Slider

SHEIN AAPISHWA ZANZIBAR LEO
Local News

RAIS Mteule wa Zanzibar, Dokta Ali Mohammed Shein anaapishwa leo kwenye Uwanja wa Aman mjini Zanzibar. Kuapishwa kwa Dk Shein kunamfanya apate nafasi nyingine ya kuongoza Zanzibar kwa muda wa miaka mitano ijayo, baada ya mgombea huyo wa CCM kushinda urais wa Jumapili kwa kujinyakulia asilimia 91 ya kura zilizopigwa. Serikali pia imetangaza kuwa leo pia ni siku ya mapumziko visiwani humo ili kuwapa nafasi wananchi wahudhurie sherehe za kuapishwa kwa kiongozi wao. Wageni ambao wanatarajia kuhudhuria kwenye sherehe hizo...

Like
256
0
Thursday, 24 March 2016
TED CRUZ AMBWAGA DONALD TRUMP KWENYE JIMBO LA UTAH
Global News

LICHA ya kuongoza kwa mbali kwenye kinyang’anyiro cha kuwania tiketi ya kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Marekani kwa chama cha Republican, bilionea Donald Trump ameangushwa na hasimu wake Ted Cruz kwenye kura za mchujo za jimbo la Utah.   Wakati zaidi ya nusu ya kura zikiwa zimeshahesabiwa, Seneta Cruz anaongoza kwa takribani asilimia 70, huku Gavana John Kasich wa Ohio na Trump wakiwa nyuma yake.   Wiki iliyopita, Gavana Kasich alimshinda pia Trump kwenye uchaguzi wa...

Like
234
0
Wednesday, 23 March 2016
KONGO: DENIS SASSOU AATANGAZWA KUWA MSHINDI WA UCHAGUZI
Global News

KIONGOZI wa muda mrefu nchini Kongo, Denis Sassou Nguesso, ametangazwa na Tume ya Uchaguzi nchini humo kushinda tena urais, na hivyo kumpa nafasi ya kuendeleza utawala wake wa zaidi ya miongo mitatu sasa.   Huku matokeo ya mji mkuu wa kiuchumi na ngome ya upinzani, Pointe-Noire, yakiwa hayajajumuishwa, mkuu wa tume ya uchaguzi, Henri Bouka, amesema Nguesso tayari ana asilimia 67 ya kura.   Mwanajeshi huyo wa zamani wa kikosi cha miamvuli kwenye jeshi la Ufaransa na mwenye umri wa...

Like
201
0
Wednesday, 23 March 2016
WANANCHI NA MADEREVA WA DALADALA WAMEIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU KATIKA VITUO VYA MAWASILIANO NA MAKUMBUSHO
Local News

WANANCHI na madereva katika vituo vya daladala vya Makumbusho na Mawasiliano, wameiomba serikali kutengeneza barabara ziingiazo katika vituo hivyo kwani ni mbovu na zinasababisha uharibifu wa magari. Wakizungumza na efm baadhi ya madereva hao wamesema kuwa barabara hizo ni finyu na mbovu hususani zinazoingia katika kituo cha makumbusho ambazo pamoja na Serikali kumwaga vifusi lakini kwa mvua iliyonyesha leo imekuwa ni kero ya tope kwa waenda kwa...

Like
273
0
Wednesday, 23 March 2016
JAMII IMETAKIWA KUEPUKA UHARIBIFU WA MAZINGIRA
Local News

KATIKA kupambana na athari za mabadiliko ya Tabia nchi ikiwemo ongezeko kubwa la Joto Duniani, Mamlaka ya hali ya hewa kwa kushirikiana na Wakala wa misitu Nchini, wameitaka jamii kuepuka uharibifu wa mazingira na kuongeza kasi ya upandaji miti .   Hayo yamebainishwa leo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Nchini Dokta Agness Kijazi alipozungumza na Waandishi wa habari katika maadhimisho ya Siku ya hali ya hewa Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 23mwezi wa tatu Duniani...

Like
218
0
Wednesday, 23 March 2016
FBI HUENDA WAKAFUNGUA SIMU YA MUUAJI
Global News

IDARA ya Haki ya Marekani imesema huenda shirika la upelelezi la FBI limegundua njia ya kufungua simu ya mkononi ya muuaji Syed Rizwan Farook aliyewapiga risasi watu eneo la San Bernardino. Idara hiyo imeiomba mahakama kuahirisha kusikilizwa kwa kesi kati ya shirika hilo dhidi ya kampuni ya utengenezaji wa simu, Apple.ya iPhone Idara hiyo imekuwa ikiishawishi mahakama ilazimishe Apple kufungua simu ya Farook, ambaye yeye na mkewe wanatuhumiwa kufanya shambulizi la bunduki na kuwaua zaidi ya watu 14 katika jimbo...

Like
207
0
Tuesday, 22 March 2016
PROFESA MUHONGO: MILANGO YA UWEKEZAJI IKO WAZI KWA MATAIFA YOTE KUWEKEZA TANZANIA
Local News

WAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amesema kuwa milango ya uwekezaji iko wazi kwa Mataifa yote duniani yenye nia thabiti ya kufanya hivyo nchini Tanzania.   Profesa Muhongo ameyasema hayo jijini Dar Es Salaam wakati wa kikao chake na Balozi wa Afrika Kusini nchini,Thami Mseleku ambaye alifika Ofisi za Wizara ya Nishati na Madini kufahamu zaidi nafasi za uwekezaji kwa ajili ya manufaa ya Kampuni za uwekezaji za Afrika Kusini.   Katika kikao hicho, Profesa Muhongo amemueleza Balozi...

Like
264
0
Tuesday, 22 March 2016
WAZIRI MKUU AAGIZA CAG KUKAGUA MAMLAKA YA BANDARI TPA
Local News

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali –CAG-aende Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ili akakague taarifa za mapato ambazo zilikuwa zikilipwa na mawakala wa forodha na bandari kupitia benki ya CRDB lakini hazionekani kwenye mifumo ya benki.   Mheshimiwa Majaliwa ametoa agizo hilo jana wakati akizungumza na mamia ya mawakala wa forodha na bandari waliohudhuria mkutano aliouitisha ili kusikiliza kero zinazowapata katika utendaji wao wa kazi.   Mbali na...

Like
239
0
Tuesday, 22 March 2016
TENISI: DJOKOVIC ATAKA WANAUME WALIPWE ZAIDI
Slider

Mchezaji nambari moja duniani katika mchezo wa tenisi Novak Djokovic amekosoa kutolewa kwa kiasi cha fedha sawa miongoni mwa wanaume na wanawake katika mchezo huo,akisema wanaume wanafaa kulipwa zaidi kwa kuwa wana mashabiki wengi. Baada ya kushinda taji la BNP Paribas huko India Wells,alitetea kiwango cha mashabiki kuangazia kiwango cha fedha kinachotolewa kwa wanamichezo wa jinsia zote mbili. Awali,mkurugenzi mkuu wa mashindano ya Indian Wells Ray Moore alisema kuwa michuano ya WTA inafanikishwa kutokana na kiwango cha mashabiki...

Like
239
0
Monday, 21 March 2016
MSHUKIA WA ALITAKA KUJILIPUA
Global News

WAZIRI wa mambo ya nje wa Ubelgiji Didier Reynders amesema mshukiwa mkuu wa mashambulizi ya kigaidi ya Paris, Salah Abdeslam, alikuwa anapanga kufanya mashambulizi katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels. Reynders amesema wamepata silaha nyingi, nzito na katika chunguzi za awali tangu kukamatwa kwa mshukiwa huyo, wamegundua mtandao mpya mjini Brussels unaohusishwa naye. Abdeslam anazuiwa katika gereza lenye ulinzi mkali huku akiwa amefunguliwa mashitaka ya mauaji ya kigaidi kwa kuhusika katika mashambulizi ya Novemba 13 mwaka jana mjini Paris...

Like
195
0
Monday, 21 March 2016
OBAMA AANZA ZIARA YA KIHISTORIA CUBA
Global News

RAIS wa Marekani Barack Obama ameanza ziara ya kihistoria nchini Cuba, akiwa ndiye rais wa kwanza wa Marekani kuzuru Taifa hilo katika kipindi cha miaka 88 iliyopita. Ziara hiyo ya siku tatu ndiyo kilele cha mazungumzo ya miaka miwili yaliyonuia kurekebisha uhusiano kati ya Marekani dola kubwa zaidi duniani na jirani yake yenye mfumo wa ujamaa. Katika ziara yake Rais Obama atakutana na Rais wa Cuba Raul Castro Pia ameahidi kuangazia masuala ya haki za binadamu, kuwepo mageuzi ya kisiasa...

Like
211
0
Monday, 21 March 2016