KOREA KASKAZINI “HAIKO TAYARI” KUZIACHA SILAHA ZA NYUKLIA
Slider

Sera ya Marekani kuishawishi Korea kaskazini kuachana na mpango wake wa kutengeneza silaha za nyuklia huenda ‘haina ufanisi’ , mkurugenzi wa shirika la kitaifa la ujasusi Marekani amesema. James Clapper amesema Marekani jambo ambalo Marekani inaweza kutumainia ni kuzuia uwezo wa taifa hilo, katika hotuba New York. Ni nadra kwa Marekanikukiri kuwa lengo lake kuu la kuwa na dunia isiyokuwana matumizi ya nyuklia huedna isifanikiwe. Hatahivyo, wizara ya mambo ya nje Marekani inasema sera yake hiyo haijabadilika. Korea kaskazini inadai...

Like
290
0
Wednesday, 26 October 2016
MAUZO YA KAMPUNI YA APPLE YASHUKA
Slider

Kampuni ya Apple imeripoti kushuka kwa mapato yake ya mwaka kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2001. Matokeo ya robo ya mwisho ya mwaka wa fedha nchini Marekani imethibitisha mwenendo wa robo mbili zilizopita kuwa mapato yalishuka kwa asilimia tisa. Mapato kutoka China ambako kuna soko kubwa yanaonyesha huenda yatashuka kwa asilimia kubwa. Faida nayo imeshuka kwa asilimia kumi na tisa kwa miezi mitatu ukilinganishwa na miezi hiyo hiyo kwa mwaka jana. Wachambuzi wanasema kuwa ni dalili ya kuwepo kwa...

Like
223
0
Wednesday, 26 October 2016
UTAFITI: BETRI ZINAZOTUMIWA KATIKA SIMU ZINA SUMU
Slider

Zaidi ya gesi 100 zinazoweza kusababisha kifo hutolewa na betri zinazopatikana miongoni mwa mabilioni ya vifaa vinavyotumiwa na raia wengi duniani kama vile simu aina ya smartphone na vipatakilishi kulingana na utafiti mpya. Utafiti huo ulibaini gesi 100 zenye sumu zinazotolewa na betri za Lithium, ikiwemo ile ya kaboni monoksaidi, ambayo inaweza kusababisha kujikuna katika ngozi, macho na pua mbali na kuathiri mazingira. Watafiti kutoka taasisi ya ulinzi ya NBC nchini Marekani pamoja na chuo kikuu cha Tsinghua nchini China...

Like
276
0
Tuesday, 25 October 2016
PAPA FRANCIS AINGILIA KATI MZOZO VENEZUELA
Slider

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis amechukua hatua isiyotarajiwa na kuingilia kati kujaribu kutatua mzozo wa kisiasa nchini Venezuela. Taifa hilo pia linakabiliwa na matatizo ya kiuchumi. Wakati wa mkutano wa faraghani na Rais Nicolas Maduro uliofanyika Vatican, Papa Francis ameomba kuongoza mashauriano kati ya rais huyo na viongozi wa upinzani. Mjumbe wa Papa nchini Venezuela Emil Paul Tscherrig amesema pande zote mbili zimeahidi kufanya mashauriano rasmi Jumapili ijayo katika kisiwa cha Margarita, Venezuela. Lakini kupitia...

Like
196
0
Tuesday, 25 October 2016
MATEKA WASEMA WALIKULA PANYA SOMALIA
Slider

Kundi la mabaharia ambao waliachiliwa huru Jumamosi baada ya kuzuiliwa na maharamia kwa miaka mitano nchini Somalia walikula hata panya ili waishi, mmoja wao ameambia BBC. Arnel Balbero, kutoka Ufilipino amesema walikuwa wanapewa maji kidogo sana na walijihisi kama “wafu waliokuwa wakitembea” kufikia wakati wa kuachiliwa huru kwao. Mabaharia hao walitekwa wakiwa kwenye meli mwaka 2012 kwenye pwani ya Ushelisheli na wakapelekwa Somalia bara na kuzuiliwa mateka. Waliachiliwa huru Jumamosi. Taarifa zinasema waliokuwa wanawazuilia...

Like
253
0
Monday, 24 October 2016
MCHAKATO WA UHAMASISHAJI WA KATIBA MPYA KUANZA IVORY COAST
Slider

Waungaji mkono mswada mpya wa katiba wenye utata, wamezindua kampeini ya kuwapata wapigaji kura wengi zaidi, ili kubioresha katika kura ya maoni, itakayopigwa mnamo Octoba 30 mwaka huu, licha ya wito wa upinzani wa kuipinga. Kambi ya Ndio inayoongozwa na serikali ya Rais Alassane Ouattara, inachukulia kura hiyo ya maoni kama fursa ya kufungua ukurasa mpya wa kutanzua mzozo wa muda mrefu nchini Ivory Coast, na kutanzua maswala yenye utata ya ni nani anayefaa kuwania kiti cha Urais. Baadhi ya...

Like
221
0
Monday, 24 October 2016
WAZIRI MWIJAGE AKALIWA KOONI
Slider

Dodoma. Vuta nikuvute iliibuka jana kwenye Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira baada ya wajumbe wake kuikataa taarifa ya Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage kuhusu utekelezaji wa malengo ya sekta ya viwanda na biashara, wakidai imejaa porojo. Hali hiyo ilisababisha mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk Dalali Kafumu kuwaondoa ukumbini Waziri, Katibu na wataalamu waliofika hapo kwa ajili ya kutoa ufafanuzi na kujibu maswali ya wabunge. Taarifa ya maandishi ya utekelezaji wa malengo ya sekta ya...

Like
220
0
Wednesday, 19 October 2016
BURUNDI YAJIONDOA KATIKA MAHAKAMA YA ICC
Slider

Taifa la Burundi hatimaye limekuwa taifa la kwanza kujiondoa rasmi katika mkataba wa Roma unaosimamia mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC. Hatua hiyo inajiri baada ya rais wa taifa hilo Pierre Nkurunziza kutia saini sheria iliopitishwa na bunge pamoja na seneti ya kuiondoa Burundi katika mkataba huo. Wiki iliopita ,bunge la Burundi liliidhinisha mpango wa baraza la mawaziri kukata uhusiano na mahakama hiyo ya mjini Hague. Tayari mahakama ya ICC imeitaja mipango ya Burundi ya kujiondoa katika mahakama...

Like
239
0
Wednesday, 19 October 2016
SERIKALI INATUMIA SH. 900 BILIONI KWA MWEZI KULIPA MADENI
Slider

Dodoma. Wakati wananchi wakilalamikia fedha kutoweka mifukoni, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inatumia Sh900 bilioni kati ya Sh1.33 trilioni inazokusanya kila mwezi, kulipa madeni. Alisema hayo wakati akifungua mkutano wa waganga wakuu wa mikoa na wilaya nchini mjini hapa jana. Kauli yake imekuja wakati kukiwa na mjadala kuhusu uchumi, baadhi ya watu kusema hali inazidi kuwa mbaya wakati taasisi za Serikali zikitoa takwimu zinazoonyesha kuwa uchumi uko...

Like
233
0
Tuesday, 18 October 2016
RIEK MACHAR ASEMA YUKO MZIMA WA AFYA, AFRIKA KUSINI
Slider

Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini na Makamu wa Rais aliyetimuliwa Riek Machar aliyesafiri na kuingia Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo yupo Afrika Kusini na kuapa kurejea nyumbani na kusema heshima yake bado ipo pale pale. Sudan Kusini imekumbwa na mapigano kuanzia mwezi julai na kufunika kabisa makubaliano ya amani yaliyomaliza vita. Makamu huyo wa zamani wa Rais Riek Machari ametupilia mbali madai kwamba yeye ndiye aliyehamasisha vita. Miezi mitatu baada ya mashambulizi ya anga na majeshi ya serikali kumlazimisha...

Like
324
0
Tuesday, 18 October 2016
MTANZANIA ALIYEGUNDUA UMUHIMU WA KUFUGA FUNZA NA MENDE
Slider

Mtanzania Riula Daniel amebuni mradi wa kutengeneza chakula cha mifugo kwa kutumia mende na funza badala ya kutumia soya na dagaa bidhaa ambazo zimekuwa zikipanda katika soko kufuatia mahitaji yake...

Like
456
0
Tuesday, 18 October 2016
« Previous PageNext Page »