Global News

ADHANA IMEPIGWA MARUFUKU KIGALI RWANDA, INASUMBUA WANANCHI
Global News

Marufuku ya matumizi ya adhana{ Wito kwa Waislamu kuhudhuria maombi} katika tarafa moja ya mji wa Kigali nchini Rwanda imepingwa vikali na baadhi ya Waislamu jijini humo. Utawala katika tarafa ya Nyarugenge kunakopatikana jamii kubwa ya Waislam nchini humo umebainisha kuwa kumekuwepo muafaka wa kubadili mbinu za kuwaita waumini bila ya matumizi ya njia hiyo ambayo inatajwa kuwasumbua wananchi. Kulingana na taarifa kutoka Kigali Waislamu kuhudhuria maombi umetajwa kuwa kero miongoni mwa wananchi. Tayari mkataba wa kuhakikisha kuwa mwafaka huo...

Like
391
0
Thursday, 15 March 2018
UNAJUA KAMA KUPUMUA KWA NJIA YA MAKALIO “KUJAMBA” KUNA FAIDA KIAFYA?
Global News

Kutoka maktaba ya E-digital leo tuna Funny Facts Friday sasa wacha tuone ni kwa kiasi gani kuna faida kiafya kupumua au kutoa hewa chafu kwa njia ya makalio Kupumua ni kazi muhimu na ya kawaida katika mwili wa binaadamu hasa katika kusaidia kumengenya chakula na kutoa gas isiyotumika tena tumboni. Binaadamu wa kawaida anatoa upepo mara 14 kwa siku kiasi unaweza kujaza upepo kwenye puto kubwa la size ya kati Utafiti unathibitisha kuwa kuvuta harufu mtu aliyepumua husaidia kuzuia viharusi,...

Like
1397
0
Wednesday, 14 March 2018
UNAJUA USAFIRI ANAOTUMIA RAIS WA MAREKANI DONALD TRUMP AKIWA MATEMBEZINI?
Global News

  Rais wa Marekani Donald Trump akiwa katika mazingira ya kawaida ya kikazi hutembelea gari aina ya limousine. Gari hiyo ni moja kati ya magari ghali zaidi na yenye ulinzi mkali zaidi duniani kote ulinzi wake ni pamoja na vioo vyenye nguvu ya kuzuwia risasi, milango yake ina uzito sawa na milango ya ndege aina ya boeng 747, ikiwa itatokea janga la  moto tank la mafuta ya gari hiyo limefunikwa na vyuma kiasi hata mlipuko wa bomu hauwezi lipua tenki...

1
413
0
Wednesday, 14 March 2018
DONALD TRUMP AMFUKUZA KAZI WAZIRI WAKE WA MAMBO YA NJE
Global News

Rais Donald Trump amemfukuza kazi waziri wake wa mambo ya nchi za nje Rex Tillerson na kumchagua mkurugenzi wa idara ya ujasusi ya CIA, Mike Pompeo kuchua nafasi yake. Nafasi ya Pompeo katika CIA itachukuliwa na aliyekua naibu wake Gina Haspel. Katika ujumbe wa twitter, Rais Trump alimshukuru Tillerson akisema, “Mike Pompeo, Mkurugenzi wa CIA atakua waziri mpya wa mambo ya kigeni. Atafanya kazi nzuri kabisa. Ahsante Rex Tillerson kwa huduma yako! Gina Haspel atakua mkurugeni mpya wa CIA na...

Like
306
0
Tuesday, 13 March 2018
MOISE KATUMBI ANZISHA CHAMA CHAKE CHA SIASA AKIWA AFRIKA KUSINI
Global News

Rais wa klabu ya TP Mazembe ya katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Moise Katumbi amejitosa kwenye ulingo wa siasa, anazindua chama chake akiwa Afrika Kusini. Katumbi ni kiongozi wa upinzani ambaye yupo uhamishoni kutoka DR Congo baada ya kutengana na Rais Joseph Kabila. Katumbi ambaye amewahi kuwa Gavana wa jimbo tajiri zaidi nchini humo Katanga alijiuzulu na kumshtumu rais Kabila kwa uongozi duniani. Moise Katumbi ni kiongozi wa pekee wa upinzani nchini Congo ambaye ana ushawishi mkubwa na ufuasi...

Like
271
0
Monday, 12 March 2018
ANALIPWA KUBIKIRI WATOTO ILI KUONDOA MIKOSI MALAWI
Global News

Katika tamaduni nyingi kote duniani mwanamke anapoolewa huwa ni fahari kubwa sana akiwa ni bikira. Mathalan ni dhihirisho la mwanamke kuwa amelelewa na kutunzwa vyema. Ni dhihirisho la usafi. Hata hivyo jamii moja nchini Malawi haithamini ubikira wa watoto wao wa kike. Amini usiamini wazazi huwa wanamlipa ”Fisi” kumbikiri binti yao punde tu anapopata hedhi yake ya kwanza. Wanaamini kuwa binti ambaye ni bikira ni mkosi kwa jamii! Malimwengu haya. Wazazi na jamii kwa jumla katika maeneo mengi ya kusini...

Like
440
0
Thursday, 21 July 2016
MWEUSI AWAUA POLISI WATATU MAREKANI
Global News

Rais Barrack Obama wa Marekani amewasihi wamerakani wajizue dhidi ya hisia kali baada ya Mmarekani Mweusi kuwapiga risasi na kuwaua maafisa watatu wa polisi katika shambulizi la pili la kulipiza kisasi dhidi ya polisi wazungu wanaowaua wamarekani weusi. Obama ameomba uvumilivu utawale mioyo ya wakaazi wa mji wa Baton Rouge Louisiana nchini Marekani ambao sasa wanahofu ya kuzuka mashambulizi ya kulipiza kisasi. Obama aliyasema hayo katika hotuba ya moja kwa moja kupitia kwa runinga kutoka ikulu ya WhiteHouse muda mchache...

Like
277
0
Monday, 18 July 2016
RWANDA YAPUUZA WITO WA KUMKAMATA RAIS WA SUDAN
Global News

Serikali ya Rwanda imepuzilia mbali ombi la mahakama ya kimataifa ya jinai yenye makao yake makuu huko Hague Uholanzi ICC ya kumkamata rais wa Sudan Omar al-Bashir. Rais Bashir atahudhuria kongamano la viongozi wa Afrika linaloandalia mjini Kigali wikiendi hii. Waziri wa maswala ya nje wa Rwanda Louise Mushikiwabo amesema kuwa ombi la ICC kupitia kwa barua rasmi walioiandika siku mbili zilizopita haina uzito wowote. Mapema juma hili mahakama ya ICC iliyashtaki mataifa ya Djibouti na Uganda kwa baraza kuu...

Like
229
0
Thursday, 14 July 2016
MUSEVENI ASIMAMISHA MSAFARA, AKETI BARABARANI KUPOKEA SIMU
Global News

Rais wa Uganda bwana Yoweri Kaguta Museveni alizua kihoja katika kijiji kimoja karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania aliposimamisha msafara wake wa Rais Yoweri Museveni, alishuka kutoka kwenye gari lake rasmi akachukua kiti chake na kukiweka kando kando ya barabara mpya ya Isingiro ikipitia kijiji hicho cha Kyeirumba hadi Tanzania na kupokea simu faraghani. Mzee Museveni kama vile baba wa taifa alitumia muda wake kufanya shughuli hiyo huku akiwapungia mkoo wapita njia. Baada ya dakika 30 hivi raia wa...

Like
543
0
Tuesday, 12 July 2016
MAPIGANO YAZUKA TENA JUBA, SUDAN KUSINI
Global News

Mapigano yamezuka tena nchini Sudan Kusini saa chache baada ya Umoja wa Mataifa kuhimiza pande hasimu kusitisha vita. Mwanahabari aliyeko mjini Juba ameambia BBC kwamba milio ya risasi na milipuko mikubwa imeanza kusikika kote mjini humo. Amesema silaha nzito zinatumika kwenye vita hivyo. Mapigano yamekuwa yakiendelea kwa siku kadha kati ya wanajeshi watiifu kwa Rais Salva Kiir na wanajeshi watiifu kwa Makamu wa Rais Dkt Riek Machar. Vituo vya Umoja wa Mataifa pamoja na maeneo ya raia pia yameshambuliwa, jambo...

Like
223
0
Monday, 11 July 2016
WATU 12 WAFARIKI KUTOKANA NA FOLENI YA MAGARI
Global News

Watu 12 wamefariki nchini Indonesia kutokana na foleni ya magari iliyosababisha mamilioni ya watu kukwama barabarani siku kadha. Wengi walifariki kutokana na kukosa maji mwilini na uchovu. Watu wengi waliokuwa wakisafiri kwa sherehe za kuadhimisha mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhan walikusanyika katika makutano ya barabara kisiwa cha Java. Na hapo ndipo msongamano mkubwa wa magari ulipotokea. Maafisa wa uchukuzi nchini Indonesia wanasema vifo hivyo vimetokea katika kipindi cha siku tatu. Vyombo vya habari nchini Indonesia vinasema wengi wa...

Like
294
0
Friday, 08 July 2016