PAPA APOKEA TAARIFA YA KUJIHUZURU KWA ASKOFU KUFUATIA TUHUMA ZA KUJIHUSISHA NA MAPENZI
Global News

Baba Mtakatifu Francis amekubali kujiuzulu kwa Askofu Kieran Conry kutoka majimbo ya Arundel na Brighton baada ya kupokea barua ya Askofu huyo alieomba radhi mara baada ya taarifa kutoka kwenye vyombo vya habari Conry, mwenye umri wa miaka 64, aliomba radhi katika barua kwa kutokuwa mwaaminifu kwa ahadi yake kama kuhani Katoliki lakini alisisitiza matendo yake yalikuwa si ​​kinyume cha sheria na hawakuwa kuhusisha watoto. Kanisa katoliki limekuwa likipata shinikizo juu ya kubadilisha tamaduni hivyo kuwaruhusu watumishi hao kuingia kwenye...

Like
673
0
Tuesday, 07 October 2014
NICK CANNON ATATUA UTATA WA TATOO YA MARIAH CAREY MGONGONI MWAKE
Entertanment

Nick Cannon ameondoa utata wa tatoo aliyochora yenye jina la aliekuwa mpenzi wake Mariah Carey Nick amefunika tatoo hiyo na tatoo nyingine iliyochorwa kwa juu ya ile ya mwanzo yenye jina la Mariah Carey tatoo ambayo ilizua maswali mengi mara baada ya wawili hao kutengana. mkali huyo ameendelea kumake headlines mara baada ya kumsainisha mikataba Amber rose na kuwa chini ya kampuni...

Like
345
0
Tuesday, 07 October 2014
JAMAL MALINZI AMESEMA YEYE NA KAMATI YAKE YA UTENDAJI WAPO MADARAKANI KUENDELEZA SOKA NA SI MALUMBANO
Slider

SHIRIKISHO la kandanda Tanzania Tff,limesema mashindano ya taifa kwa vijana wenye umri chini ya miaka 12, yatafanyika mkoani mwanza kuanzia mwezi Desemba mwaka huu,ukiwa ni mpango maalumu unaolenga kupata kikosi imara cha kitakachoshiriki michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri wa chini ya 17 (U17), mwaka 2019, ambapo Tanzania imeomba kuwa mwenyeji wa mashindano hayo. Akizungumza na wanahabari hii leo kuelezea mpango huo, Rais wa TFF, Jamal Malinzi,amesema mashindano hayo yatashirikisha kombaini za mikoa yote Tanzania,lakini kwanza amenza kwa...

Like
260
0
Tuesday, 07 October 2014
RAIS KENYATTA NIPO RADHI KWENDA ICC
Global News

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema yuko radhi kwenda katika mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kikao maalum kuhusu kesi inayomkabili. Akiwahutubia wabunge mjini Nairobi,aliwaambia kuwa yuko tayarti kuhudhuria kikao maalum alichotakiwa kuhudhuria mjini Hague bila wasiwasi wowote. Kenyatta alitakiwa na majaji wa mahakama hiyo kufika ICC tarehe 8 mwezi huu kufafanua madai kuwa serikali yake imekataa kushirikiana na mahakama hiyo hasa upande wa mashitaka kwa kukataa kuipatia ushahidi unaohitajika katika kesi inayomkabili. Anakabiliwa na tuhuma za...

Like
354
0
Tuesday, 07 October 2014
MGONJWA WA EBOLA ABAINIKA HISPANIA
Global News

Uchunguzi unaendelea katika hospitali ya Madrid nchini Hispania kutokana na muuguzi mmoja nchini humo kuwa mtu wa kwanza kubainika kuwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola anaodaiwa kuwa aliambukizwa virusi vya ugonjwa huo kutoka nchi za Afrika Magharibi. Muuguzi huyo alikuwa miongoni mwa kikosi cha madaktari waliowatibia raia wamisionari wawili waliokufa kutokana na ugonjwa huo baada ya kurejeshwa nyumbani kwao wakitokea nchi za Afrika Magharibi. Hata hivyo hospitali hapo kwa sasa kuna uangalizi mkubwa huku vifaa vya kujikinga na vifaa...

Like
297
0
Tuesday, 07 October 2014
SERIKALI IMEWATAKA WANANCHI KUFUATA SHERIA NA TARATIBU ZA UJENZI MAENEO YA MJINI
Local News

Katika kuadhimisha Siku ya makazi Duniani Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewataka Wananchi kufuata sheria na taratibu za ujenzi maeneo ya Mijini ili kuepuka na hasara pamoja na usumbufu wa kubomolewa makazi yao. Wito huo umetolewa Jijini Dar es salaam na Waziri wa Wizara hiyo Profesa ANNA TIBAIJUKA   Amebainisha kuwa kupitia mradi wa kuboresha Miundombinu kwa kushirikiana na jamii kuna baadhi ya maeneo yameboreshwa Kauli mbiu isemayo, SAUTI KUTOKA MAKAZI...

Like
580
0
Tuesday, 07 October 2014
SERIKALI KUFUNGA MITAMBO YA VIDEO CONFERENCE KATIKA OFISI ZAKE
Local News

Serikali imeahidi kufunga Mitambo ya Video Conference katika Ofisi za Halmashauri za Wilaya na Mikoa pamoja na Vituo vya Polisi vya Wilaya ili kurahisisha Mawasiliano na kupunguza gharama za vikao katika taasisi zake ifikapo mwaka 2015. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Profesa MAKAME MBARAWA Profesa MBARAWA amesema tayari Serikali imeunganisha baadhi ya Mikoa katika Mkongo wa Mawasiliano Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mafunzo kwa njia ya Mtandao -TAGLA CHARLES SENKONDO amesema mfumo huo wa umesaidia...

Like
276
0
Tuesday, 07 October 2014
Uchaguzi kuingia duru ya pili Brazil
Global News

Huku zaidi ya asilimia 97 ya kura zilizopigwa zikiwa zimehesabiwa kwenye uchaguzi mkuu nchini Brazil, rais Dilma Roussef ameshinda awamu ya kwanza ya kura hizo, lakini bado hajapa ushindi unaohitajika ili kuzuia kuwepo duru ya pili. Mpinzani wake wa karibu Aecio Neves amechukua nafasi ya pili. Matokeo haya hata hivyo yanamaanisha kuwa mgombea mwingine ambaye ni waziri wa zamani wa mazingira Marina Silva ameondolewa kwenye kinyanganyiro hicho hata baada ya kuonekana kuwa kwenye nafasi nzuri ya kuwa rais wa Brazil....

Like
296
0
Monday, 06 October 2014
SOULJA BOY KUKIKABILI KIFUNGO
Entertanment

Rapa kutoka nchini Marekani Soulja boy ambae wiki kadhaa nyuma alitupiana matusi na mwimbaji K michelle kupitia mtandao wa Twitter. hivi karibuni amekutwa na hatia ya kumiliki bunduki ya kijeshi kinyume cha sheria na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya aina ya bangi maafisa wapolisi wa huko LAPD Loss angels polis department wameeleza kuwa vitu hivyo alikutwa navyo rapa huyo chini ya kiti cha gari lake aina ya  Porsche Panamera ambapo rapa huyo alikamatwa eneo la...

Like
240
0
Monday, 06 October 2014
JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI LAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA TAARIFA YA TMA
Local News

Kufatia taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa -TMA juu ya kuwepo kwa mvua nyingi nchini, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limewataka wananchi kutoendelea na Ujenzi katika maeneo ya Mabondeni ili kuepusha usumbufu pindi mafuriko yanapotokea. Akizungumza na EFM ofisini kwake Kaimu Kamishina wa operesheni ya Zimamoti na Uokoaji jijini CHRISTOM MANYOLOGA amesema Akizungumzia namna ambavyo Jeshi hilo limejipanga na Majanga MANYOLOGA anasema  ...

Like
518
0
Monday, 06 October 2014
DAVID KAFULILA AIBANA IPTL,SERIKALI
Local News

Serikali imetakiwa kutozuia Utoaji na Kujadiliwa Bungeni kwa Ripoti za Uchunguzi juu ya matumizi Mabaya ya Fedha za ESCROW Shilingi Bilioni 400 kilichofanywa kupitia Kampuni ya PAP na IPTL. Hayo yameelezwa jijini Dar es salaam na Mbunge wa Kigoma Kusini ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa Chama cha NCCR-Mageuzi Mheshimiwa DAVID KAFULILA...

Like
323
0
Monday, 06 October 2014
« Previous PageNext Page »