TEMEKE: SEKTA YA UHANDISI IMETAKIWA KUANDAA MIRADI INAYOTEKELEZEKA
Local News

MSTAHIKI MEYA wa Manispaa ya Temeke Abdallah Chaurembo ameitaka sekta ya uhandisi pamoja na Watendaji wa Manispaa hiyo kuandaa miradi michache inayotekelezeka na kuwasilisha katika kamati ya maendeleo ya manispaa hiyo badala ya kuwa na miradi mingi isiyotekelezeka. Chaurembo ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari baada ya kufanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na kubaini kuwa miradi mingi haijakamilika kutokana na sababu mbali mbali ikiwemo ufinyu wa bajeti. Aidha Chaurembo amewataka Wahandisi na Watendaji hao...

Like
226
0
Monday, 25 January 2016
WAUMINI NCHINI WAASWA KULINDA AMANI
Local News

WAUMINI wa dini zote nchini wameaswa kutojihusisha na vitendo vya kupeana majina mabaya yanayo hamasisha vurugu au uvunjifu wa amani. Wito huo umetolewa Jijini Dar es salaam na Mmoja wa Viongozi wa Kuu wa kiroho wa Waislamu Dhehebu la Shia Ithina Sheria Tanznia Sheikh Hemed Jalala alipokuwa akizungumza kwenye semina ya kujadili changamoto zinazo wakabili umma wa kiislamu nchini na duniani kwa ujumla. Sheikh JALALA amebainisha kuwa kuitana majina hayo ndio chanzo kikubwa cha kuibuka kwa vitendo vya kigaidi vinavyo...

Like
204
0
Monday, 25 January 2016
RAIS WA MYNAMAR AAMURU WAFUNGWA 101 KUACHIWA HURU
Global News

RAIS wa Myanmar anayemaliza muda wake, Thein Sein, ameamuru kuachiwa huru kwa wafungwa 101 wakiwemo takribani 25 waliohukumiwa kwa makosa ya kisiasa.   Maafisa nchini humo wamesema msamaha huo unawahusu pia wafungwa 77 waliokuwa wamehukumiwa kifo na adhabu yao kubadilishwa kuwa kifungo cha maisha.   Kwa mujibu wa chama cha wafungwa wa kisiasa  nchini humo, miongoni mwa wafungwa 25 wa kisiasa, yumo raia wa New Zealand, Philip Blackwood, ambaye alihukumiwa mwezi Machi kwa kosa la kwenda kinyume na misingi ya...

Like
176
0
Friday, 22 January 2016
SOMALIA: WANAJESHI WA KENYA WALIPEWA TAHADHARI
Global News

IMEELEZWA kuwa Wanajeshi wa Kenya nchini Somalia walionywa kuhusu shambulizi la kundi la Alshabaab siku 45 kabla ya kundi hilo kuvamia mojawapo ya kambi zao. Jenerali Abas Ibrahim Guery ameiambia BBC kuwa , Kenya ilipewa ripoti ya kiintelijensia kuhusu tishio la uvamizi huo ambapo Wapiganaji hao wa kiislamu wanasema kuwa waliwaua zaidi ya wanajeshi 100 katika shambulio hilo likiwa ni baya zaidi kuwahi kufanyika kwa jeshi la Kenya. Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewatambelea baadhi ya wanajeshi waliojeruhiwa katika hospitali...

Like
228
0
Friday, 22 January 2016
UCHIMBAJI WA KOKOTO MARUFUKU TEMEKE
Local News

MKUU wa Wilaya ya Temeke Sofia Mjema amepiga marufuku shughuli za uchimbaji Kokoto na Mchanga zinazofanyika kigamboni pamoja na maeneo mengine ya Manispaa ya Temeke kutokana na uharibifu mkubwa wa mazingira unaofanyika  kupitia shughuli hizo.   Mjema amechukua maamuzi hayo baada ya kutembelea maaneo hayo akiambatana na kamati ya Ulinzi na Usalama ya Manispaa ya Temeke ambapo amebaini uharibifu mkubwa wa mazingira unaofanyika kupitia shughuli hiyo huku akirejea Kauli ya Mkuu wa Mkoa Dar es salaam Said Meck Sadick kua...

Like
376
0
Friday, 22 January 2016
DK SHEIN AONGOZA MAZISHI YA BI ASHA BAKARI MAKAME
Local News

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohamed Shein  leo ameongoza mazishi ya marehemu Bi Asha Bakari Makame aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT). Mazishi ya Marehemu yamefanyika huko Kianga, Wilaya ya Magharibi ‘B’, Mkoa wa Mjini Magharibi kwa heshima zote za Chama Cha Mapinduzi, ambapo viongozi mbali mbali wa vyama na serikali wamehudhuria  akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Makamu wa Pili wa Rais Balozi...

Like
534
0
Friday, 22 January 2016
TAMBWE AIREJESHA YANGA KILELENI
Slider

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Mrundi Hamisi Joselyn Tambwe ameendelea kuwa kinara wa kupachika mabao katika klabu yake ya wanajangwani Yanga SC. Tambwe amefanikiwa kuirejesha timu hiyo kileleni mwa Ligi kufuatia ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Timu ya Majimaji katika mchezo uliopigwa jana uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam, yeye akipachika mabao 3 katika ushindi huo. Kwa ushindi huo Yanga imerudi tena kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa kufikisha alama 39, sawa na Azam FC iliyopo...

Like
330
0
Friday, 22 January 2016
KENYATA KUTEMBELEA WANAJESHI WALIOJERUHIWA NA AL-SHABAB
Global News

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta anatarajia kuwatembelea wanajeshi waliojeruhiwa baada ya wanamgambo wa Al-Shabab kushambulia kambi ya wanajeshi nchini Somalia Ijumaa iliyopita. Rais Kenyatta atawatembelea majeruhi hao katika hospitali ya Forces Memorial iliyopo Nairobi na baadaye kujumuika na ndugu, marafiki na maafisa wakuu wa Jeshi kwa ibada ya kuwakumbuka wanajeshi waliouawa. Serikali ya Kenya bado haijatoa idadi kamili ya wanajeshi wake waliouawa baada ya kambi hiyo iliyoko El-Ade kushambuliwa ingawa Mkuu wa Majeshi nchini humo Jenerali...

Like
257
0
Friday, 22 January 2016
SOMALIA: MASHAMBULIZI YA HOTELI YAUA 20
Global News

WAZIRI wa Mambo ya Usalama wa Ndani nchini Somalia amesema watu 20 wamefariki baada ya hoteli mbili maarufu za ufukweni kushambuliwa mjini Mogadishu. Waziri Abdirisak Omar Mohamed ameviambia vyombo vya habari kuwa watu wengine 20 wamejeruhiwa baada ya hoteli za Lido Sea Food na Beach View kushambuliwa jana jioni. Hata hivyo tayari Kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Al-Shabaab limekiri kuhusika kwenye shambulio hilo ambalo limetajwa kuwa ni miongoni mwa mashambulio ya...

Like
194
0
Friday, 22 January 2016
DUKA LA DAWA LA MSD LAZINDULIWA MWANZA
Local News

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Mheshimiwa Ummy Mwalimu amezindua rasmi duka la Dawa la MSD mkoani Mwanza ambalo lipo ndani ya Hospitali ya SekouToure, na kufanya maduka ya MSD yaliyofunguliwa baada ya agizo la Rais Dkt John Magufuli kufikia mawili baada ya lile la Muhimbili lililofunguliwa mwaka jana.   Katika hotuba yake ya uzinduzi wa duka hilo, Waziri Ummy ameipongeza MSD kwa hatua hiyo nzuri ya kufungua maduka ili kuwawezesha wananchi kupata dawa, na kuitaka...

Like
416
0
Friday, 22 January 2016
JK ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA YA UDAKTARI WA FALSAFA WA MAHUSIANO YA KIMATAIFA
Local News

RAIS mstaafu wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete jana ametunukiwa Shahada ya heshima ya udaktari wa falsafa wa mahusiano ya kimataifa Jijini Dar es Salaam katika mahafaliya 30 ya Chuo Kikuu Huria Tanzania.   Mheshimiwa Dkt Jakaya Kikwete amesema amefarijika sana kutunukiwa shahada hiyo ya heshima itolewayo na Chuo kikuu Huria Tanzania kwa watu ambao wametoa mchango katika maendeleo ya jamii kupitia nafasi zao kiutendaji.   Maraisi wengine waliowahi kupata hiyo kutoka Chuo hicho ni Rais wa Awamu...

Like
448
0
Friday, 22 January 2016
« Previous PageNext Page »