DOWNLOAD NYIMBO MPYA ZA ALBUM YA CHIN BEEZ
Entertanment

  “My Baby” from Ladha by Chin Bees. Released: 2018. Track 4. Genre: Africa. DOWNLOAD   “Killer” from Ladha by Chin Bees. Released: 2018. Track 2. Genre: Africa. DOWNLOAD   “Nitulize” from Ladha by Chin Bees. Released: 2018. Track 3. Genre: Africa. DOWNLOAD   “My Baby” from Ladha by Chin Bees. Released: 2018. Track 4. Genre: Africa. DOWNLOAD   “Check It” from Ladha by Chin Bees. Released: 2018. Track 5. Genre: Africa. DOWNLOAD   “Cynthia” from...

2
5501
0
Tuesday, 20 March 2018
LADHANI LEO CHIN BEEZ ANA REVIEW ALBUM YAKE LIVE
Music

  CHIN BEEZ: unajua ukizungumzia swala la Albam, tukiziweka ndani hatuwatendei haki mashabiki wetu CHIN BEEZ: Hii ni kama zawadi nimewapa mashabiki wangu CHIN BEEZ: Hii albam ni bure kabisa una weza kudownload kupitia wanene CHIN BEEZ: Na sisitiza usiuziwe hii Albam, ni bure ni zawadi kwamashabiki wangu CHIN BEEZ: Sometie kila msanii ana stayle yake unajua ehe CHIN BEEZ: Mimi sio mkorofi ila unajua mtu ukiwa na modi furani hivi ndio unaonekana hivyo CHIN BEEZ: Sasa mimi nafikiria maisha,...

Like
1186
0
Tuesday, 20 March 2018
SAMATTA ATUA RASMI ALGERIA
Sports

Mshambuliaji Mtanzania , Mbwana alli Samatta,Amewasili leo katika uwanja wa ndege wa Algiers, Algeria , na  kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo , Omar Yusuph Mzee. Samatta amewasili Algeria kwa ajili ya mchezo wa kirafiki, Ambapo Taifa Stars itacheza thidi ya Algeria, Machi 22-2018. Mchezaji huyo ataungana na wenzake wa Taifa Stars, Walioondoka leo nchini kuelekea Algeria kushiriki mechi hiyo ya...

Like
1317
0
Tuesday, 20 March 2018
MOHAMEDI SALAH HASHIKIKI USAJILI ULAYA
Sports

Kwa mujibu wa jarida la “the sun” limeripoti kuwa Mshambuliaji wa Liver aliye katika fomu hivi sasa, Mmsiri , Mohamed Salah, anawaniwa na timu tofauti za Ulaya. PSG, Real Madrid na F.C Barcelona ndiyo klabu zinazonyatia saini ya mchezaji huyo ili kuweza kumsajili. Dau la pauli milioni 200 litakalounja rekodi ya uhamisho , ndiyo kuwa linaweza kumng’oa mchezaji huyo kutoka Liverpool. Salah ameifungia Liverpool jumla ya mabao 28 katika msimo huu wa ligi kuu England....

Like
1482
0
Tuesday, 20 March 2018
YAMETIMIA NEYMAR KUKOSA KOMBE LA DUNIA 2018
Sports

    Mtabiri mwenye asili ya Brazili Carlinhos Vidente, Alitabiri mwaka jana mwezi wa kumi na mbili kwamba Neymar Jr atakosa kombe la dunia mwaka huu linalofanyika nchini Urusi kutokana na majeraha. Carlinhos mwenye kipindi cha TV huko Amerika kusini alitabiri kuwa Neymar atashindwa kushiriki kombe la dunia kwa kuwa majeruhi. “Atakaa nje kwa miezi mitano mpaka saba lakini brazili itaingia  nusu fainali na safari yao kuishia hapo.” alisema Carlinhos Baada ya utabiri huo Neymar akaumia mwezi uliopita  na imeripotiwa...

Like
687
0
Tuesday, 20 March 2018
Magazetini Leo

...

Like
519
0
Tuesday, 20 March 2018
MAPATO NA MATUMIZI TFF HADHARANI
Sports

  Rais wa shirikisho la miguu tanzania(TFF), WALLACE KARIA ameongea na waandishi wa habari za michezo, Leo hii jiji dar es salaam na kuwaeleza mambo yanayo endelea kwenye shirikisho hilo MAPATO Katika kipindi cha miezi Saba(7),Shirikisho limefanikiwa kukusanya kiasi cha Tzs 3,670,397,199.00 kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali  ambavyo ni pamoja na mapato kutoka kwa wadhamini Tzs 2,295,472,151sawa na 62.5% ya mapato yote, makusanyo ya viingilio uwanjani Tzs 378,139,866 sawa na 10.3%. 27.2% ilitokana na Fedha kutoka CAF na FIFA....

Like
534
0
Monday, 19 March 2018
JUAN MARTIN  DEL POTRO ATHIBITISHA UFALME WAKE INDIA
Sports

JUAN POTRO ameshinda mashindano INDIAN WELLS MASTERS 2018 hayo dhidi mpizani wake Roger Federer. Margentiana huyo ameshinda mara 17 mfulizo bila kupoteza. Juan martin ni mchezaji wa wakimataifa wa argentina, Pia anashikilia nafasi ya sita (6) kwa ubora kwenye ranki ya dunia kwa wanamichezo wa tenesi wa kiume. Mafanikio makubwa ya kwanza kupata ni mwaka 2009 kwenye mashindano ya US open, akimtoa Mhispania Rael Nadal kwenye mchezo wa nusu fainali....

Like
365
0
Monday, 19 March 2018
VLADIMIR PUTIN ASHINDA TENA KITI CHA URAIS KWA KISHINDO
Global News

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameibuka mshindi kuliongoza taifa hilo kwa muhula mwingine ujao wa miaka sita baada ya kujipatia ushindi mkubwa.Ushindi huo ulitarajiwa katika upigaji kura uliomalizika siku ya jumapili.Hata kabla ya kura zote kuhesabiwa tayatri alikuwa amejizolea asilimia 76 kwa mjibu wa tume ya uchaguzi. Akizungumza katika mkutano wa kutangazwa mshindi amsema ushindi wake ni matokeo ya hatua kubwa ya mafanikio aliyoyafikia katika uongozi wake. Putin ameongeza kuwa hii ni uthibitisho wa kukubalika kwa sera zake na kwamba...

Like
447
0
Monday, 19 March 2018
Chelsea yaifuata Manchester United Nusu fainali -FA CUP
Sports

Michuano ya FA Cup kuelekea hatua ya nusu fainali imepigwa hapo jana kwa michezo miwili ,Wigan Athletic waliondoshwa na Southampton katika michuano hiyo kwa kichapo cha bao 2-0 , huku Chelsea wakichomoza na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Leceister city kwa magoli ya Alvaro Morata na Pedro Eliezer Rodríguez akifunga katika muda wa nyongeza baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika Kwa matokeo hayo Southampton na Chelsea zinaungana na Manchester United na Tottenham katika hatua ya nusu fainali,ambapo Chelsea...

Like
470
0
Monday, 19 March 2018
MAGAZETI YA JUMATATU LEO MARCH 19,2018
Magazetini Leo

...

Like
362
0
Monday, 19 March 2018
« Previous PageNext Page »