RAIS MAGUFULI NA MITANDAO YA KIJAMII
Local News

Rais John Magufuli ametumia dakika 40 kuelezea jinsi alivyokuwa akilala usiku wa manane kuchambua majina 185 ya wakurugenzi wa wilaya, amesema matokeo yake hakuna “vilaza” waliopenya, akijibu habari zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii. Katika hotuba yake Rais alisema katika kazi hiyo iliyomchukua takribani miezi minne, alipitia jina la kila mkurugenzi aliyemteua na hakuna aliyepenyeza jina lake kutaka kuteuliwa likapita. “Aliyejaribu, jina lake liliondolewa. Sikujua hata sura zenu ila kwa jinsi ninavyoziona nyuso zenu hapa, hakika...

Like
337
0
Wednesday, 13 July 2016
JERRY MURO ABWAGA MANAYANGA, HUU NDIO UJUMBE WAKE
Slider

Kila nikizifikiria figisu za soka la bonge aisee nachoka kabisaa, let me walk away for a while though I will be missing my funs and my people wa kimataifa but I must walk away for a while...

Like
329
0
Wednesday, 13 July 2016
MUSEVENI ASIMAMISHA MSAFARA, AKETI BARABARANI KUPOKEA SIMU
Global News

Rais wa Uganda bwana Yoweri Kaguta Museveni alizua kihoja katika kijiji kimoja karibu na mpaka wa Uganda na Tanzania aliposimamisha msafara wake wa Rais Yoweri Museveni, alishuka kutoka kwenye gari lake rasmi akachukua kiti chake na kukiweka kando kando ya barabara mpya ya Isingiro ikipitia kijiji hicho cha Kyeirumba hadi Tanzania na kupokea simu faraghani. Mzee Museveni kama vile baba wa taifa alitumia muda wake kufanya shughuli hiyo huku akiwapungia mkoo wapita njia. Baada ya dakika 30 hivi raia wa...

Like
546
0
Tuesday, 12 July 2016
RONALDO AMBWAGA MESSI KWA MWAPATO 2015
Entertanment

Christiano Ronaldo ndiye mwanamichezo anayelipwa pesa nyingi zaidi duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes. Ronaldo ameorodheshwa katika nafasi ya 4 akiwa na jumla ya mapao ya dola milioni 88.($88m (£67m) Licha ya kuzoa taji la mchezaji bora duniani na hatimaye kuhukumiwa kifungo cha miezi 21 kwa kukwepa kulipa kodi, mshambulizi wa Argentina na Barcelona ya Uhispania Lionel Messindiye mwanamichezo wa pili katika orodha hiyo. Messi ameorodheshwa katika nafasi ya 8 akiwa na mapato ya takriban dola milioni themanini na...

Like
386
0
Tuesday, 12 July 2016
MAPIGANO YAZUKA TENA JUBA, SUDAN KUSINI
Global News

Mapigano yamezuka tena nchini Sudan Kusini saa chache baada ya Umoja wa Mataifa kuhimiza pande hasimu kusitisha vita. Mwanahabari aliyeko mjini Juba ameambia BBC kwamba milio ya risasi na milipuko mikubwa imeanza kusikika kote mjini humo. Amesema silaha nzito zinatumika kwenye vita hivyo. Mapigano yamekuwa yakiendelea kwa siku kadha kati ya wanajeshi watiifu kwa Rais Salva Kiir na wanajeshi watiifu kwa Makamu wa Rais Dkt Riek Machar. Vituo vya Umoja wa Mataifa pamoja na maeneo ya raia pia yameshambuliwa, jambo...

Like
225
0
Monday, 11 July 2016
EURO 2016: URENO YATWAA UBINGWA
Slider

Ureno wameshinda michuano ya kandanda ya Ulaya, Euro 2016, kwa kuwafunga wenyeji Ufaransa 1-0 katika dakika za ziada kwenye mchezo wa fainali mjini Paris. Goli la ushindi lilifungwa na Eder katika dakika ya 110, na kusababisha huzuni kubwa kwa mashabiki wa Ufaransa waliofurika kwenye uwanja wa Stade de France. Ilikuwa furaha kubwa kwa mashabiki wa Ureno. Hii ni mara ya kwanza Ureno kushinda michuano mikubwa. Ureno walicheza kwa kujituma na ushirikiano bila ya mchezaji wao nyota Cristiano Ronaldo aliyetoka kutokana...

Like
418
0
Monday, 11 July 2016
WATU 12 WAFARIKI KUTOKANA NA FOLENI YA MAGARI
Global News

Watu 12 wamefariki nchini Indonesia kutokana na foleni ya magari iliyosababisha mamilioni ya watu kukwama barabarani siku kadha. Wengi walifariki kutokana na kukosa maji mwilini na uchovu. Watu wengi waliokuwa wakisafiri kwa sherehe za kuadhimisha mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhan walikusanyika katika makutano ya barabara kisiwa cha Java. Na hapo ndipo msongamano mkubwa wa magari ulipotokea. Maafisa wa uchukuzi nchini Indonesia wanasema vifo hivyo vimetokea katika kipindi cha siku tatu. Vyombo vya habari nchini Indonesia vinasema wengi wa...

Like
296
0
Friday, 08 July 2016
MAREKANI NA KOREA KUSINI WAJILINDA DHIDI YA KOREA KASKAZINI
Global News

Marekani na Korea Kusini zimekubaliana kuweka mfumo wenye utata wa ulinzi dhidi ya makombora, kama njia ya kukakabiliana na vitisho vinayoendelea kutoka kwa Korea kaskazini. Mfumo huo wa ulinzi unaowekwa katika maeneo yenye milima mirefu kudhibiti mashambulizi ya makombora utawekwa kujibu vitisho tisho kutoka Pyongyang, ilieleza taarifa. Haijabainika wazi ni wapi mtambo huo utawekwa na hatimae ni nani ataudhibiti. Uchina, ambayo imekuwa ikipinga mara kwa mara mpango huo, imepinga mfumo huo tena kupitia wajumbe wa korea Kusini na Marekani....

Like
334
0
Friday, 08 July 2016
POLISI WATANO WAUAWA DALLAS, MAREKANI
Global News

Maafisa watano wa polisi mjini Dallas, Marekani wamepigwa risasi na kuuawa wakati wa maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi. Maafisa wengine sita wanauguza majeraha. Maafisa wa polisi katika mji ulio katika jimbo la Texas, wanasema mauaji hayo yametekelezwa na washambuliaji wawili wa kulenga shabaha. Mkuu wa polisi wa Dallas David Brown amesema amesema maafisa wa polisi bado wanakabiliana na mshukiwa mmoja ambaye anadaiwa kujibanza katika jumba linalotumiwa kuegesha magari. “Mshukiwa huyo ambaye tunawasiliana naye amewaambia maafisa wetu...

Like
242
0
Friday, 08 July 2016
SETELITE YA JUNO YAKARIBIA SAYARI YA JUPITA
Global News

Ile Setelite ya Juno iliiyosafiri kwa miaka mitano kwenda katika sayari ya Jupita sasa inakaribia kufika kwenye sayari hiyo.Wanasayansi wanakadiria setelite hiyo itafika muda mfupi ujao majira ya saa 12:15 asubuhi hii kwa saa za afrika mashariki. Setilite hiyo kama itafanikiwa kufika ilipokusudiwa kwenye sayari hiyo inatarajiwa kudumu kwa mwaka mmoja na nusu kuchunguza sayari jinsi...

Like
306
0
Tuesday, 05 July 2016
ICELAND WAPOKEWA KISHUJAA
Slider

Maelfu ya raia wa Iceland wamekusanyika katikati ya mji mkuu wa Reykjavik kukaribisha msafara wa timu yao ya taifa kwa mafanikio iliyopata kwenye michuano ya Kombe la mataifa Bingwa barani ulaya mwaka huu 2016. Wachezaji walipita katikati ya mji wakiwa ndani ya basi kubwa la wazi wakisindikizwa na ngoma hadi katika mlima wa Arnarholl ambapo mashabiki waliwasalimia kwa shangwe na makofi . Iceland ambayo imeshiriki kwa mara ya kwanza mashindano makubwa ya Kombe la mataifa barani Ulaya ilifikia ukingoni mwa...

Like
413
0
Tuesday, 05 July 2016
« Previous PageNext Page »