Slider

UDANGANYIFU WAMPOTEZEA MADILI RYAN LOCHTE
Slider

Muogeleaji wa Marekani Ryan Lochte amepoteza mikataba yake yote minne ya udhamini baada ya wenzake watatu kudanganya kuwa waliibiwa na wezi waliokuwa na silaha katika michuano ya Olimpiki iliyofanyika mjini Rio. Kampuni ya uogeleaji ya Speedo ilikuwa ya kwanza kusitisha mkataba wake ikifuatiwa na Luxury retailer, Ralph Lauren, The Skin Care company,na Kampuni ya matress na Airweave. Lochte bado anakabiliwa na mashitaka ya kujibu kwa mamlaka ya michezo nchini Brazil ikiwa ni uhalifu pamoja na utovu wa...

Like
243
0
Tuesday, 23 August 2016
KOFIA YA MZEE AKILIMALI YAZUA KIZAAZAA
Slider

Baada ya sekeseke la aliyekuwa Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga Mzee Yahya Akilimali na wapenzi na mashabiki wa klabu hiyo. Limechukua sura mpya baada ya kuibiwa kofia yake alipokuwa ameketi maeneo yanayosemekana kulikuwa na vijana waliokuwa wakimfuatilia. Mzee Akilimali ameeleza kuwa, walishamaliza tofauti zao na mashabiki wa kbabu hiyo waliokuwa wakimfuatilia na kinachofanyika sasa ni uhuni tu wa vijana wa mtaani aliodai ni watumiaji wa dawa za kulevya....

Like
446
0
Tuesday, 23 August 2016
Watoto waingizwa kwenye jeshi Sudan Kusini
Slider

Serikali ya Sudan Kusini imewaajiri watoto wavulana kama wanajeshi wakati huu inapojiandaa kwa mzozo mpya, kwa mujibu wa shirika la Associated Press. Mwanasiasa mmoja mwenye ushawishi anaripotiwa kuongoza shughuli ya kuwaajiri watoto hao, wengine wakitajwa kuwa na umri wa hadi miaka 12 kutoka kijiji kimoja nchini humo. Nyaraka zinaonyesha kuwa shughuli ya kuwaajiri watoto hao, ilifanyika muda mfupi baada ya baraza la usalama la umoja wa mataifa kuidhinisha azimio wiki moja iliyopita la kutuma wanajeshi 4000 kwenda Sudan Kusini, kuwalinda...

Like
185
0
Friday, 19 August 2016
WAKUU WA SHULE ZA MSINGI 68 KUVULIWA VYEO VYAO JIJINI DAR ES SALAAM
Slider

WALIMU wakuu wa shule 68 wa shule za Msingi wanatakiwa kuvuliwa na kunyang’anywa vyeo vyao kwa kosa la udananyifu wa takwimu za wanafunzi hewa tangu elimu itangazwe kuwa bure. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Salum Hapi wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Amesema kuwa walimu wakuu hao wametakiwa kuvuliwa vyeo vyao na kuwapa walimu wengine kwa kosa la kutoa takwimu za wanafunzi hewa 3462 wa shule za msingi 68 za Wilaya...

Like
376
0
Wednesday, 17 August 2016
MWANA WA EL CHAPO GUZMAN ATEKWA NYARA
Slider

Mwana wa mlanguzi mkuu wa mihadarati nchini Mexico Joaquin El Chapo Guzman ni miongoni mwa washukiwa wa uhalifu waliotekwa nyara katika mji uliopo pwani ya Pacific siku ya Jumatatu kulingana na maafisa. Wanasema kuwa Jesus Alfredo Guzman mwenye umri wa miaka 29 ni miongoni mwa wanachama sita wa genge la Sinaloa waliotekwa nyara na genge pinzani ,kwa jina Jalisco New Generation. Kisa hicho kilitokea katika mkahawa uliopo mji wa kitalii wa Puerto Vallarta. Chapo Guzman ambaye anahudumia kifungo ,aliliongoza genge...

Like
206
0
Wednesday, 17 August 2016
WAFUNGWA 15 WA GUANTANAMO WAPELEKWA UAE
Slider

Makao makuu ya kijeshi ya Marekani, The Pentagon, yametangaza kuwa watu 15 waliokuwa wakizuiliwa katika gereza maalumu la Guantanamo Bay, nchini Cuba wamehamishiwa hadi Emarati. Ni kundi kubwa zaidi kuwahi kuhamishwa kutoka gereza hilo chini ya utawala wa Rais Barack Obama. Kumi na mbili kati yao wanatoka Yemen na watatu Afghanistan. Wanachama wakuu wa chama cha Republican wamekosoa hatua hiyo. Hatua hiyo inapunguza wafungwa hadi 61 wanaozuiliwa katika kituo hicho cha Marekani. Mara kwa mara Bwana Obama ameeleza masikitiko yake...

Like
344
0
Tuesday, 16 August 2016
RIO2016: RUDISHA ASHINDA MBIO ZA MITA 800
Slider

Mwanariadha raia wa Kenya amedhihirisha umwamba wake baada ya kushinda mbio za mita 800 huko Rio De Jeneiro nchini Brazil usiku wa kuamkia leo. Mwanariadha huyo mwenye miaka 27 ameonyesha uzoefu wake katika mbio ambapo baada ya kuwa nyuma alianza kuwapita wenzake katika mzunguko wa mwisho na hata Mkenya mwenzake Alfred Kipketer na kukamilisha mbio hizo kwa dakika moja na sekunde 42.15 Naye Malgeria Taoufik Makhloufi alishika nafasi ya pili na kujinyakulia medali ya dhahabu kwa kikimbia kwa dakika moja...

Like
226
0
Tuesday, 16 August 2016
RIO 2016: MURRAY ATWAA MEDALI YA DHAHABU
Slider

Muingereza Andy Murray yeye amekuwa mcheza Tenisi wa kwanza kushinda medali mbili za dhahabu za Olympiki kwa mchezaji mmoja mmoja baada ya kumshinda muargentina Juan Martin del Potro. Murray mwenye umri wa miaka 29, alimshinda Juan kwa seti nne za 7-5 4-6 6-2 7-5 Ushindi wa Murray umekuja majuma matano baada ya kushinda taji lake la pili la Wimbledon na miaka minne tangu alipopata mafanikio jijini...

Like
209
0
Monday, 15 August 2016
RIO2016: USAIN BOLT ATWAA MEDANI YA DHAHABU YA MITA 100
Slider

Mwanariadha wa Jamaica, Usain Bolt, ameandikisha historia ya kuwa mwanariadha wa kwanza kushinda nishani ya dhahabu kwa mara ya tatu mfululizo, katika mbio za mita mia moja, kwenye michezo ya olimpiki ya Rio 2016. Bolt, 29, amechukua muda wa sekunde 9.81 katika fainali yake ya mwisho katika michezo ya olimpiki, kwa kuiga ushindi sawa na huo katika michezo ya olimpiki mjini Beijing 2008, na London 2012. Gatlin, ambaye amepigwa marufuku mara mbili kwa matumizi ya dawa za kutitimua misuli, alimaliza...

Like
278
0
Monday, 15 August 2016
RIO2016: KISANGA CHA MAJI KUBADILIKA RANGI KUPATIWA UFUMBUZI
Slider

Waandaaji wa michuano ya Rio wamesema kuwa Bwawa la kuogelea litarudi kwenye rangi yake ya awali baadaye hii leo, baada ya kubadilika na kuwa na rangi ya kijani siku ya jana wakati michuano hiyo ikiendelea. Kwa mujibu taarifa ya yake maji ya bwawa hilo yalibadilika rangi kutokana na kuzidi kwa kiwango cha Alkalini. Amesema kuwa wapimaji wa maji hawakujali wingi wa waogeleaji kama wataathiriwa na kiwango cha PH, na Chlorine. Washindanaji walisema ilikuwa vigumu kuwaona wenzao kwenye maji ya kijani....

Like
254
0
Thursday, 11 August 2016
WAPIGA KURA ZAMBIA WACHAGUA VIONGOZI
Slider

Wapiga kura nchini Zambia wameanza kufika katika vituo vya kupigia kura kushiriki uchaguzi wa urais na wabunge. Kumekuwa na ushindani mkali na kipindi cha kampeni kilikumbwa na vurugu. Ushindani mkubwa unatarajiwa kuwa kati ya Rais Edgar Lungu wa chama cha PF na mgombea wa upinzani wa chama cha UPND Hakainde Hichilema. Kuna jumla ya wapiga kura 6.7 milioni waliojiandikisha kupiga kura. Kwa mara ya kwanza, mgombea urais anatakiwa kupata asilimia 50 ya kura zitakazopigwa pamoja na kura moja zaidi ili...

Like
257
0
Thursday, 11 August 2016