Sports

ROONEY AWATAKA MASHABIKI KUWA NA SUBIRA
Slider

Mchezaji wa Manchester United Wayne Rooney amesema ”magoli yatakuja” baada ya kuanza msimu mpya bila ya kufunga goli lolote.Rooney, mwenye miaka 29, amecheza kama mshambuliaji wa kati kwenye michezo yote ya ufunguzi wa ligi. Lakini bado hajafumania nyavu katika mchezo wowote tokea kuanza kwa msimu huku baadhi ya watu wakidai kuwa uwezo wake wa kufumania nyavu umeshuka. ”Nimekua na mchezo mbaya msimu huu na kilamtu analizungumzia hilo.Nimewahi kuwa na tatizo kama hilo kipindi cha nyuma lakini natumai mwishoni mwa juma...

Like
187
0
Thursday, 20 August 2015
RYAN JONES ASTAAFU RAGA
Slider

Nahodha wa zamani wa Wales Ryan Jones amestaafu kucheza mchezo wa raga kutokana na ushauri wa madaktari.Mchezaji huyo mwenye miaka 34, aliyeshinda pia vikombe 75 katika timu yake ya Wales,amekua na nafuu kutokana na upasuaji wa bega aliofanyiwa mwishoni mwa msimu uliopita. Lakini Jones amehsauriwa kutorudi tena katika mchezo huo kutokana na kuwepo uwezekano wa kupata majeraha makubwa zaidi jambo ambalo linaweza kuwa hatari kwake.”Maneno pamoja na umri juu ya kufanya maamuzi pamoja na kuwa na moyo mzito wa kuamini...

Like
195
0
Thursday, 20 August 2015
RATIBA YA MECHI ZA UFUNGUZI LIGI KUU TANZANIA BARA
Slider

Ligi kuu Tanzania bara kuanza kutimua vumbi tarehe 12 mwezi wa 9. Mechi za ufunguzi zitakuwa kama ifuatavyo Jumamosi. Ndanda vs mgambo – Nangwanda Cjaona African sports vs simba – mkwakwani Tanga. Maji maji vs jkt ruvu – Songea Azam vs Tanzania prisons – Azam Comlex Stand utd vs mtibwa – Kambarage Kagera Toto afrika vs Mwadui – Kirumba Mwanza Jpili. Yanga vs coast unioni –...

Like
290
0
Wednesday, 19 August 2015
ATHLETIC BILBAO YATWAA SUPER CUP
Slider

Klabu ya soka ya Athletic Bilbao imetwaa taji la Super Cup Bilbao wametwaa ubingwa huo baada ya miaka 31 katika mchezo uliochezwa katika dimba la Nou Camp.Katika mchezo wa fainali ya kwanza kwenye dimba la San Mames Bilbao walipata ushindi wa mabao 4-0. Mshambuliaji Lionel Messi ndio alianza kuiandikia timu yake bao dakika 44 kabla ya Aritz Aduriz kuisawazishia timu yake katika dakika ya 81 ya mchezo na na kuihakikishia ubingwa huo kwa jumla ya mabao 5-1. Beki wa Barca...

Like
188
0
Tuesday, 18 August 2015
SIMBA YATANGAZA RASMI KUACHANA NA IVO MAPUNDA
Slider

klabu ya soka ya Simba Sc imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Ivo Mapunda Akizungumza katika kipindi cha Sports Headquarters Mapunda amesema uongozi wa klabu hiyo umefikia maamuzi hayo huku wakimpa sababu kuu ni kuwa hakuonyesha ushirikiano kuingia katika mkataba mpya na klabu hiyo . Baada ya maamuzi ya kuachana na mlinda mlango huyu Simba pia imemtaka Ivo mapunda arejeshe kiasi cha pesa alizolipwa na klabu hiyo ambapo Ivo ametangaza dhamira yake pia kurejesha pesa...

Like
160
0
Tuesday, 18 August 2015
CHELSEA YAPOKEA KICHAPO CHA 3-0
Slider

Meneja wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ametoa utetezi kufuatia maamuzi yake ya kmtoa nahodha John Terry na nafasi yake kuchukuliwa na Kurt Zouma katika kipindi cha mapumziko kwenye mchezo kati yao na klabu ya Manchester City. Chelsea ilipokea kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa Manchester City siku ya jumapili kwenye mchezo wa ligi kuu nchini England. Katika utetezi wake bosi wa Chelsea amethibitisha kuwa Terry hakupata majeraha bali alimtoa kwa sababu za kimchezo. “ilikuwa wazi kwenye mipango yangu kumuingiza...

Like
189
0
Monday, 17 August 2015
ANDY MURRAY ATWAA TAJI LA ROGERS
Slider

Nyota namba tatu kwa ubora wa mchezo wa tenesi muingereza Andy Murray ametwaa ubingwa wa michuano ya Rogers Murray ametwaa ubingwa huu baada ya kumshinda mpinzani wake Novack Djokovic kwa seti 6-4 4-6 6-3 katika mchezo uliochukua muda wa saa tatu. Kwa ushindi huu Murray anavunja mwiko wa kupoteza mapambano manane dhidi ya Novack ambae anashilikia nafasi ya kwanza kwa ubora. Murray amemzawadia ushindi huo kocha wake Amelie Mauresmo,aliyepata...

Like
178
0
Monday, 17 August 2015
ROCKSTAR4000 YATANGAZA COLLABO YA ALI KIBA NA NEYO
Slider

  Kampuni kubwa ya muziki duniani Rockstar 4000 inayosimamia kazi za Ali Kiba imetangaza Collabo ya msanii huyu na mkali wa miondoko ya R&B duniani kutoka Marekani Neyo kupitia akaunti ya Instagram ya kampuni hiyo. Ni furaha kwa muziki wa Afrika Mashariki kuzidi kuvuka boda na mipaka ya dunia, Hongera Ali Kiba pamoja na wasanii wote wanaofanya kazi nzuri kuutangaza muziki na kazi za...

Like
351
0
Friday, 14 August 2015
MOURINHO ASHUTUMIWA KUMTEMA EVA
Slider

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amejipata akishutumiwa vikali baada ya ripoti kuibuka kwamba amemtenga daktari wa mabingwa hao wa Ligi ya Premia Eva Carneiro. Ripoti kwenye vyombo vya habari Uingereza zinasema Carneiro hatakuwa tena akihudhuria mechi za Chelsea wala vikao vya mazoezi baada ya Mourinho kumzomea yeye na daktari wa viungo Jon Fearn kwa kukimbia uwanjani kumhudumia Eden Hazard dakika za mwisho za mechi ya wikendi iliyopita iliyoisha sare 2-2 nyumbani dhidi ya Swansea City. Mourinho, aliyesema Carneiro na Fearn...

Like
364
0
Friday, 14 August 2015
KENYA: ORSBONE MONDAY ATEKWA NYARA
Slider

Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars, Orsbone Monday amepotea baaada ya kuchukuliwa na watu wasio julikana huku wakijitambulisha kwao kuwa ni maafisa wa polisi. Mchezaji wa timu ya Tusker FC ya Kenya ameripotiwa kupotea huku taarifa zaidi zikieleza kuwa ametekwa nyara na watu wasiojulikana. Mama mzazi wa Orsbone ameripotiwa akiesema kwamba mtoto wake alifuatwa nyumbani kwake na watu 10 wasiojulikana ambao walijitambulisha kuwa ni polisi kutoka kituo cha Kenyatta ambao hawakuruhusu namba za magari waliyoenda...

Like
184
0
Thursday, 13 August 2015
DZEKO ATUA ROMA KWA MKOPO
Slider

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City, Edin Dzeko amejiunga na klabu ya Roma ya Italia kwa mkopo wa muda mrefu huku uhamisho wake ukitazamwa kama uhamisho wa kudumu, ilitangaza klabu ya Manchester City ya England. Mshambuliaji huyo mwenye asili ya Bosnia alijiunga na Man City akitokea Wolfsburg mwaka 2011akiwa na rekodi ya kushinda magoli 72 katika michezo yake 189. Katika msimu uliopita mchezaji huyu hakuhusishwa sana na michezo ya klabu ya Man City hali iliyopelekea apate ushindi wa magoli sita...

Like
169
0
Thursday, 13 August 2015