Slider

MASHABIKI WA MESSI NA RONALDO WAUWANA
Slider

  Polisi nchini India wamemfungulia mashtaka ya mauaji mtu mmoja aliyemdunga chupa rafiki yake huku chanzo cha ugomvi kikiwa ni mabishano kuhusu nani kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ndiye mchezaji bora duniani. Michael Chukwuma, 21 ambae ni raia wa Nigeria alimdunga kisu mwezake vilevile mnigeria ambaye walikuwa wakibishana naye. Tukio hilo limetokea katika kitongoji cha Nallasopara Kwa mujibu wa shirika la habari la AFP limeeleza kuwa Michael Chukwuma ameshtakiwa kwa kuua katika mji wa Mumbai ambapo Chukwuma na...

Like
332
0
Monday, 07 March 2016
TAFRIJA YA MWANAMKE WA SHOKA YAELIMISHA WANAWAKE WENGI
Entertanment

Katika kuelekea siku ya wanamke duniani EFM radio yakutanisha wanawake kutoka vikundi mbalimbali vya ujasiliamali na VICOBA kutoka jiji la Dar es Salaam na Pwani katika ukumbi wa litostar park Salasala,  kwa lengo la kuwapa wanawake elimu ya ujasiliamali na kujitambua kama mwanamke, pia kuambiana changamoto tofauti zinazowakabili wanawake katika biashara zao na maisha kwa ujumla. Mgeni rasmi akiwa raisi wa VICOBA mhe.Devotha Likokola. Mgeni rasmi mhe. Devotha Likokola akiongea na wanawake wa vikundi mbalimbali kuwapa    ...

Like
754
0
Monday, 07 March 2016
LULU NA RICHIE WANG’ARA TUZO ZA AMVCA2016
Entertanment

Waigizaji wa filam Kutoka Tanzania Elizabeth Michael (Lulu) na Single Mtambalike Richie wamefanikiwa kubeba tuzo moja moja kwenye kilele cha Africa Magic Viewers Choice awards. Richie ndie alikuwa wa kwanza kuwainua watanzania pale alipotangaza kutwaa tuzo kwenye kipengere cha BEST INDIGENOUS LANGUAGE MOVIE/TV SERIES  – SWAHILI kupitia filam ya KITENDAWILI huku Lulu akinyakuwa tuzo ya Best Movie East Africa kupitia filam ya Mapenzi ya Mungu. Tuzo hizo zilifanyika Nchini Nigria katika jiji la Lagosa na kuwakutanisha mastar mbalimbali kutoka...

Like
575
0
Monday, 07 March 2016
EPL: LIVERPOOL YAPETA MAN U YAKUBALI KICHAPO
Slider

Ligi kuu ya England iliendelea tena mwisho wa wiki kwa michezo miwili kuchezwa. Majogoo wa Anfield Liverpool wakicheza ugeni kwenye dimba la Selhurst Park waliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Crystal Palace. Crystal Palace ndio walianza kuandika bao la kwanza kwa bao la Joe Ledley kisha Liverpool wakachomoa bao hilo kupitia kwa mshambuliaji wake Roberto Frimino, katika dakika za lala salama Christian Benteke akawapa ushindi kwa bao la mkwaju wa penati. Nao Mashetani Wekundu wa Man United wakachapwa...

Like
291
0
Monday, 07 March 2016
VPL KUTIMUA VUMBI WEEKEND
Slider

Ligi kuu ya Tanzania itaendelea tena mwisho wa wiki hii kwa nyasi za viwanja mbalimbali kuwaka moto. Hapo kesho katika dimba la taifa Jijini Dar es Salaam kutachezwa mchezo wa wababe wawili wa soka Azam Fc watakaowakabili vinara wa ligi hiyo Yanga. Huku African Sport wakiwa nyumbani katika uwanja wa mkwakwani kukipiga na Majimaji. Toto Africans,watakua katika uwanja wa Kirumba, kupepetana na Ndanda FC. Kagera Sugar wao watakuwa na kibarua kizito dhidi ya Mgambo JKT. Kikosi cha JKT Ruvu kitawaalika...

Like
206
0
Friday, 04 March 2016
PAKISTAN: WALIOPANGA NDOA YA WATOTO WAKAMATWA
Global News

POLISI waliopo Mashariki mwa Pakistan wamewakamata watu wanne wanaotuhumiwa kupanga ndoa kati ya mvulana mwenye umri wa miaka 14 na msichana mwenye umri wa miaka 10 pekee suala ambalo ni kinyume cha sheria. Imeelezwa kwamba ndoa hiyo ilikuwa imepangwa kama njia ya kusuluhisha mzozo baina ya familia hizo mbili. Tabia ya kuendeleza ndoa za mapema pamoja na kutatua mizozo ya nyumbani kupitia ndoa, ni hatia kwa mujibu wa sheria za...

Like
221
0
Friday, 04 March 2016
UFISADI: ALIYEKUWA RAIS WA BRAZIL AKAMATWA
Global News

MAAFISA wa polisi nchini Brazil wamemkamata aliyekuwa rais wa nchi hiyo Luiz Inacio da Silva ikiwa ni miongoni mwa mpango wa kuchunguza ufisadi dhidi yake. Mali zote zinazohusishwa naye ikiwemo nyumba yake na taasisi ya yake ya Lula zimevamiwa na Maafisa hao ili kuzuia shughuli yoyote ya uhujumu kufanyika. Da Silva atahojiwa kuhusu madai kwamba amefaidika na mpango wa rushwa uliokuwa ukiendeshwa na kampuni...

Like
201
0
Friday, 04 March 2016
CCM YATIMUA WANACHAMA 25 BAADA YA KUKISALITI CHAMA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
Local News

CHAMA cha Mapinduzi-CCM-mkoa wa Kigoma kimewafukuza wanachama wake 25 baada ya kukisaliti chama wakati wa Uchaguzi mkuu uliofanyika oktoba 25 mwaka jana. Akitoa taarifa kwa vyombo vya Habari, Katibu wa chama hicho mkoa wa Kigoma Naomi Kapambala amesema kuwa uamuzi huo umetolewa katika kikao cha Halmashauri kuu ya Chama kilichofanyika machi 2 mwaka huu. Naomi amesema baada ya kufanyika kwa Uchaguzi mkuu chama kilianza kufanya tathimini na changamoto walizokutana nazo wakati wa Uchaguzi na kugundua kuwa wanachama hao ni miongoni...

Like
254
0
Friday, 04 March 2016
ZIARA YA RAIS WA JAMHURI YA KISOSHALISTI YA VIETNAM KUANZA MACHI 9 NCHINI
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Kisoshalisti ya Vietnam Truong Tan Sang anatarajiwa kufanya ziara rasmi Tanzania tarehe 9 Machi mwaka huu na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dokta John Pombe Magufuli Ikulu Jijini Dar es salaam.   Madhumuni ya ziara hiyo ni kukuza uhusiano baina ya Vietnam na Tanzania ambao umedumu kwa zaidi ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake pamoja na ‎Kufungua maeneo mapya ya Ushirikiano wa kiuchumi baina ya Tanzania na Vietnam. Hiyo ni ziara ya...

Like
233
0
Friday, 04 March 2016
TWIGA STARS KUSHUKA DIMBANI LEO KUKIPIGA NA MIGHTY WARRIORS
Slider

Leo wanawake wa shoka ‘Twiga Stars’, wanashuka katika dimba la Azam Complex Chamazi kukipiga na timu ya Taifa ya Wanawake kutoka Zimbabwe (Mighty Warriors) katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika Twiga Stars inayonolewa na kocha mzawa Nasra Juma imejipanga vilivyo kuwakabili wazimbabwe katika mechi hiyo kwa mujibu wa kocha huyo. Watanzania wameombwa kujitokeza kwa wingi kutoa sapoti na hamasa kwa kikosi hiko katika mchezo wake Tunawatakia kila heri katika kuleta ushindi...

Like
230
0
Friday, 04 March 2016
AZERBAIJAN: KAMISHENI YA UMOJA WA ULAYA YAIDHINISHA UJENZI WA BOMBA LA KUSAFIRISHA GESI
Global News

  KAMISHENI ya Umoja wa Ulaya imeidhinisha makubaliano kati ya Umoja huo na Ugiriki juu ya ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi kutoka Azerbaijan unaolenga kupunguza utegemezi wa nishati kwa Urusi. Bomba hilo lenye urefu wa kilomita 878, litasafirisha mita bilioni 10 za ujazo za gesi kwa mwaka kutoka Azerbaijan hadi Italia kupitia Ugiriki, Albania na Bahari ya Adriatiki. Awamu ya kwanza ya gesi hiyo inatazamiwa kuwasili barani Ulaya mwaka 2020 ambapo Ugiriki itafaidika kwa mafao ya kodi kwa miaka...

Like
248
0
Friday, 04 March 2016