ITAMBOLEO: WANANCHI WAMKALIA KOONI MTENDAJI WA KIJIJI KUFUATIA UBADHILIFU WA FEDHA
Local News

WANANCHI wa Kijiji cha Itamboleo Kata ya Chimala Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamemtaka Mkugunzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo,  kumchukulia hatua za nidhamu Mtendaji wa Kijiji Julius Mwagala kwa ubadhilifu wa fedha za kijiji.   Mwenyekiti wa Kijiji cha Itamboleo SAMWEL KAGANGA amesema kuwa Mwagala amekula shilingi laki 9 zilizochangwa na wananchi mwaka 2015 kwa ajili ya maendeleo ya Kijiji.   Hata hivyo inaelezwa kuwa, mtendaji huyo hajafika kazini tangu mwezi March mwaka jana  ambapo kazi zake zimekuwa zikifanywa...

Like
319
0
Friday, 08 January 2016
WAKAZI DAR KUNUFAIKA HUDUMA YA MAJI SAFI NA SALAMA
Local News

KATIKA  kuhakikisha agizo la serikali  la kufikisha huduma ya maji safi kwa wakazi zaidi ya milioni nne  wa mkoa wa Dar es alaamu na  mikoa ya jirani,  mamlaka ya maji safi na maji taka  mkoa wa Dar es alaamu- DAWASCO,  limeanzisha zoezi maalumu kwa ajili ya kuwaunganisha wakazi hao na  huduma hiyo.   Afisa uhusiano wa Dawasco  EVERLASTINGI  LYARO,  amesema kuwa zoezi hilo limeanza rasmi tangu januari mosi mwaka huu na limegawanyika katika awamu kuu nee.   LYARO amebainisha kuwa...

Like
252
0
Friday, 08 January 2016
WAFUNGWA 2 WA GUANTANAMO WAHAMISHIWA GHANA
Global News

WAFUNGWA wawili waliokuwa wakizuiliwa katika gereza la Guantanamo Bay, Cuba, wamehamishiwa Ghana.   Wizara ya Ulinzi ya Marekani imesema idhini ilitolewa kwa Khalid al-Dhuby kuachiliwa huru 2006 na kwa Mahmoud Omar Bin Atef mwaka 2009.   Wawili hao, wanaotoka Yemen, wamezuiliwa kwa zaidi ya mwongo mmoja na hawajawahi kufunguliwa...

Like
172
0
Thursday, 07 January 2016
MZOZO WA KIDIPLOMASIA KATI YA SAUDI ARABIA NA IRAN WAPAMBA MOTO
Global News

MZOZO wa kidiplomasia kati ya Saudi Arabia na Iran unazidi kufukuta, huku Iran ikiitaka Saudi Arabia kuachana na msimamo wake wa makabiliano.   Waziri wa mambo ya nje wa Iran Javad Zarif, ameitaka Saudi Arabia kuacha kuchochea wasiwasi na kujibu hatua zake za karibuni, ambazo zilisababisha mkwamo...

Like
193
0
Thursday, 07 January 2016
WAZIRI SIMBACHAWENE AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI KWA KAIMU AFISA BIASHARA WA MANISPAA YA ILALA
Local News

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mheshimiwa, George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala kumsimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Ilala  Dennis Mrema kuanzia leo tarehe 07 Januari, 2016 kwa kosa la kusababisha upotevu wa Mapato ya Serikali kutokana na urasimu wa kukusudia, mazingira ya rushwa na uzembe katika utoaji wa leseni za Biashara.   Kutokana na hali hiyo Waziri ameelekeza Mkurugenzi huyo wa Ilala kumuondoa kwenye nafasi yake Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa...

Like
371
0
Thursday, 07 January 2016
DK. SHEIN: TOFAUTI ZA KISIASA ZISIVURUGE AMANI
Local News

RAIS wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta  Ali Mohamed Shein  ametaka tofauti za kisiasa zilizopo Visiwani humo zisitumike kuvuruga amani na utulivu ambayo ndiyo siri kubwa ya maendeleo yaliyopatikana katika visiwa vya Unguja na Pemba.   Dokta Shein ambaye alikuwa akizungumza na wananchi wa Wete waliokwenda kumsalimia mara baada ya kukagua ujenzi wa soko na Ofisi ya Baraza la Mji wa Wete, amesema kuwa suala la amani halina mbadala huku akiahidi kuendelea kuisimamia amani ya Zanzibar na...

Like
143
0
Thursday, 07 January 2016
IVORY COAST: OUATTARA AKUBALI KUJIUZULU KWA WAZIRI MKUU
Global News

RAIS Alassane Ouattara wa Ivory Coast amekubali kujiuzulu kwa Waziri Mkuu na Serikali yake.   Akituma ujumbe kupitia mtandao wa Twitter, Outtarra amesema waziri mkuu aliwasilisha hati ya kujiuzulu na ile ya serikali naye akairidhia.   Ouattara, mwanauchumi mwenye umri wa miaka 74, aliyewahi kulitumikia shirika la fedha la kimataifa na  amechaguliwa kwa muhula wa pili wa miaka mitano kama rais, mwezi Oktoba mwaka...

Like
734
0
Thursday, 07 January 2016
UN YAANZA MIKAKATI KUIWEKEA VIKWAZO KOREA KASKAZINI
Global News

SIKU moja baada ya Korea Kaskazini kufanya jaribio la bomu la haidrojeni, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekubaliana kuanza mikakati ya kuiwekea vikwazo. Hata hivyo baadhi ya Wataalamu wameonyesha kuwa na wasi wasi kuhusu jaribio la sasa la nyuklia la Korea Kaskazini ambalo ni la nne katika mwongo mmoja, wakisema huenda lisiwe la haidrojeni kutokana na mlipuko uliotokea. Bomu la hydrojeni ni moja ya mabomu hatari ya jamii ya atomiki au nyuklia yenye nguvu zaidi. Wataalam wanasema bomu...

Like
182
0
Thursday, 07 January 2016
BODI YA UTALII IMETAKIWA KUTUMIA VYOMBO VYA HABARI VYA KIMATAIFA KUITANGZA TANZANIA
Local News

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe ameitaka Bodi ya Utalii Tanzania- TTB, kuendelea kutumia vyombo vya habari vya Kimataifa kama vile CNN na BBC  kuitangaza Tanzania kama eneo la Utalii duniani sambasamba na kuweka makala na matangazo ya utalii katika majarida ya Kimataifa yanayoandika habari za Utalii na usafiri (Travel Magazine) ambayo ndiyo husomwa na watalii wengi duniani. Waziri Maghembe amesema hatua hiyo itasaidia kuongeza idadi ya watalii nchini.   Waziri Maghembe ameyasema hayo alipotembelea Bodi ya Utalii...

Like
196
0
Thursday, 07 January 2016
IRINGA: VIONGOZI WA VYAMA VYA USHIRIKA VYA ZAO LA TUMBAKU WASIMAMISHWA
Local News

WAZIRI wa kilimo,mifugo na uvuvi mheshimiwa Mwigulu Nchemba amewasimamisha viongozi wa vyama vya ushirika vya zao la tumbaku mkoani Iringa. Akizungumza kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa siasa na kilimo, Mheshimiwa Mwigulu amemuagiza mrajisi wa mkoa kuivunja bodi hiyo na kuwachunguza viongozi wa vyama hivyo. Aidha, ameiomba serikali ya mkoa kufuatilia na kutathimini ubadhirifu uliofanywa na viongozi hao na kuwachukulia hatua ili kukomesha vitendo...

Like
367
0
Thursday, 07 January 2016
NIGERIA: MHUBIRI WA KIISLAM AHUKUMIWA KIFO
Global News

MAHAKAMA moja ya Kiislamu nchini Nigeria imemhukumu kifo mhubiri anayetuhumiwa kukufuru kwa kumtukana Mtume  Muhammad.   Abdul Inyass amehukumiwa katika kikao cha faragha cha mahakama katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria.   Afisa wa mashtaka Lamido Abba Soron-Dinki ameliambia shirika la AFP kuwa Kikao hicho kimefanyika faraghani kuzuia “fujo kutoka kwa umma” sawa na ilivyoshuhudiwa wakati wa kikao cha...

Like
195
0
Wednesday, 06 January 2016
« Previous PageNext Page »