Slider

WANAWAKE NCHINI WAMETAKIWA KUACHA TABIA YA KUWA TEGEMEZI
Local News

WANAWAKE nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwa tegemezi na badala yake wajishughulishe ili kujikwamua kiuchumi na kuepukana na ukatili wa kijinsia unaowakabili baadhi ya wanawake. Hayo yamesemwa Jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP Lilian Lihundi wakati alipokuwa akizungumza na kituo hiki juu ya upingaji wa ukatili dhidi ya wanawake na watoto. Amesema kuwa katika uchunguzi uliofanywa na mtandao huo umebaini kuwa kwa asilimia kubwa ukatili wa kijinsia unawakabili wanawake ambao hawajawezeshwa...

Like
300
0
Monday, 04 April 2016
JESHI LA POLISI KANDA MAALUM YA DARESALAAM LIMEFANIKIWA KUKAMATA PIKIPIKI 519
Local News

JESHI la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam limefanikiwa kukamata pikipiki 519 ambazo zimekuwa zikitelekezwa kutokana na makosa mbalimbali ya barbarani kutoka katika manispaa tatu za Ilala, Temeke na Kinondoni. Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam leo kamanda wa kanda maalumu ya mkoa huo kamishina Simon Sirro amesema katika kuhakikisha wanapambana na uhalifu mbalimbali ikiwemo wa kutumia pikipiki jeshi hilo limefanikiwa kuzuia pikipiki nyingi ambazo kwa kiasi kikubwa zimekuwa zikitelekezwa na baadhi ya watuhumiwa....

Like
226
0
Monday, 04 April 2016
VIONGOZI 72 DUNIANI WAHUSIKA NA KAMPUNI YA SIRI
Global News

STAKABADHI za siri za shirika moja la kisheria la Panama zilizopatikana na gazeti moja la Ujerumani zimeonyesha viongozi zaidi ya 72 wakuu wa nchi wa zamani na wale waliopo madarakani wanahusika na kampuni hiyo ya kisiri iliyowasaidia wateja wao kukwepa kulipa kodi, utakatishaji fedha, kukiuka mikataba na vikwazo vya kiuchumi vya kimataifa. Kwa mujibu wa nyaraka za siri zilizopatikana na gazeti moja la Kijerumani, kampuni hiyo ya Mossack Fonseca imewasaidia watu duniani kote kufungua kampuni kwenye visiwa ambavyo havitozi kodi....

Like
237
0
Monday, 04 April 2016
JESHI LA NIGERIA LAMNASA KINGOZI WA KUNDI LA ANSARU
Global News

JESHI la Nigeria limesema kuwa limemkamata kiongozi wa kundi la wapiganaji wa Kiislam la Ansaru lenye uhusiano pia na kundi la kigaidi la Al Qaeda. Taarifa ya msemaji wa jeshi la Nigeria Brigedi Jenerali Rabe Abubakar inasema kuwa Khalid al-Barnawi alikamatwa katika jimbo la Kogi nchini Humo. Kukamatwa kwa kiongozi huyo wa kundi la Ansaru tawi la Boko Haram kunafuatia kusakwa kwa muda mrefu ambapo Marekani walitoa ahadi ya zawadi ya dola millioni tano kwa yeyote atakayefanikisha kutiwa nguvuni kwa...

Like
189
0
Monday, 04 April 2016
MRADI WA UJENZI WA BARABARA YA TABORA-KOGA-MPANDA KUANZA HIVI KARIBUNI
Local News

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ipo katika hatua za mwisho kuanza mradi wa ujenzi wa barabara ya Tabora-Koga-Mpanda yenye urefu wa Km. 356 kwa kiwango cha lami ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Awamu ya Tano aliyoitoa kwa wananchi wa Mikoa ya Katavi na Tabora.   Ametoa kauli hiyo wilayani Sikonge mkoani Tabora, mara baada ya kukagua barabara hiyo ambapo pamoja na mambo mengine amesema ujenzi huo unatarajia kuanza rasmi hivi karibuni....

Like
412
0
Monday, 04 April 2016
CUF KUTOA MSIMAMO WAKE LEO JUU YA MZOZO WA KISIASA ZANZIBAR
Local News

CHAMA kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar CUF leo kinatarajiwa kutangaza mikakati yake na msimamo kuhusiana na mzozo wa kisiasa wa Zanzibar. Hata hivyo msimamo huo unatarajiwa kuzungumzia mufaka kati ya chama cha CUF na CCM ambao ulileta uundwaji wa serikali kati ya vyama hivyo viwili. Hivi karibuni shirika la misaada la Marekani MCC lilisitisha msaada wa dola 487 kwa madai ya kutoridhishwa na hali ya kisiasa visiwani...

Like
208
0
Monday, 04 April 2016
UGANDA: BESIGYE KUACHILIWA HURU
Global News

MKUU wa kikosi cha polisi nchini Uganda amesema kuwa atawaondoa maafisa wake nje ya nyumba ya kiongozi wa Upinzani Kizza Besigye mara moja. Besigye amekuwa akihudumia kifungo cha nyumbani tangu tarehe 20 mwezi Februari,siku ambayo rais Museveni alitangazwa mshindi wa uchaguzi wa taifa hilo. Hapo jana Alhamisi, Mahakama ya juu nchini Uganda ilitupilia mbali kesi inayopinga uchaguzi wa rais...

Like
189
0
Friday, 01 April 2016
MJADALA WA USALAMA WA NYUKLIA KUFANYIKA WASHINGTON
Global News

VIONGOZI zaidi ya 50 wa mataifa na serikali pamoja na wawakilishi wa mashirika kadhaa ya kimataifa wanakutana mjini Washington kuzungumzia usalama wa nyuklia. Hofu ya kutokea mashambulio ya kigaidi kutokana na kuibiwa vifaa vya nyuklia na kutapakaa silaha hizo ndio chanzo cha mkutano huo wa kilele ulioitishwa na Rais Barack Obama wa Marekani. Pia kitisho cha nguvu za nyuklia za Korea Kaskazini ni miongoni mwa mada kwenye mazungumzo...

Like
199
0
Friday, 01 April 2016
MAKONDA AWATAKA MADEREVA WA BODABODA KUUNDA KAMATI YA MUDA
Local News

MKUU wa mkoa wa Dar es salaamu mheshimiwa PAUL MAKONDA amewataka madereva wa boda boda mkoa huo kuhakikisha wanaunda kamati ya muda ya uongozi yenye watu 13 kwa ajili ya kusaidia kurahisha mahusiano kati ya serikali na boda boda. Mheshiwa MAKONDA ameongeza kuwa yeye kama mkuu wa mkoa atasimamia vizuri mgawanyo wa pesa za vijana ambazo hutolewa kwa kila hamashauri kwa asilimia 10 na pia yupo tayari kuwadhamini vijana wote ambao wanajishughulisha na biashara ya boda boda katika kuchukua mikopo...

Like
268
0
Friday, 01 April 2016
WAZIRI NAPE AZINDUA RASMI KAMATI YA MAUDHUI YA TCRA
Local News

WAZIRI wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mheshimiwa Nape Nnauye leo amezindua rasmi kamati ya maudhui ya Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA itakayoangalia maudhui bora ya utangazaji wa vipindi na matangazo katika vyombo vya habari nchini.   Aidha, ameitaka taka kamati hiyo kuangalia suala la baadhi ya Watu kushikilia masafa mengi bila ya kutumia pamoja na kuhakikisha kuwa wanasimamia vizuri kanuni za utangazaji ziweze kufuatwa na kuheshimiwa ipasavyo.   Kwa upande wake Mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya Mamlaka ya...

Like
215
0
Friday, 01 April 2016
MAREKANINA CHINA KUSHIRIKIANA DHIDI YA KOREA KASKAZINI
Global News

CHINA imesema mazungumzo baina ya Rais wa nchi hiyo Xi Jinping na Rais wa Marekani Barack Obama yalikuwa yenye manufaa, licha ya kuwa pande hizo mbili hazikuweza kukubaliana juu ya masuala ya udhibiti wa China wa bahari ya China Kusini, pamoja na mpango wa Marekani wa ulinzi wa kutumia makombora dhidi ya Korea Kaskazini. Wakati wa mazungumzo hayo yaliyofanyika pembezoni mwa mkutano wa kilele juu ya usalama wa silaha za nyuklia, viongozi hao wawili wamekubaliana kuongeza mshikamano utakaohakikisha usalama wa...

Like
214
0
Friday, 01 April 2016