Slider

MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI YAPELEKEA VIFO VYA NG’OMBE SABINI NA TISA MVOMERO
Local News

JUMLA ya ng’ombe sabini na tisa zimeuawa kwa kipindi kinacho ishia mwezi Desemba mwaka huu   kutokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji yaliyotokea kwenye kijiji cha Dihinda  Tarafa ya Turiani Wilaya ya Mvomero  Mkoani Morogoro. Mkuu wa kitengo cha Habari na Mawasilano kutoka Wizara ya Mifugo ,Kilimo na Uvuvi ,JUDITH MHINA amesema kuwa kumekuwa na ukiukwaji wa haki za wanyama hususani  ng’ombe katika wilaya hiyo kwani wanyama hao wamekuwa wakiuawa bila sababu maalum. JUDITH ameeleza  kuwa kutokana na...

Like
297
0
Wednesday, 30 December 2015
MELI ILIYOBEBA MADINI YA URANI YANG’OA NANGA IRAN
Global News

MELI iliyobeba kilo 11,000 za madini ya Urani ambayo yamerutubishwa kwa kiwango kidogo imeng’oa nanga nchini Iran ikielekea Urusi, katika hatua ya Iran kutekeleza makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia ambayo yalifikiwa tarehe 14 Julai baina yake na mataifa yenye nguvu duniani. Hayo yamethibitishwa na Marekani. Huku kipengele muhimu cha makubaliano hayo kinaitaka Iran kupunguza akiba yake ya madini ya Urani yaliyorutubishwa kiasi hadi chini ya kilo 300. Yakirutubishwa zaidi, madini hayo yanaweza kutumiwa kuunda silaha za nyuklia, azma...

Like
225
0
Tuesday, 29 December 2015
WAZIRI MKUU WA ZAMANI WA ISRAEL AHUKUMIWA MIEZI 18 JELA
Global News

WAZIRI MKUU wa zamani wa Israel Ehud Olmert ametakiwa kutumikia kifungo cha miezi 18 jela kwa makosa ya rushwa. Olmert alikuwa amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela na mahakama mwaka 2014, lakini adhabu hiyo sasa imepunguzwa na Mahakama ya Juu. Mwanasiasa huyo wa umri wa miaka 70 alipatikana na hatia kuhusu mkataba wa ujenzi wa nyumba ambao ulifanyika alipokuwa meya wa Jerusalem, kabla yake kuwa waziri mkuu...

Like
160
0
Tuesday, 29 December 2015
FEDHA ZA MKESHA WA KUOMBEA AMANI KUTUMIKA KUSAIDIA WATU WENYE MAHITAJI HASA AFYA YA MAMA NA MTOTO
Local News

IMEELEZWA kuwa Fedha zitakazopatikana katika Tamasha la mkesha wa kuombea amani  nchini zitatumika kuwasaidia watu wenye mahitaji  hasa afya ya mama na mtoto. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti  wa Jumuiya  wa Makanisa ya Pentekoste , ambaye pia ni Askofu wa huduma ya Tanzania Fellowship TFC,  Askofu  Godfrey  Malassy  alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.   Askofu Malassy amesema kwamba, fedha zitakazopatikana katika tamasha hilo zitanunua vifaa vinavyotumia nishati ya jua ili kuwasaidi wamama...

Like
161
0
Tuesday, 29 December 2015
TANZANIA YAJIPANGA KUACHA KUTEGEMEA WAHISANI
Local News

WAZIRI wa Fedha na Mipango Dokta Philipo Mipango amesema kuwa wizara yake haitakuwa tayari kuona nchi ya Tanzania ikiendelea kujiendesha kwa kutegemea misaada kutoka nchi wahisani, bali itajiendesha kwa  kukusanya mapato yakutosha yaliyopo ndani ya nchi ili jamii iweze kufaidika na matumizi ya mapato hayo. Dokta mipango ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam  baada ya kukabidhi ofisi aliyokuwa akikaimu ya Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kabla ya kuapishwa kuwa waziri wa fedha na mipango kwa kamishna mkuu mpya wa...

Like
180
0
Tuesday, 29 December 2015
DON JAZZY ATANGAZA KUACHA KUIMBA IFIKAPO 2016
Entertanment

Tukiwa ukingoni mwa mwaka 2015 CEO wa Mavin Records, Don Jazzy ametangaza kustaafu kuimba Muziki na kuendelea na shughuli za uandaaji ifikapo mwaka 2016. kupitia ukurasa wake wa twitter star huyu wa Nigeria ametoa kauli hiyo huku akiwaacha wengi kati ya mashabiki wa muziki wake wakiwa katika njia panda kukubali...

Like
206
0
Tuesday, 29 December 2015
RAIS AAGIZA MAPROMOTA WA SHOW YA ENRIQUE IGLESIAS KUSHUSHIWA KICHAPO
Entertanment

Rais wa Sri Lanka Maithripala Sirisena  ametoa ya moyoni kwa kutaka waandaji wa show ya Enrique Iglesias kushushiwa kichapo kizito. Hatua hii ya Rais Sirisena imekuja baada ya warembo waliohudhuria tamasha la mkali huyu wa Muziki kushindwa kuzuia hisia zao na kuanza kumrushia nguo zao za ndani star huyo wakati anatuimbuiza jukwaani na wengine kushusha mabusu ya nguvu.   Rais huyu amesema kwamba hatetei kitendo kilichofanywa na baadhi ya wanawake hao ambao hawana busara kupewa adhabu bali amesisitiza hukumu iende...

Like
250
0
Tuesday, 29 December 2015
MAREKANI YALIPONGEZA JESHI LA IRAQ KWA KUUREJESHA MJI WA RAMADI
Global News

MAREKANI imelipongeza jeshi la Iraq kwa kuweza kuurejesha mji wa Ramadi uliokuwa ukishikiliwa na wapiganaji wa Islamic State. Waziri wa Ulinzi wa Marekani Ash Carter  amesifu hatua hiyo kwa kusema ni muhimu katika kulishinda kundi hilo, aliloliita kuwa ni la kipuuzi. Amesema ni muhimu pia kwa mamlaka za Iraq kwa kupata nasafi ya kudhibiti amani katika mji huo wa Ramadi na kudhibiti kurudi tena kwa kundi hilo la IS....

Like
190
0
Tuesday, 29 December 2015
WHO KUITANGAZA GUINEA NCHI ISIYO NA EBOLA
Global News

SHIRIKA la Afya Duniani leo linatarajiwa kuitangaza Guinea kuwa nchi isiyo na maambukizo ya ugonjwa wa Ebola. Mlipuko wa virusi vya ugonjwa wa Ebola ulianza nchini humo miaka miwili iliyopita. Ugonjwa wa Ebola umesababisha vifo vya maelfu ya watu katika nchi za Afrika magharibi, hususan katika nchi za Guinea, Liberia na Sierra Leone. Waguinea wanajiandaa kusherehekea kumalizika kwa janga hilo nchini mwao kwa kufanya maonesho na kurusha...

Like
130
0
Tuesday, 29 December 2015
WATUMISHI WA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO WAASWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
Local News

WATUMISHI Wizara ya Fedha na Mipango wameaswa kufanya kazi kwa weledi na kuwekeza nguvu zaidi katika ukusanyaji mapato ili kukuza uchumi wa nchi na kuifanya nchi iwe kitovu cha uchumi Barani Afrika.   Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa. Dokta. Philip Mpango alipokuwa akiongea na watendaji wa Wizara hiyo.   Katika mazungumzo yake na watendaji hao,  Dokta. Mpango, aliuagiza uongozi wa Wizara yake kuunda  na kusimamia sera za mfumo wa ukusanyaji  kodi ambao utabaki kuwa rafiki kwa wafanyabiashara...

Like
154
0
Tuesday, 29 December 2015
RAIS MAGUFUFULI KUHUDHURIA MKESHA WA KUIOMBEA AMANI TANZANIA
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  dokta John Pombe Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkesha wa kuiombea amani  Tanzania  utakaofanyika Disemba 31 mwaka huu katika uwanja wa Taifa. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Makanisa ya Pentekoste nchini (TFC) Godfrey Malassy Cmaandalizi yote yamekamilika ikiwemo kibali kutoka polisi. Askofu Malassy ameongeza kuwa mkesha huo  utakuwa ni kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa kuijalia Tanzania kumaliza Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwezi Oktoba mwaka huu kwa Amani na utulivu, pamoja...

Like
284
0
Tuesday, 29 December 2015