Global News

IRAN YAKAMATA BOTI 2 ZA DORIA ZA MAREKANI
Global News

BOTI mbili za doria za Marekani zikiwa na wafanyakazi 10 zimekamatwa nchini Iran.   Maafisa wa Marekani wamesema boti hizo zilikuwa katika mazoezi kati ya Kuwait na Bahrain kwenye eneo la Ghuba, baada ya moja wapo kupata matatizo ya kiufundi na kupoteza mwelekeo hadi katika maji ya Iran.   Waziri wa Mambo ya Nje ya Marekani John Kery amewasiliana na mwenziye wa Iran Mohammad Javad Zarif, ambaye amemhakikishia kwamba wanamaji wa boti hiyo watarudishwa mara...

Like
225
0
Wednesday, 13 January 2016
SUDANI KUSINI: NUSU YA WATOTO WAKATISHA MASOMO
Global News

  SHIRIKA linalohudumia watoto la Umoja wa Mataifa limesema zaidi ya nusu ya watoto walioko Sudan kusini hawako shule.   Kwa mujibu wa UNICEF, idadi hiyo ni kubwa kuliko nchi yoyote ile duniani.   Shirika hilo limesema watoto wa kike na wakiume wapatao milioni 1.8 hawajapata elimu darasani na kwamba tangu kuzuka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2013 zaidi ya shule mia nane...

Like
180
0
Wednesday, 13 January 2016
UFARANSA YAWAKUMBUKA WALIOUAWA KIGAIDI PARIS
Global News

RAIS wa Ufaransa Francois Hollande na Meya wa mji wa Paris Anne Hidalgo waliweka bango la taarifa katika eneo la Place de la Republique kuwakumbuka watu 147 waliouawa katika mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris mnamo mwezi Novemba mwaka jana.   Rais Hollande aliungana na viongozi wengine na maelfu ya raia kuwakumbuka wahanga hao wa mashambulizi ya kigaidi ambayo kundi la wanamgambo wenye itikadi kali wa Dola la Kiislamu IS lilidai kuhusika.   Wiki nzima iliyopita, Ufaransa...

Like
168
0
Monday, 11 January 2016
SYRIA: UN YATOA MSAADA MADAYA
Global News

UMOJA wa mataifa umesema kuwa misafara ya magari iliyobeba chakula cha mwezi mzima na dawa leo umeanza kuelekea nchini Syria katika mji wa Madaya eneo ambalo limeathiriwa na njaa ambapo baadhi yao wamekufa kutoka na hali hiyo.   Watu zaidi ya elfu 40 wamezuiwa na serikali kutoka katika maeneo hayo na hawajahi kupokea msaada wa chakula tangu mwezi Oktoba mwaka jana.   UN wanasema kuwa wanaushahidi kwamba baadhi wamekufa kwa njaa katika mji huo wa Madaya nchini Syria kutokana na...

Like
185
0
Monday, 11 January 2016
WAPALESTINA WANNE WAUAWA UKINGO WA MAGHARIBI
Global News

JESHI la Israel limesema kwa Wapalestina wanne wameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kujaribu kuwachoma visu wanajeshi wa Israel katika matukio mawili tofauti eneo la Ukingo wa Magharibi.   Watatu waliuawa katika makutano ya barabara ya Gush Etzion, ambako visa kama hivyo vimewahi kutokea awali na mwingine aliuawa karibu na Hebron lakini hakuna mwanajeshi aliyejeruhiwa.   Maafisa wa afya wa Palestina wamethibitisha vifo...

Like
165
0
Friday, 08 January 2016
SUDANI KUSINI: SALVA KIIR AOMBA RADHI RAIA
Global News

RAIS wa Sudan Kusini Salva Kiir kwa mara ya kwanza amewaomba radhi raia wa nchi hiyo kutokana na mateso na dhiki ambayo wamepitia wakati wa mzozo wa kisiasa uliodumu miaka miwili.   Rais  Kiir amesema kuomba msamaha ndiyo hatua ya kwanza katika kufanikisha maridhiano nchini humo.   Amechukua hatua hiyo wakati wa kufungua rasmi mkutano mkuu wa chama tawala cha SPLM. Jana, pande zilizohusika katika mzozo huo ziliafikiana kuhusu kugawana nyadhifa za uwaziri katika baraza la mawaziri la serikali ya...

Like
182
0
Friday, 08 January 2016
MLIPUKO WAUA 70 LIBYA
Global News

WATU  70 wameuwawa  wakati  lori lililokuwa limewekewa  miripuko  kuripuka  katika  kambi  ya  polisi Kaskazini  Magharibi  ya  Libya  katika  mji  wa  pwani  wa Zliten.   Watu  wengi  wamejeruhiwa  katika  shambulio hilo  la  kujitoa  muhanga, ambalo  lilishambulia kundi  la maafisa  wa  polisi  waliokuwa  wamekusanyika  jana katika kambi .   Kwa  mujibu  wa  watu  walioshuhudia,  lori  hilo  lililokuwa na  miripuko  liligonga  katika  lango  la  kambi  hiyo ambayo  inatumiwa  kuwapa ...

Like
209
0
Friday, 08 January 2016
SALVA KIIR NA RIEK MACHAR WAAFIKIANA MUUNDO WA SERIKALI YA MPITO
Global News

HATIMAYE, RAIS  wa  Sudan  Kusini Salva Kiir  na  kiongozi  wa  waasi Riek Machar  wamefikia  makubaliano  ambapo  pande  hizo mbili  zimekubaliana  kuhusiana  na  muundo  wa   serikali ya  mpito.   Kwa mujibu  wa  makubaliano  hayo, serikali  inaruhusiwa kuteua  mawaziri  16, ambapo  upande  wa waasi wanaruhusiwa  kuteua  mawaziri  10.   Serikali  ya  mpito  iliyokubaliwa  itakuwa  madarakani  kwa miaka 3  kabla  ya  uchaguzi  mpya  kufanyika. Sudan Kusini  imekumbwa  na  vita  vya ...

Like
260
0
Friday, 08 January 2016
WAFUNGWA 2 WA GUANTANAMO WAHAMISHIWA GHANA
Global News

WAFUNGWA wawili waliokuwa wakizuiliwa katika gereza la Guantanamo Bay, Cuba, wamehamishiwa Ghana.   Wizara ya Ulinzi ya Marekani imesema idhini ilitolewa kwa Khalid al-Dhuby kuachiliwa huru 2006 na kwa Mahmoud Omar Bin Atef mwaka 2009.   Wawili hao, wanaotoka Yemen, wamezuiliwa kwa zaidi ya mwongo mmoja na hawajawahi kufunguliwa...

Like
170
0
Thursday, 07 January 2016
MZOZO WA KIDIPLOMASIA KATI YA SAUDI ARABIA NA IRAN WAPAMBA MOTO
Global News

MZOZO wa kidiplomasia kati ya Saudi Arabia na Iran unazidi kufukuta, huku Iran ikiitaka Saudi Arabia kuachana na msimamo wake wa makabiliano.   Waziri wa mambo ya nje wa Iran Javad Zarif, ameitaka Saudi Arabia kuacha kuchochea wasiwasi na kujibu hatua zake za karibuni, ambazo zilisababisha mkwamo...

Like
188
0
Thursday, 07 January 2016
IVORY COAST: OUATTARA AKUBALI KUJIUZULU KWA WAZIRI MKUU
Global News

RAIS Alassane Ouattara wa Ivory Coast amekubali kujiuzulu kwa Waziri Mkuu na Serikali yake.   Akituma ujumbe kupitia mtandao wa Twitter, Outtarra amesema waziri mkuu aliwasilisha hati ya kujiuzulu na ile ya serikali naye akairidhia.   Ouattara, mwanauchumi mwenye umri wa miaka 74, aliyewahi kulitumikia shirika la fedha la kimataifa na  amechaguliwa kwa muhula wa pili wa miaka mitano kama rais, mwezi Oktoba mwaka...

Like
732
0
Thursday, 07 January 2016