Entertanment

AKON AFANYA SHOW NDANI YA PUTO KUEPUKA EBOLA!
Entertanment

Msanii kutoka Senegal mwenye mafanikio makubwa duniani aishie kikazi huko Marekani hivi karibuni amezua mijadala juu ya mtindo wake wa kufanya show ndani ya puto kubwa Akon alifanya hivyo kwenye show yake ya huko Goma Congo mwezi uliopita katika maazimisho ya siku ya amani duniani. lakini pia Akon alionekana kwenye moja ya show zake huko Canada, wachunguzi wa mambo wanasema huenda ikawa sehem ya kampeni yake ya AKON LIGHTING  AFRICA ambapo sio chini ya makazi milioni moja yatapatiwa huduma ya umeme...

Like
257
0
Thursday, 02 October 2014
SHINIKIZO LA NDOA LAVUNJA UCHUMBA WA JORDIN SPARKS NA JASON DERULO
Entertanment

kupitia mtandao wa TMZ mwimbaji Jordan Sparks amedai kuwa chanzo cha kuvunjika kwa mahusino ya wawili hao yaliyodumu kwa muda wa miaka mitatu ni kitendo cha yeye kudai ndoa baina yao ili kuhalalisha mapenzi yao. Jordan aliongeza kwa kusema kuwa haitaji kuwepo kwa aina yeyote ya mikwaruzano ama kusemana vibaya kati yake na aliyekuwa mpenzi wake na ndio maana aliamua kukaa kimya...

Like
228
0
Thursday, 02 October 2014
JUSTIN BIEBER AMPIGA NGUMI MWANDISHI PARIS
Entertanment

Tukio hilo limetokea wakati Bieber na kundi la watu wake wakaribu wanaingia hotelini baada ya chakula cha usiku kwenye moja ya hoteli za huko Paris picha inamuonyesha Justin Bieber akiwa katikati ya mapaparazi wakikwaruzana wakati anataka kupita katika eneo hilo kitendo kilichopelekea arushe ngumi kwa mmoja wa wapiga picha. mwanamuziki huyo amekuwa akiandamwa na kesi za mara kwa mara ambapo  siku chache nyuma alituhumiwa kugonga Min Van ya...

Like
253
0
Thursday, 02 October 2014
PETER OKOYE WA P SQUARE AANGUKA JUKWAANI
Entertanment

Muimbaji kutoka kwenye kundi la P square Peter Okoye jana alianguka jukwaani siku ya jumanne usiku  wakati anatumbuiza kwenye tamasha lililoandaliwa na Beat 99.9 FM’s Triple 9 huko Lagos Nigeria tulio hilo lilitokea wakati P square wanaimba wimbo wao “BRING IT ON”   kutoka kwenye albam yao ya ‘Double Trouble’ wakati Peter aliposogea mbele kwenye ukingo wa jukwaa                     baada ya show hiyo Peter aliandika kwenye kurasa zake za Twitter na Instagram maneno...

Like
288
0
Wednesday, 01 October 2014
NICKI MINAJ KUHOST TUZO ZA  MTV EMA 2014
Entertanment

Mkali wa Anaconda Nicki Minaj ametajwa na MTV kwamba mbali na kuperfom atakuwa  host wa awamu ya 20th kwenye tuzo za MTV EMA 2014 ambapo mapema baada ya kutangazwa Nicki alitweet kupitia akaunti yake ya Twitter akisema maneno haya So excited to announce that I will not only perform, but I have the honorable task of HOSTING this… tuzo hizi zinatarajiwa kufanyika huko Glasgow Uingeleza mapema mwezi November mwaka...

Like
296
0
Wednesday, 01 October 2014
DIAMOND ATAJWA KUWANIA TUZO ZA The Headies NIGERIA
Entertanment

Tuzo hizo ambazo hapo zamani zilijulikana kama Hip-Hop World ambapo kwa mara ya kwanza zilifanyika mwaka 2006 huko Lagos. mwaka huu zinatarajiwa kufanyika tarehe 25th October 2014  Lagos ikiwa ni msimu wake wa 9 Diamond ametajwa kuwania kipengere cha  BEST AFRICAN ARTIST  kipengere hicho kinahusisha wasanii kutoka mataifa ya Afrika wanaofanya vizuri Nigeria Diamond atachuana na MAFIKIZOLO SARKODIE R2BEES...

Like
267
0
Wednesday, 01 October 2014
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA KIBAHA KWENYE KAMPENI YA BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
Entertanment

Picha ni umati wa wakazi wa kibaha na maeneo ya jirani waliokusanyika katika kampeni za redio EFM 93.7 kampeni hii imekuwa ikiendelea maeneo tofauti kwa kuwakutanisha wafanyakazi yani watangazaji na ma rdj wa 93.7efm pamoja na wadau mbalimbali wa redio hii  na kuweza  kutoa zawadi mbalimbali kwa wananchi. kampeni hii wiki hii itakuwa maeneo ya Ukonga siku ya jumamosi muziki utaongea...

Like
464
0
Wednesday, 01 October 2014
Big Fendi, NICK MINAJ BADO YUPO CHINI YA DIRTY MONEY
Entertanment

Aliekuwa meneja wa Msanii Nick Minaji, Big Fendi ameelezea kiundani jinsi alivyokutana na msanii huyo kati ya mwaka 2006 au2007 kupitia mtandao wa MySpace ambapo alimchukua na kumbadilisha jina kutoka Nicki Maraj kwenda Nicki Minaj kitendo kilichomsababishia Nick Minaj matatizo na familia yake lakini baadae Big Fendi alimuelewesha ikiwemo pia kumtumia Jadakiss na Busta Rhymes Fendi amedai kumiliki sehem ya jina na vyanzo vya mapato vya Nick ikiwemo NickiMinaj.com.   Fendi Baadae alipata mkataba wa kumuuza nick Minaj kwenda Young...

Like
460
0
Tuesday, 30 September 2014
CRISS BROWN KWENYE UTATA NA TMZ
Entertanment

Mkali wa ngoma zinayofanya vizuri kwa sasa New frame na loyal Criss brown jana kupitia mtandao wa Instagram alimtukana meneja wa TMZ mtandao unaotoa ripoti na tetesi za mastar huko marekani.                     Criss brown alimtukana CEO . Harvey Levin kwa kumuita shetani na kumtaka aache kumfuatilia mara moja. Criss Brown amedai meneja huyo amekuwa akimfuatilia kwa miaka kadhaa kwa lengo la kumshusha. Hii inakuja siku chache baada ya mtandao huo kuchapisha habari...

Like
364
0
Tuesday, 30 September 2014
MEEK MILL KUTOKA JELA HIVI KARIBUNI
Entertanment

  Rapa kutoka kundi la MMG Meek Mill ambae jina lake halisi ni Robert Williams alihukumiwa kutumikia kifungo kisichopungua miezi mitatu hadi sita jela baada ya rufaa yake kukataliwa alipokutwa na hatia ya kutofuata taratibu alizowekewa wakati anatumikia kifungo cha nje ikiwemo fujo na vurugu. Meek Mill alitiwa hatiani baada ya kukamatwa na silaha pamoja na madawa ya kulevya mwaka 2008 ambapo alitumikia miezi nane jela kabla hajaachiwa kutumikia kifungo cha nje ndani ya miaka mitano.Kupitia mtandao wa twitter rick...

Like
481
0
Monday, 29 September 2014
DIAMOND PLUTNUM AMZAWADIA GARI WEMA SEPETU
Entertanment

Kupitia mtandao wa instagram jana msanii wa muziki wa kizazi kipya Nasib Abdul yani Diamond amepost picha ya gari alilomnunulia mpenzi wake muigizaji Wema Sepetu gari aina ya Nisani kama zawadi katika siku yake ya kuzaliwa september 28. wawili hawa ambao wamekuwa wakimake Headlines kwenye vyanzo vya habari tofauti kuhusiana na mapenzi yao mbali na hayo wema anamiliki kampuni ya Endless fame inayojihusisha na uandaaji wa filam lakini pia Diamond ndie mmiliki wa brand ya Wasafi classic inayojihusisha zaidi na maswala...

Like
783
0
Monday, 29 September 2014