Slider

AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUSEMA RAIS MUGABE NI ‘MZEE’
Global News

  Thomson Joseph Mloyi ambae ni afisa wa polisi nchini Zimbabwe amefikishwa mahakamani kujibu tuhuma dhidi yake kwa kusema Rais Mugabe ni mzee sana kuwa kiongozi, Afisa huyo pia anadaiwa kumtusi mke wa Rais Mugabe, Grace kuwa kahaba kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na gazeti binafsi nchini humo   Tuhuma dhidi yake zilianza asubuhi ya Machi 5 alipoingia katika moja ya kambi katika kambi ya Craneborne na kukuta maafisa wengine wakifanya maandalizi kwa ajili ya kazi . ndipo afisa huyo...

Like
274
0
Friday, 11 March 2016
KOREA KASKAZINI YARUSHA MAKOMBORA YA MASAFA MAFUPI KUELEKEA JAPAN
Global News

KOREA KASKAZINI imerusha makombora mawili ya masafa mafupi kuelekea Bahari ya Japan, kwa mujibu wa maafisa wa Korea Kusini.   Mkuu wa majeshi wa Korea Kusini amesema makombora hayo yaliruka umbali wa kilomita 500 kutoka kusini mwa Korea Kaskazini, kabla ya kuangukia pwani ya mji wa kusini mashariki mwa Japan, mapema leo.   Tayari Japan imetuma rasmi malalamiko yake dhidi ya Korea Kaskazini kupitia ubalozi wake uliopo mjini Beijing, China, kwa mujibu wa shirika la habari la Japan, Kyodo. Korea...

Like
308
0
Thursday, 10 March 2016
CLINTON NA SANDERS WACHUANA VIKALI FLORIDA
Global News

WAGOMBEA wa urais kupitia chama cha Demokrat nchini Marekani Hillary Clinton na mwenzake Bernie Sanders wamekabiliana vikali kuhusu swala la uhamiaji pamoja na maswala mengine katika mjadala mjini Florida. Mjadala huo uliokuwa moja kwa moja kupitia runinga mjini Miami ulifanyika siku chache tu kabla ya uteuzi wa jimbo la Florida. Huku wajumbe 246 wakiwa watapiganiwa na vigogo hao wawili wa chama cha Demokrat jimbo hilo la Kusini linaelezwa kuwa ni muhimu...

Like
177
0
Thursday, 10 March 2016
MABADILIKO YA KIUCHUMI YAIFANYA TANZANIA IPIGE HATUA
Global News

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mabadiliko ya kiuchumi yaliyofanyika nchini yameifanya Tanzania ipige hatua kubwa katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.   Ametoa kauli hiyo jana jioni wakati akihutubia kongamano la biashara baina ya Tanzania na Vietnam lililofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam, Bw. Troung Tan Sang.   Akizungumza kwa niaba ya Rais, Dk. John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu alisema mbali ya mabadiliko ya...

Like
240
0
Thursday, 10 March 2016
DUNIA YAADHIMISHA SIKU YA FIGO LEO
Local News

WATANZANIA leo wanaungana na watu wote duniani kuadhimisha siku ya Figo na tafiti za ugonjwa huo zinaonyesha kuwa kati ya mwezi Agosti 2014 na Februari 2015 kati ya watoto 513 waliopimwa magonjwa ya figo katika Hospitali za Bugando na Sekou Toure asilimia 16.2% walikuwa na matatizo ya figo.   Siku ya Figo Duniani huadhimishwa duniani kote kila Alhamis ya pili ya mwezi Machi tangu mwaka 2006. Mwaka huu inaadhimishwa leo ikiwa na Kaulimbiu isemayo “Chukua Hatua Mapema Kuepuka Magonjwa ya...

Like
279
0
Thursday, 10 March 2016
Taasisi ya The Neghesti Sumari yakutanisha wanawake kwenye mjadala wa usawa wa kijinsia
Local News

Taasisi ya The Neghesti Sumari iliwakutanisha wanawake kwenye mjadala kuhusu usawa wa kijinsia uliofanyika kwendana na maadhimisho ya siku ya wanawake duniani. Kwenye mjadala huo uliofanyika Buni Hub kwenye jengo la COSTECH jijini Dar es Salaam,  watoa mada walikuwa ni pamoja na mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghwira,  Profesa Esther Mwaikambo, muanzilishi wa taasisi ya Doris Mollel na  mjasiriamali na mtaalam wa masuala ya uchumi na Monica Joseph. Akizungumza kwenye mjadala huo, Mama Mghwira alisema alijifunza kujitegemea...

Like
388
0
Wednesday, 09 March 2016
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA NOTORIUS B.I.G
Entertanment

Tarehe kama ya leo 9th March mwaka 1997 ikiwa ni siku mbili baada ya kutwaa tuzo katika tukio la Soul Train music Awards Rappa anaeaminika kua ni bora wa muda wote Notorius.B.I.g akiwa anatoka katika Party moja majira ya saa 6 na nusu usiku gari aliyopanda ilisimama katika mataa ndipo ilitokea gari nyingine nyeusi aina ya chevrolet impala ss na dereva wake kushusha kioo na kumimina risasi kuelekea kwenye gari ya biggie ambazo zilimpata na kumjeruhi vibaya na kukimbizwa hospitali...

Like
496
0
Wednesday, 09 March 2016
MAREKANI: TRUMP APETA MICHIGAN NA MISSISSIPPI
Global News

MGOMBEA Urais wa Marekani anayeongoza katika chama cha Republican Donald Trump, amejiongezea ushawishi kama mgombea mkuu kufuatia ushindi wake katika majimbo ya Michigan na Mississippi. Wadadisi wa masuala ya kisiasa wamesema kuwa ushindi huo mara mbili umezima uvumi wa mwishoni mwa wiki kuwa kampeni yake Trump ilikuwa imepoteza kasi. Baada ya kupata ushindi huo, Trump amesema kuwa anakiongezea umaarufu chama cha Republican ingawa Mshindani wake mkuu Seneta Ted Cruz naye amepata ushindi katika jimbo dogo la...

Like
247
0
Wednesday, 09 March 2016
TAASISI NCHINI ZIMETAKIWA KUKITUMIA KITUO CHA KISASA CHA KUHIFADHI TAARIFA
Local News

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amezitaka taasisi za Serikali na binafsi kukitumia kituo cha kisasa cha kuhifadhi taarifa kutunza taarifa zao ili kuzihakikishia usalama na uhakika wa kuzitumia wakati wote.   Akizungumza baada ya kukagua kituo hicho kinachosimamiwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, sekta ya Mawasiliano Profesa Mbarawa amesema asilimia 75 ya kituo imetengwa kwa ajili ya kutunza taarifa kutoka sekta binafsi na asilimia 25 itatunza taarifa za Serikali.   Mbali na hayo amezitaka...

Like
290
0
Wednesday, 09 March 2016
RAIS WA VIETNAM AANZA ZIARA YAKE NCHINI
Local News

RAIS wa Vietnam Truong Tan Sang tayari ameanza ziara yake ya siku tatu nchini ambapo leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dokta John Pombe Magufuli Ikulu Jijini Dar es salaam. Katika ziara yake Rais Truong Tan Sang atapata nafasi ya kuonana na Rais mstaafu wa awamu ya nne ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi-CCM-dokta Jakaya Mrisho Kikwete katika ofisi za chama hicho zilizopo Lumumba. Lengo la ziara hiyo ni kuimarisha zaidi...

Like
332
0
Wednesday, 09 March 2016
PICHA: MAPOKEZI YA ELIZABETH MICHAEL (LULU) BAADA YA KUTWAA TUZO AMVC2016
Entertanment

Tanzania iliwakilishwa vyema na Single Mtambalike (Richie) pamoja na Elizabeth Michael (LULU) waliong’aa kwenye usiku wa kilele cha tuzo za Africa Magic Viewers Choice zilizoandaliwa na Multchoice| Dstv . Lulu alitwaa tuzo ya Best Movie East Africa kupitia filam ya Mapenzi ya Mungu wakati Richie akibeba tuzo ya Best Local Language Movie/TV Series (Swahili) kupitia filam ya Kitendawali. Alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa Wa Jk Nyerere Wema Sepetu aliposhuka kwenye gari kwenda kumvisha taji Lulu MKUTANO NA WAANDISHI...

Like
1323
0
Wednesday, 09 March 2016