MAKONDA AWEKA MAWE YA MSINGI YA UJENZI WA SHULE 2 ZA SEKONDARI KINONDONI
Local News

KATIKA kupunguza tatizo la watoto wengi wanaomaliza darasa la saba kushindwa kuendelea na elimu ya Sekondari kutokana na uhaba wa Madarasa wilayani Kinondoni , Mkuu wa Wilaya hiyo,  Paul Makonda leo ameweka mawe ya msingi ya ujenzi wa shule za Sekondari Mbezi Juu na shule ya Sekondari Mzimuni zinazojengwa katika manispaa ya Kinondoni.   Akizungumza na Waandishi wa habari pamoja na wananchi wakati akiweka mawe hayo ya msingi Makonda amesema hii ni sehemu yamkakati wa Manispaa hiyo kujenga shule za...

Like
636
0
Monday, 11 January 2016
SERIKALI KUWALINDA WANANCHI DHIDI YA MATUMIZI YA CHAKULA KISICHO SALAMA
Local News

SERIKALI imesema imejidhatiti kuwalinda wananchi kwa kuzuia athari za kiafya zinazoweza kujitokeza kutokana na matumizi ya chakula kisicho salama kote nchini.   Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa mamlaka ya chakula na Dawa (TFDA)  Gaudensia Simwanza ameyasema hayo  na kufafanua kuwa uchafuzi wa chakula hufanya chakula kisiwe salama na hivyo kusababisha madhara ya kiafya ya muda mfupi na muda mrefu na hata vifo kwa mlaji pamoja na athari za...

Like
290
0
Monday, 11 January 2016
NEW MUSIC: DREAM – NIMESHAZAMA
Entertanment

Baada ya kufnya vizuri na track yake ya kwanza kama  solo artist, Dream ameachia wimbo mpya unaweza kuusikiliza na kuupakua hapa Wimbo umetayarishwa na Abbah katika studio za Vipaji TZ pakua...

Like
537
0
Friday, 08 January 2016
WAPALESTINA WANNE WAUAWA UKINGO WA MAGHARIBI
Global News

JESHI la Israel limesema kwa Wapalestina wanne wameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kujaribu kuwachoma visu wanajeshi wa Israel katika matukio mawili tofauti eneo la Ukingo wa Magharibi.   Watatu waliuawa katika makutano ya barabara ya Gush Etzion, ambako visa kama hivyo vimewahi kutokea awali na mwingine aliuawa karibu na Hebron lakini hakuna mwanajeshi aliyejeruhiwa.   Maafisa wa afya wa Palestina wamethibitisha vifo...

Like
172
0
Friday, 08 January 2016
SUDANI KUSINI: SALVA KIIR AOMBA RADHI RAIA
Global News

RAIS wa Sudan Kusini Salva Kiir kwa mara ya kwanza amewaomba radhi raia wa nchi hiyo kutokana na mateso na dhiki ambayo wamepitia wakati wa mzozo wa kisiasa uliodumu miaka miwili.   Rais  Kiir amesema kuomba msamaha ndiyo hatua ya kwanza katika kufanikisha maridhiano nchini humo.   Amechukua hatua hiyo wakati wa kufungua rasmi mkutano mkuu wa chama tawala cha SPLM. Jana, pande zilizohusika katika mzozo huo ziliafikiana kuhusu kugawana nyadhifa za uwaziri katika baraza la mawaziri la serikali ya...

Like
184
0
Friday, 08 January 2016
BALOZI WA UINGEREZA AAHIDI KUISAIDIA WILAYA YA KINONDONI KUTATUA KERO MBALIMBALI
Local News

BALOZI wa Uingereza nchini ameahidi kuisaidia Halmashauri ya kinondoni katika kutatua kero ikiwemo kero ya mafuriko pamoja na kuboresha sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu ,sekta ya afya  na michezo. Hayo yamebainishwa jijini Dar es alaamu na mkuu wa wilaya ya kinondoni  PAUL MAKONDA mara baada ya kumaliza  mazungumzo na balozi huyo,  DIANA MELYROSE  ambapo amesema kutokana na  kuwepo na changamoto mbalimbali katika manispaa ya kinondoni manispaa hiyo imekuwa na mazungumzo na baadhi ya wadau wa halmashauri ya kinondoni wakiwemo...

Like
213
0
Friday, 08 January 2016
RAIS MAGUFULI AMPONGEZA SAMATTA
Local News

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salam za pongezi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na  Michezo Mheshimiwa Nape Nnauye kufuatia mchezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu  Mbwana Ally Samatta kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza Barani Afrika; iliyotolewa katika mji wa Abuja nchini Nigeria jana usiku.   Mhe. Rais Magufuli amemtaka Waziri Nape Nnauye amfikishie salam zake za pongezi kwa mchezaji huyo ambaye pia ni mchezaji wa...

Like
183
0
Friday, 08 January 2016
KAMPUNI YA QUALITY MEDIA GROUP YANUNUA GAZETI LA JAMBO LEO
Local News

Kampuni Ya Quality Media Group Yanunua Gazeti La Jambo Leo Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania ambao ni wachapishaji wa Gazeti la kila siku la Jambo Leo imenunuliwa na Kampuni ya Quality Media Group ambayo ni kampuni tanzu ya Quality Group Limited,ununuzi umeanza December 31 na unategemea kukamilika February 01. Kampuni ya Quality Media imedhamiria kuwekeza katika tasnia ya habari kwa kuongeza ufanisi katika utendaji wa gazeti la Jambo Leo na kuahidi kufikia mwisho wa robo ya kwanza ya mwaka 2016...

Like
426
0
Friday, 08 January 2016
SAMATTA ATWAA TUZO YA MWANASOKA BORA AFRIKA LIGI ZA NDANI
Slider

Nyota ya Tanzania inayowika TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta amenyakua tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika anachezea ndani ya bara la Afrika.   Tuzo ya mwanasoka bora barani Afrika imemwendea Pierre-Emerick raia wa Gabon anayesakata kambumbu katika klabu ya Borussia Dotmund nchini Ujerumani. Tuzo hizo za kila mwaka zinazotolewa na Shirikisho la soka barani Afrika almaarufu kama CAF zimetolewa usiku wa kuamkia Ijumaa mjini Abuja nchini Nigeria. Samatta, kijana anayevumisha soka ya Tanzania Timu...

Like
237
0
Friday, 08 January 2016
MLIPUKO WAUA 70 LIBYA
Global News

WATU  70 wameuwawa  wakati  lori lililokuwa limewekewa  miripuko  kuripuka  katika  kambi  ya  polisi Kaskazini  Magharibi  ya  Libya  katika  mji  wa  pwani  wa Zliten.   Watu  wengi  wamejeruhiwa  katika  shambulio hilo  la  kujitoa  muhanga, ambalo  lilishambulia kundi  la maafisa  wa  polisi  waliokuwa  wamekusanyika  jana katika kambi .   Kwa  mujibu  wa  watu  walioshuhudia,  lori  hilo  lililokuwa na  miripuko  liligonga  katika  lango  la  kambi  hiyo ambayo  inatumiwa  kuwapa ...

Like
212
0
Friday, 08 January 2016
SALVA KIIR NA RIEK MACHAR WAAFIKIANA MUUNDO WA SERIKALI YA MPITO
Global News

HATIMAYE, RAIS  wa  Sudan  Kusini Salva Kiir  na  kiongozi  wa  waasi Riek Machar  wamefikia  makubaliano  ambapo  pande  hizo mbili  zimekubaliana  kuhusiana  na  muundo  wa   serikali ya  mpito.   Kwa mujibu  wa  makubaliano  hayo, serikali  inaruhusiwa kuteua  mawaziri  16, ambapo  upande  wa waasi wanaruhusiwa  kuteua  mawaziri  10.   Serikali  ya  mpito  iliyokubaliwa  itakuwa  madarakani  kwa miaka 3  kabla  ya  uchaguzi  mpya  kufanyika. Sudan Kusini  imekumbwa  na  vita  vya ...

Like
262
0
Friday, 08 January 2016
« Previous PageNext Page »