe dada yake baada ya mshambuliaji huyo  wa Brazil kupiga goli nne peke yake dhidi ya Japan. shabiki huyo amemuomba  striker  wa Barcelona amuoe dada yake  Amanda Recla, ambae ni model alieingia kwenye  15 bora  ya Miss Brazil. ingawa dada wa shbiki huyo Amanda amesema hana analofikiria juu ya uamuzi wa kaka yake Stephan, na kusema kuwa atamuua kufatia kitendo hicho Hata hivyo Stephan ameendelea na msimamo wake kwa kudai dada yake ametoa kauli hiyo tu lakini ukweli ni kwamba yupo...

Like
469
0
Thursday, 16 October 2014
TFF YAFANYA YAFANYA MAREKEBISHO YA MECHI LIGI DARAJA LA KWANZA
Slider

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, imefanya marekebisho ya mechi nne za kundi A za Ligi Daraja la kwanza ili kutoa fursa ya matumizi ya uwanja wa kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam. Timu za African Lyon na Kimondo FC ambazo awali zilikuwa zicheze Octoba 25 kwenye uwanja wa mabatini mkoani Pwani sasa zitacheza Octoba 26 uwanja wa Karume, Dar es salaam. Nayo mechi ya Polisi Dar es salaam na majimaji ya Songea ilikuwa ichezwe Octoba 26 sasa...

Like
611
0
Thursday, 16 October 2014
RAIS MUSEVEN AIGHARAMIA UGANDA CRANES
Slider

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amegharamia safari ya timu ya soka ya taifa Uganda Cranes kwenda Togo, kucheza mechi ya marudiano siku ya jumatano ya kufuzu kucheza fainali ya kombe la mataifa ya Afrika mwaka 2015 kundi E. Rais Museveni amewapatia dolla laki moja na efu arobuni kusafirisha timu ya Uganda Cranes kwenda Togo kwa mechi ya Jumatano. Hicho ni kikosi cha Uganda Cranes kilichovalia jezi nyekundu yaani yenye kuishia 42 na yenye 40 ni Togo. Katika mechi ya jumamosi...

Like
301
0
Tuesday, 14 October 2014
JAMAL MALINZI AMESEMA YEYE NA KAMATI YAKE YA UTENDAJI WAPO MADARAKANI KUENDELEZA SOKA NA SI MALUMBANO
Slider

SHIRIKISHO la kandanda Tanzania Tff,limesema mashindano ya taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 12, yatafanyika mkoani mwanza kuanzia mwezi Desemba mwaka huu,ukiwa ni mpango maalumu unaolenga kupata kikosi imara cha kitakachoshiriki michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri wa chini ya 17 (U17), mwaka 2019, ambapo Tanzania imeomba kuwa mwenyeji wa mashindano hayo. Akizungumza na wanahabari hii leo kuelezea mpango huo, Rais wa TFF, Jamal Malinzi,amesema mashindano hayo yatashirikisha kombaini za mikoa yote Tanzania,lakini kwanza amenza kwa...

Like
261
0
Tuesday, 07 October 2014
RONALDO MANCHESTER UNITED NI FAMILIA YANGU
Slider

Mchezaji wa kimataifa kutoka  Portugal ambae nyota yake ilianza kung’aa na kutambulika zaidi duniani kupitia Club ya Manchester united Cristiano Ronaldo. hivi karibuni kumekuwa na tetesi juu ya uwezekano wa mchezaji huyo anaeichezea club ya Real Madrid kurudi Manchester united . Club ya Real Madrid imeonyesha msimamo wake juu ya mchezaji huyo kwa kumuhitaji kuendelea kukichapa hapo Santiago Bernabeu kwenye msimu wa kiangazi kitendo ambacho Ronaldo amekipokea kwa furaha taarifa hiyo na kusema anafurahi kuitumikia Club hiyo lakini pia...

Like
432
0
Friday, 03 October 2014
LIGI KUU TANZANIA BARA KUENDELEA WIKIENDI HII
Slider

Kivumbi cha ligi kuu soka Tanzania bara kinaendelea tena wikiendi hii kwa timu kumi kushuka katika madimba matano tofauti,ambapo katika uwanja wa taifa jijini wenyeji simba watawakaribisha vijana toka shinyanga-stand united,Mtibwa dhidi ya mgambo jkt,ruvu shooting dhidi ya mbeya city,prisons na azam na polisi morogoro wakikipiga dhidi ya...

Like
210
0
Friday, 03 October 2014