RAIS MAGUFULI AWAAPISHA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI NA WAZIRI WA KILIMO MIFUGO NA UVUVI
Local News

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewaapisha mawaziri wapya wa mambo ya ndani na yule wa kilimo siku mbili tu baada ya kutangaza mabadiliko madogo katika baraza lake la mawaziri. Jumamosi iliyopita rais Magufuli alitangaza uteuzi wa mbunge wa Buchosha Dkt. Charles John Tizeba kuwa waziri wa kilimo, mifugo na uvuvi. Kufuatia uteuzi huo, aliyekuwa Waziri wa Kilimo, bwana Mwigulu Lameck Nchemba aliteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani ya nchi. PICHA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John...

Like
403
0
Monday, 13 June 2016
UINGEREZA NA URUSI ZAONYWA EURO CUP
Slider

Shirikisho la kandanda barani ulaya , UEFA, limeonya kuzichukulia hatua na hata kuzifukuza timu za Uingereza na Urussi. Hatua hiyo ni kufuatia mashabiki wa timu kuwa chanzo cha ghasia zinatokea kama ilivyotokea wakati wa mechi yao ya huko Marseille. suala la ulevi linatajwa kuwa ni moja ya vyanzo vya vurugu hizo ambapo baadhi ya mashabiki wana kwenda katika viwanja vya michezo hiyo huku wakiwa...

Like
252
0
Monday, 13 June 2016
EURO 2016: POMBE MARUFUKU
Slider

Waziri wa maswala ya ndani wa ufaransa , Bernard Cazeneuve, ametoa ushauri kwa wakuu wa miji mbalimbali wenyeji wa kinyanganyiro cha soka barani ulaya Euro2016, kupiga marufuku matumizi ya pombe katika maeneo tete siku ya na hata kabla ya siku ya mechi kufanyika. Hii ni kutokana na matukio ya wafuasi wa timu kadhaa kushambuliana katika visa vilivyochochewa na ulevi huko mjini Marseille katika kipindi cha siku 3 zilizopita. Shirikisho la kandanda barani ulaya , UEFA, limeonya kuzichukulia hatua ya hata...

Like
230
0
Monday, 13 June 2016
ERITREA NA ETHIOPIA ZAPIGANIA ENEO LA MPAKANI
Global News

Eritrea imeishtumu Ethiopia kwa kutekeleza shambulio katika mpaka wake ambao una ulinzi mkali. Wakazi katika eneo la Tsorona wanasema wamesikia milio ya risasi na kuona wanajeshi wakielekea katika mpaka. Hata hivyo Waziri wa habari wa Ethiopia amesema hafahamu lolote kuhusu vita hivyo. Zaidi ya watu laki moja walifariki katika mapigano yaliyodumu mika miwili na nusu katika ya mataifa yote mawili. Kamati ya Umoja wa Mataifa ilisema kuwa eneo linalozozania linapaswa kuwa la Eritrea, lakini Ethiopa haijawahi kukubali uamuzi huo. Mwandishi...

Like
263
0
Monday, 13 June 2016
WANANCHI WAJIPATIA PESA TASLIMU KWENYE MCHEZO WA SAKASAKA YA EFM REDIO
Local News

Mchezo wa SAKASAKA unaoendeshwa na kituo cha EFM redio umeanza rasmi siku ya jumapili ya tarehe 12/06/2016 pale viwanja vya Mcanada, Tegeta ukiwahusisha wakazi wa wilaya ya Kinondoni. Kiasi cha shilingi milioni 3 taslimu zimetolewa kwa washindi 12 ambapo mshindi wa kwanza aliondoka na milioni mbili, wapili na watatu laki mbili, mshindi wanne hadi wasita laki moja na washindi sita wa mwisho kupata elfu hamsini kila mmoja.   Baadhi ya picha za washiliki wakisaka kitu kilichofichwa Umati wa watu waliohudhuria...

Like
938
0
Monday, 13 June 2016
PICHA: SHOW YA JOTO LA ASUBUHI BUGURUNI
Local News

Wakazi wa Buguruni leo wameshuhudia jinsi watangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi ambao ni Pj, Gerald Hando na adella Tillya wakitangza Live katika eneo la Buguruni Mataa Paul James (PJ) Gerald Hando Adella Tillya...

Like
1553
0
Friday, 10 June 2016
WASICHANA 500 WA TANZANIA WANATUMIKA ASIA
Local News

Serikali imesema zaidi ya wasichana 500 wanatumikishwa katika kazi hatari zikiwemo za ukahaba katika nchi za Asia na Uarabuni. Taarifa ya wizara ya mambo ya nje imesema imepata taarifa kuwa kuna mtandao unaowasafirisha wasichana katika nchi hizo kwa madai ya kufanya kazi za ndani lakini baadae hutumikishwa kwenye biashara ya ngono. Taarifa zinasema baadhi ya wasichana hao wemekimbilia kwenye ubalozi wa Tanzania ili kuomba kurudishwa nyumbani Mindi Kasiga ni Msemaji wa Wizara ya mambo ya nje ambaye anasema ” Mtandao...

Like
275
0
Friday, 10 June 2016
MAAFISA 302 WA POLISI WAFUTWA KAZI KENYA
Global News

Takriban maafisa 302 wa polisi wamefutwa kazi nchini Kenya kwa kukataa kukaguliwa tangu mpango huo wa kutaka kukabiliana na ufisadi kuanzishwa mwaka 2013,kulingana na tume inayotekeleza ukaguzi huo. Hayo yalibainishwa na Jonhston Kavuludi ,anayeongoza tume hiyo ya huduma za maafisa wa polisi huku maafisa wa polisi wakijiandaa kuhojiwa na jopo katika mji wa magharibi wa Kisumu. Ukaguzi huo ni mpango wa uma na hufanywa mbele ya kamera ambapo maafisa uhojiwa kuhusu mali na fedha wanazomiliki huku mgongano wowote wa maslahi...

Like
259
0
Thursday, 09 June 2016
SAKASAKA 2016 INAKUPA NAFASI YA KUTWAA MILIONI TATU
Local News

Baada ya kukabidhi magari mawili na pikipiki kumi kwa wasikilizaji wake kupitia shindano la shikandinga , EFM redio inakuja na donge nono kupitia mchezo wa sakasaka ambao huchezeshwa kila mwaka toka kituo kianzishwe. Saka saka ni shindano ambalo efm redio huficha kitu katika eneo fulani ambapo  msikilizaji hupewa maelekezo yake hivyo atatakiwa kwenda katika eneo hilo na kukitafuta hicho kitu kulingana na shindano. Mwaka huu mchezo wa sakasaka utaanza tarehe 12/06/2016, utachezeshwa katika wilaya tano (5) ambazo ni Kinondoni, Ilala,...

Like
347
0
Thursday, 09 June 2016
HILLARY CLINTON AJITANGAZIA RASMI USHINDI
Global News

HILLARY CLINTON amejitangazia rasmi ushindi kwenye kura za mchujo za chama chake cha Democratic baada ya kushinda majimbo kadhaa muhimu kwenye chaguzi za jana na hivyo kujiimarishia nafasi ya kuteuliwa kuwa mgombea wa kwanza mwanamke wa urais wa Marekani.   Hata hivyo mpinzani wake, Bernie Sanders, amekataa kujitoa kwenye kinyang’anyironi na badala yake ameapa kusonga mbele hadi dakika za mwisho.   Kwa upande mwengine, mgombea mteule wa chama cha Republican, Donald Trump, amejizolea ushindi mkubwa kwenye majimbo ya New Mexico,...

Like
208
0
Wednesday, 08 June 2016
TISHIO LA BOMU LAILAZIMU NDEGE YA EGYPT KUTUA GHAFLA
Local News

NDEGE ya shirika la EgyptAir ambayo ililazimika kutua nchini Uzbekistan kutokana na udanganyifu wa kuwepo kwa bomu, imeruhusiwa kuendelea na safari yake kutoka Cairo kwenda Beijing.   Abiria wote 118 na wafanyikazi 17 waliokuwa ndani ya ndege hiyo, waliondolewa katika uwanja wa kimataifa wa Urgench.   Wiki tatu zilizopita ndege ya EgyptAir iliyokuwa ikitoka mjini Paris kwenda Cairo ikiwa na abiria 66 ilianguka katika bahari ya...

Like
225
0
Wednesday, 08 June 2016
« Previous PageNext Page »