Sports

MANCHESTER CITY YAKUBALI KUMSAJILI RAHEEM STERLING
Slider

Manchester City imekubali dili la kumsajili mshambuliaji wa England Raheem Sterling kwakitita cha pound 49 million deal kutoka kwa wapinzani wao Liverpool nah ii ni kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchini Uingereza. Mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 20 hakuondoka na kikosi cha Liverpool kwenye ziara ya klabu hiyo huko Asia na Australia baada ya kutajwa kwenye...

Like
152
0
Monday, 13 July 2015
ALL AFRICA GAMES MAKUNDI YAPANGWA
Slider

Upangaji wa makundi wa soka ya wanawake ya Michezo ya Afrika (All Africa Games) itakayofanyika nchini Congo Brazzaville kuanzia Septemba 4-19 umefanywa na Shirikisho la soka barani Afrika, CAF na timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imepangwa Kundi A pamoja na wenyeji Kongo, Nigeria na Ivory Coast. Upangaji wa makundi hayo umefanyika leo makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) mjini Cairo, Misri. Kundi B lina timu za Cameroon, Afrika Kusini, Ghana na Misri....

Like
180
0
Friday, 10 July 2015
MERCELL JENSEN ATANGAZA KUSTAAFU SOKA
Slider

Mlinzi wa zamani wa Ujerumani Marcell Jansen ametangaza maamuzi ya kustaafu soka akiwa na miaka 29 na kusema hana mpango wa kutafuta klabu nyingine baada ya kumaliza kuitukikia Hamburg SV. Beki huyo wa kushoto ambae pia ameichezea Moenchengladbach na Bayern Munich kabla ya kukipiga kwa miaka saba kwenye klabu ya Hamburg. Amesema amepokea ofa kutoka klabu mbalimbali ila angependelea kuingia kwenye fani nyingine mbali na kucheza mpira. Aliandika kupitia ukurasa wake wa facebook. Jansen aliyecheza kombe la dunia mwaka 2006...

Like
152
0
Thursday, 09 July 2015
MATUMAINI YA RAHEEM STERLING KUBAKI LIVERPOOL YAFIFIA
Slider

Mshambuliaji wa England Raheem Sterling hakuhudhulia mafunzo na mazoezi siku ya jumatano huku ikiripotiwa kuwa mchezaji huyo amekataa kwenda kwenye tour na timu yake ya Liverpool ambapo klabu hiyo inatarajiwa kwenda Asia na Australia wiki ijayo. Sterling, 20, ameipigia simu klabu hiyo na kuwaeleza kuwa hajisikii vizuri kiafya, hii ni kwa mujibu wa vyanzo vya habari nchini Uingereza. Hali hii ya sasa kwa mchezaji huyu na klabu yake inaongeza uvumi juu ya dili mpya iliyowekwa mezani na Manchester City kwakuzingatia...

Like
174
0
Thursday, 09 July 2015
SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA LIMETHIBITISHA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SUNDAY OLISEH
Slider

Shirikisho la mpira wa miguu nchini Nigeria limethibitisha kufanya mazungumzo na nohodha wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria (Super Eagles) Sunday Oliseh ili kuweza kumpatia nafasi ya kukinoa kikosi hicho kufuatia kufukuzwa kwa mwalimu wa kikosi hicho Stephen Keshi. Rais wa shirikisho hilo Amaju Pinnick anatajwa kufanya mazungumzo na Sunday Oliseh huko London kwaajili ya kufanya mazungumzo. Taarifa hizo za kupewa nafasi nahodha huyo wa zamani ziliripotiwa pia katika tovuti ya shirikisho la mpira wa miguu...

Like
180
0
Thursday, 09 July 2015
STEVEN GERRARD: DAVID BECKHAM NI SHUJAA WANGU
Slider

Steven Gerrard amesema kuwa aliyewahi kuwa mchezaji mwenzake katika kikosi cha England David Beckham amehusika kwa kiasi kikubwa kwenye uhamisho wake kwenda kuichezea LA Galaxy. Beckham amekaa Los Angeles na kushinda kombe la MLS katika mchezo wa mwisho uliochezwa December 2012. Gerrard, 34, anatarajiwa kucheza mchezo wake wa kwanza akiwa na kikosi hicho katika mchezo wa kirafiki dhidi ya wamexico siku ya jumamosi. “David ni shujaa wangu, ni mtu hodari sana, mchezaji mzuri, ni mtu niliemtegemea kujifunza na kupata ushauri...

Like
191
0
Wednesday, 08 July 2015
NEW YORK CITY: FRANK LAMPARD AFURAHIA KUKIPIGA NA LAMPARD PAMOJA NA PIRLO
Slider

Kiungo wa zamani wa England Frank Lampard amesema anajisikia faraja na mwenye bahati kukipiga katika timu moja ya New York City  na Andrea Pirlo Mchezaji huyo wa zamani wa klabu za  Chelsea na Manchester City,37 aliwekwa wazi na klabu ya New York siku ya jumanne akiwa tayari kukipiga katika mchezo wake wa kwanza na klabu hiyo dhidi ya Toronto tarehe 12 July. Klabu hiyo ya New York pia amemuongeza muitalia Andrea Pirlo, 36, kutoka Juventus kuongeza nguvu kwenye kikosi pamoja...

Like
158
0
Wednesday, 08 July 2015
VAN PERSIE KUENDELEA KUKIPIGA MANCHESTER UNITED
Slider

Agenti wa mshambuliaji wa Uholanzi, Robin van Persie amepuuzilia mbali uvumi mteja wake amekubali kuondoka Manchester United na kujiunga na majabali wa Uturuki, Fenerbahce. Taarifa zilitapakaa wikendi iliyopita kuwa straika huyo amewekwa sokoni na miamba hao wa ligi Premier Uingereza na amekubali kufunga virago vyake kuhamia klabu hicho cha Super Lig baada ya kukubaliana matakwa binafsi. Kess Vos alikanusha ripoti hizo akisema mshambuliaji huyo nyota, 31, ataendelea kufanya matayarisho wa msimu ujao Old Trafford kama ilivyotarajiwa. “Ikiwa...

Like
180
0
Tuesday, 07 July 2015
KIIZA ATUA RASMI SIMBA
Slider

Timu ya Simba imesema Mganda Hamisi Kiiza atakuwa chachu ya mafanikio katika msimu ujao baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili Kiiza amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba ya Tanzania katika msimu ujao wa ligi kuu Tanzania Bara. Kiiza aliichezea timu ya Yanga, ambayo ni mahasimu wa Simba katika msimu uliopita na baadae klabu hiyo kuamua kuachana naye. Habari kutoka SImba zinasema wana imani mchezaji huyo ataisaidia timu hiyo iliyomaliza nafasi ya tatu katika msimu uliopita na ikiwa na...

Like
194
0
Tuesday, 07 July 2015
SERIKALI ISIPOTENGA BAJETI KUSAIDIA TFF KUINUA SOKA, TANZANIA ITAENDELEA KUWA POMBE YA NGOMANI KIMATAIFA
Slider

Na Omary Katanga. Hakuna ubishi kwamba nchi yeyote duniani yenye dhamira ya kweli ya kuwa na maendeleo katika michezo, serikali ni lazima iweke nguvu yake ya fedha kwa asilimia 50 hadi 80 kusaidia mpango huo. Lakini inashangaza kuona katika nchi yetu shirikisho la mpira wa miguu TFF linalia kila kukicha kutokana na kukabiliwa na ukata wa fedha,hali inayocheleweshwa maendeleo ya sekta ya mpira wa miguu ambayo TFF inadhamana kubwa ya kusimamia. Awamu ya rais Leodiga Tenga alipokuwa TFF alianzisha wimbo...

Like
220
0
Monday, 06 July 2015
MKWASA AISIFU STARS KWAKUPAMBANA
Slider

Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ amesema timu yake imepigana kufa na kupona na kucheza vizuri licha ya kutolewa na wenyeji Uganda (The Cranes) katika kinyang’anyiro cha kugombea tiketi ya kufuzu kucheza fainali za CHAN mwakani nchini Rwanda. Stars imetoka sare ya bao 1- 1 dhidi ya wenyeji Uganda (The Cranes) katika mchezo wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2017 nchini Rwanda uliofanyika uwanja wa Nakivubo Jumamosi. Stars ilicheza soka la kuvutia tangu mwanzo mpaka mwisho wa mchezo hali...

Like
182
0
Monday, 06 July 2015