Baada ya Arsenal jana kuitandika AC Millan, kwa mabao 3-, uwenda mashabiki wa Arsenal wanaweza kutuliza mzuka wa kumlazimisha Mzee wenga kung’atuka kwenye timu ya Arsenal. Mabao ya Arsenal yalifungwa na Danny Welbeck ambaye alifunga magoli mawili na goli la tatu lilifungwa na Danny Welbeck huku goli la AC Millan lilifungwa na Hakan Calhanoglu Kwa matokeo hayo inaifanya Arsenal ivuke kwenye hatua nyingine kwa jumla ya magoli 5-1 Ukijumuisha na yale magoli mawili waliyoyapata ugenini. Licha ya Arsenal kutulizwa hasira...
Meneja wa Chelsea Antonio Conte amesema alihisi kwamba kichapo cha 3-0 ambacho klabu yake ilipokezwa katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya Jumatano “hakikuwa cha haki”. Lionel Messi alifunga mabao mawili naye Ousmane Dembele akafunga moja – bao lake la kwanza akichezea Barca – na kuwasaidia miamba hao wa Uhispania kuondoka na ushindi wa jumla wa 4-1. Mechi ya kwanza uwanjani Old Trafford ilikuwa imemalizika 1-1. Matokeo hayo yaliwaondoa Chelsea kutoka kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu huu na msimu...
Marufuku ya matumizi ya adhana{ Wito kwa Waislamu kuhudhuria maombi} katika tarafa moja ya mji wa Kigali nchini Rwanda imepingwa vikali na baadhi ya Waislamu jijini humo. Utawala katika tarafa ya Nyarugenge kunakopatikana jamii kubwa ya Waislam nchini humo umebainisha kuwa kumekuwepo muafaka wa kubadili mbinu za kuwaita waumini bila ya matumizi ya njia hiyo ambayo inatajwa kuwasumbua wananchi. Kulingana na taarifa kutoka Kigali Waislamu kuhudhuria maombi umetajwa kuwa kero miongoni mwa wananchi. Tayari mkataba wa kuhakikisha kuwa mwafaka huo...
Baada ya Manchester United Jana kutupwa nje na Sevilla kutoka Hispain kwa kufungwa mabao 2-1, jana usiku ilikuwa ni zamu ya Chelsea Kutupwa Nje ya Mshindano ya Kombe la UEFA Championi Ligi na kufungwa Na Barcelona Mabao 3-0, magoli ya Barcelona yaliwekwa kimyani na Messi ambaye alifunga mabao 2, goli la kwanza alifunga dakika ya 2 na goli lake la pili alifunga kwenye dakika ya 63, na goli la tatu lilifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 20. Kwa matokeo...
Kariu kwenye meza ya magazeti ya e-digital, leo Alhamisi tarehe 15, March tumekuwekea headline zote za magazeti ya udaku, hardnews na...
Kutoka maktaba ya E-digital leo tuna Funny Facts Friday sasa wacha tuone ni kwa kiasi gani kuna faida kiafya kupumua au kutoa hewa chafu kwa njia ya makalio Kupumua ni kazi muhimu na ya kawaida katika mwili wa binaadamu hasa katika kusaidia kumengenya chakula na kutoa gas isiyotumika tena tumboni. Binaadamu wa kawaida anatoa upepo mara 14 kwa siku kiasi unaweza kujaza upepo kwenye puto kubwa la size ya kati Utafiti unathibitisha kuwa kuvuta harufu mtu aliyepumua husaidia kuzuia viharusi,...
Viongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) waelezea taarifa iliyotolea na Kamanda wa Mkoa wa Dar es Salaam juu ya Kujiteka mwenyewe Abdul Nondo na piwa watatakiwa kuonana na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai...
Rais wa Marekani Donald Trump akiwa katika mazingira ya kawaida ya kikazi hutembelea gari aina ya limousine. Gari hiyo ni moja kati ya magari ghali zaidi na yenye ulinzi mkali zaidi duniani kote ulinzi wake ni pamoja na vioo vyenye nguvu ya kuzuwia risasi, milango yake ina uzito sawa na milango ya ndege aina ya boeng 747, ikiwa itatokea janga la moto tank la mafuta ya gari hiyo limefunikwa na vyuma kiasi hata mlipuko wa bomu hauwezi lipua tenki...
Manchester United imetupwa njee ya Mashindano UEFA Champions League baada ya kukubali kulala kwa jumla ya mabao 2-1 ikiwa Uwanja wake wa nyumbani, Old Trafford, dhidi ya Sevilla kutoka Spain. Mabao ya Sevilla yamefungwa na Ben Yedder katika ya 74 na 78 kipindi cha pili, huku bao la United likifungwa na Lukaku kwenye dakika ya 84. Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Spain, timu hizo zilenda sare ya 0-0. Matokeo hayo sasa yanaiondosha rasmi Manchester United kwenye michuano hii na inakuwa...