Slider

TANZANIA NA ZAMBIA ZIMETAKIWA KUONGEZA USHIRIKIANO
Local News

WIZARA ya Mambo ya Nje ya Nchi Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kanda na Kimataifa Nchini,  imezitaka  Nchi za Tanzania na Zambia kuongeza ushirikiano ili kuleta mafanikio ya pamoja katika Sekta mbali mbali ikiwa ni pamoja na Biashara, Uchumi, Mawasiliano, Elimu, Utamaduni, Utalii,Kilimo pamoja na maswala ya Tekinolojia.   Hayo yamebainishwa na Naibu katibu Mkuu wa Wizara hiyo Ramadhan Mwinyi alipozungumza  katika Ufunguzi wa Mkutano wa Tisa wa Tume  ya  Kudumu ya Pamoja -JPC- kati ya Tanzania na Zambia ambapo amesema...

Like
180
0
Thursday, 25 February 2016
OBAMA ATOA MSUKUMO WA MWISHO WA KUFUNGWA KWA GEREZA LA GUANTANAMO BAY
Global News

RAIS  Barack Obama  wa  Marekani  ameanzisha  msukumo wa  mwisho leo kulishawishi  baraza  la  Congress kulifunga  gereza  la  kijeshi  la Guantanamo Bay nchini Cuba. Rais Obama  amelitaka  baraza  la  Congress kulijadili  kwa kina  pendekezo  lake na  kuongeza  kwamba  hataki kuliacha  suala  hilo  kwa  mrithi  wake mwezi ...

Like
263
0
Wednesday, 24 February 2016
SERIKALI YAITAKA KAMPUNI YA KADCO KUIMARISHA ULINZI KIA
Local News

SERIKALI imeitaka kampuni ya KADCO inayoendesha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro-KIA, kuongeza mapato na kuimarisha ulinzi ili kulinda hadhi ya uwanja huo, kuchangia pato la serikali na kudhibiti hujuma dhidi ya watu wasio waaminifu. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amesema hayo wakati akikagua utendaji na mradi wa ujenzi wa njia za kurukia ndege unaondelea katika uwanja...

Like
288
0
Wednesday, 24 February 2016
MAKAMU WA RAIS, SAMIA SULUHU AZINDUA PROGRAM MAALUM YA MWANAMKE NA WAKATI UJAO
Local News

MAKAMU wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo amezindua program maalumu ya mwanamke na wakati ujao ambayo itawajengea wanawake uwezo katika bodi za wakurugenzi wa taasisi na Kampuni mbalimbali. Katika uzinduzi huo uliofanyika kwenye hote ya Hayatt Regency jijini Dar es salaam, na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo kutoka nchini za Kenya na Uganda pamoja na wengine kutoka Ulaya na Asia, Mheshimiwa Suluhu amesema kuwa, wanawake ni watendaji wazuri na wanamaamuzi sahihi katika uongozi...

Like
277
0
Wednesday, 24 February 2016
CRISTIANO RONALDO NDIO MWANAMICHEZO MWENYE WAFUASI WENGI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
Slider

Cristiano Ronaldo aweka rekodi ya kuwa mwanamichezo wa kwanza kuwa na followers wengi kwenye mitandao ya kijamii. Nyota huyu wa Real Madrid ana jumla ya watu Milioni 200 wanaoperuzi kwenye kurasa zake. Hii ndio number ya followers kwenye akaunti za mitandao ya Facebook, Twitter na Instagram Twitter 40.7M, Instagram 49.6M wakati Facebook ni 109.7M Hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na tovuti ya...

Like
227
0
Wednesday, 24 February 2016
DONALD TRUMP ASHINDA KATIKA JIMBO LA NEVADA
Global News

MGOMBEA wa urais wa chama cha Republican Donald Trump ameshinda katika jimbo la Nevada nchini Marekani, na hivyo basi kuimarisha uongozi wake katika mchujo wa kuwania tiketi ya chama hicho. Tajiri huyo sasa ameshinda mara tatu ,kufuatia ushindi wake katika jimbo la New Hampshire na Carolina kusini. Seneta Marco Rubio na Ted Cruz ambao wamekuwa wakishambuliana wiki hii wanapigania nafasi ya...

Like
167
0
Wednesday, 24 February 2016
NEPAL: NDEGE YA ABIRIA YATOWEKA
Global News

NDEGE ndogo iliyowabeba abiria 21 imetoweka ikiwa maeneo yenye milima nchini Nepal. Ndege hiyo ilikuwa safarini kutoka Pokhara, magharibi mwa mji mkuu Kathmandu, kwenda Jomsom, eneo ambalo watu wengi wanaoenda kukwea milima ya Himalaya huanza safari yao ya kukwea milima hiyo. Hakuna viwanja vya ndege kati ya maeneo hayo mawili na inahofiwa kwamba ndege hiyo ya shirika la ndege la Tara Airlines imeanguka....

Like
174
0
Wednesday, 24 February 2016
WANANCHI WAMETAKIWA KUTUNZA BARABARA
Local News

SERIKALI imewataka wananchi kutunza barabara zinazojengwa  na Serikali kwa kushirikiana na wafadhili katika Halmashauri zote hapa nchini.   Akizungumza Jijini Dar es salaam katika hafla fupi ya kupokea ripoti ya utekelezaji wa mradi wa Ujenzi na ukarabati wa barabara za halmashauri nchini  Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI bwana Mussa Iyombe amebainisha kuwa mradi huo umefadhiliwa  na  Shirika  la Maendeleo la Japan (JICA) .   Kwa mujibu wa Iyombe, Mradi huo unatekelezwa katika Halmashauri  za Iringa,Mufindi,Chamwino na...

Like
205
0
Wednesday, 24 February 2016
SEKTA YA MIFUGO HAICHANGII UCHUMI WA NCHI
Local News

IMEELEZWA kuwa sekta ya mifugo  nchini haichangii uchumi wa  nchi kama ilivyotarajiwa na serikali.   Akizungumza katika mkutano wa kwanza wa maaandalizi   ya  mpango mkakati wa sekta ya mifugo, Naibu Waziri wa kilimo mifugo na uvuvi Mheshimiwa  WILLIAM  OLE NASHA, amesema kutokana  na hali hiyo Serikali inakusudia kuandaa mkakati ambao utainua sekta hiyo  nakuweza kuchangia uchumi wa nchi  na wananchi na wananchi kwa ujumla.   Amesema kuwa pamoja na Tanzania kuwa nchi ya tatu Afrika kwakuwa na mifugo mingi ,lakini...

Like
264
0
Wednesday, 24 February 2016
BARCELONA YAIFUNZA ADABU ARSENAL
Slider

Klabu ya soka ya Barcelona imefanikiwa kuchomoza na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya klabu bingwa barani ulaya (UEFA) mchezo uliopigwa uwanja wa Emirates. Mabao ya Barcelona katika mchezo huo yamefungwa na mchezaji Lionel Messi dakika ya 71 na Dakika ya 83 likiwa ni bao la pili lililofungwa kwa njia ya penati...

Like
245
0
Wednesday, 24 February 2016
BIBI ABIOLA DELUPE MWAKILISHI WA UBALOZI WA NIGERIA AITEMBELEA EFM
Local News

Mwakilishi wa ubalozi wa Nigeria, bibi Abiola Delupe aitembelea Efm Radio leo  katika vitengo tofauti na  kuona utendaji kazi wa radio. Huku akikutana na baadhi ya watangaziji  kujadili mambo tofauti tofauti na jinsi watakavyo weza kuendeleza kazi zoa nje ya mipaka ya Tanzania. Bibi Abiola Delupe akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Efm radio Francis Ciza. Baadhi ya viogozi wa Efm Radio katika mazungumzo na Bibi Abiola Delupe. Meneja mkuu Dennis Ssebbo akijadili mambo tofauti kuhusiana na ufanisi wa kazi katika...

Like
1058
0
Tuesday, 23 February 2016