PEP GUARDIOLA AIKANA MAN CITY NA KUICHAGUA MAN U
Slider

Pep Guardiola aishangaza dunia, aikana Manchester City na kuwachagua mahasimu wao Manchester United, amtaka mlinda mlango wa Barcelona Claudio Bravo kujumuika nae. Wakati huo huo viongozi ndani ya Manchester United wanahofia kumkosa Ryan Giggs iwapo Lois Van Gaal atatimuliwa bila yeye kupewa...

Like
202
0
Wednesday, 27 January 2016
SIMBA YAIFUNGUKIA TFF
Slider

Simba yatoa msimamo wake juu ya panga pangua ya ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu huu, Tff yashushiwa lawama kwa mabadiliko ya ratiba baada ya kuiruhusu Azam Fc kwenda kushiriki mashindano ya kualikwa nchini Zambia Simba ndio bingwa ligi kuu ya kandanda Tanzania bara msimu huu, niulizeni baada ya miezi mine kauli ya MANARA, wewe unasemaje? Danny Lianga bado ni mchezaji wa Simba na hana matatizo na...

Like
233
0
Wednesday, 27 January 2016
ELITREA: WANAUME WAPEWA AGIZO LA KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA, KIFUNGO CHA MAISHA KUWAKABILI WATAKAOPUUZA
Entertanment

Wanaume nchini Elitrea wamepewa amri ya kuoa angalau wake wawili au zaidi kwa kila mwanaume huku adhabu ya kifungo cha maisha jela kutolewa kwa atakaekaidi amri hiyo ya serikali. Kwa mujibu wa serikali agizo hilo limetolewa kufuatia uwepo wa idadi ndogo ya wanaume ikilinganishwa na idadi ya wanawake ikiwa ni matokeo ya vita kati ya taifa hilo na Ethiopia. Serikali nchini humo imewathibitishia raia wake kuwa itagharamia sherehe za harusi na nyumba kwa wanandoa Kwa mujibu wa tovuti ya Afkinsider.com ...

Like
569
0
Wednesday, 27 January 2016
UGAIDI: 900 WASHIKILIWA NA POLISI SENEGAL
Global News

POLISI nchini Senegal wamewakamata watu wapatao mia tisa katika kamata kamata ya watu wanaoshukiwa kujihusisha na ugaidi. Zoezi hilo limefanyika mwishoni mwa juma lililopita katika mji mkuu wa Dakar karibu na mtaa wa Thies huku Jeshi la ulinzi likitoa angalizo tangu shambulio lililowahi kutokea mapema mwezi huu katika hoteli iliyoko mji mkuu wa Burkina Faso. Hata hivyo wiki iliyopita waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo Abdoulaye Daouda Diallo amezitaka hoteli zote nchini humo kuongeza ulinzi ili kuzuia matukio...

Like
192
0
Wednesday, 27 January 2016
NETANYAHU AMTUHUMU BAN KI-MOON KUUNGA MKONO UGAIDI
Global News

WAZIRI mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau amemshutumu katibu mkuu wa umoja wa mataifa, Ban Ki-Moon kwa kuunga mkono ugaidi, baada ya kusema kuwa ni jambo la kawaida kwa watu wanaotawaliwa au kukandamizwa, kukabiliana na walowezi. Hayo yamejiri kufuatia Zaidi ya Wapalestina 155, Waisraeli 28, Mmarekani na Raia wa Eritrea kuuawa kwa kushambuliwa kwa risasi na visu tangu mwezi Oktoba mwaka jana. Akihutubia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Ban amesema visa hivyo vimeongezeka kutokana na sababu mbalimbali zilizojitokeza miongoni...

Like
172
0
Wednesday, 27 January 2016
WATANZANIA WATAKIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSOMA VITABU
Local News

WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kukuza uwezo wa ufahamu na kuongeza ujuzi katika utendaji kazi wao wa kila siku. Wito huo umetolewa jana na Waziri wa Elimu, Sayansi,Teknolojia na Ufundi Profesa Joice Ndalichako kwa niaba ya Rais dokta John Pombe Magufuli katika ufunguzi wa Maonesho ya vitabu yanayofanyika katika meli ya Logos Hope inayozunguka katika maeneo mbali mbali duniani kuhamasisha usomaji wa vitabu. Profesa Ndalichako amewataka Walimu na wakufunzi wa shule na vyuo nchini kutembelea katika meli...

Like
248
0
Wednesday, 27 January 2016
SERIKALI YASISITIZA KUTENDA HAKI KWA VIONGOZI WANAORUHUSIWA KUJIHUSISHA NA SIASA
Local News

SERIKALI imesisitiza kuwa ipo makini kuhakikisha kuwa kila kiongozi anayeruhusiwa kujihusisha na masuala ya kisiasa anapata haki yake bila usumbufu wowote. Hayo yamesemwa leo Bungeni mjini Dodoma na Waziri wa nchi Ofisi ya rais, Utumishi na Utawala bora Mheshimiwa Angela Kairuki wakati akijibu swali la mheshimiwa Hafidhi Ali Tahir Mbunge aliyetaka kufahamu utaratibu wa serikali juu ya watumishi hao. Mheshimiwa Kairuki amesema kuwa watumishi ambao hawaruhusiwi kujihusisha na masuala ya kisiasa ni pamoja na Wanajeshi wa Jeshi la wananchi wa...

Like
177
0
Wednesday, 27 January 2016
MAHAKAMA AFRIKA YA KATI YAFUTA MATOKEO YA UBUNGE
Global News

MAHAKAMA ya kikatiba nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati imefuta matokeo yote ya uchaguzi wa ubunge kutokana na kasoro nyingi zilizojitokeza wakati wa uchaguzi. Mbali na hayo Mahakama hiyo pia imeidhinisha matokeo ya uchaguzi wa urais, ambao ulifanyika katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.   Hata hivyo imethibitisha kwamba mawaziri wakuu wa zamani Anicet- Dologuele na Faustin Touadere watakutana kwenye duru ya pili ya uchaguzi Februari 7 mwaka...

Like
166
0
Tuesday, 26 January 2016
PAPA FRANCIS AOMBA RADHI WAUMINI WA KIPROTESTANTI
Global News

IKIWA ni hatua ya kujumuisha umoja wa kikristo duniani, Kiongozi mkuu wa Kanisa katoliki Ulimwenguni, Papa Francis amewaomba radhi waumini wa Kiprotestanti kutokana na unyanyasaji walioupata kutoka kanisa Katoliki miaka iliyopita. Papa Francis amewataka waumini wa kanisa Katoliki pia kuwasamehe wale ambao waliwakosea ili wasiruhusu makosa yaliyotendeka kuwa sumu ya mahusiano ya sasa. Kufuatia tamko hilo msemaji wa Vatcan ametangaza kuwa Papa Francis atazuru mji wa Lund uliopo Swedish eneo ambalo jumuiya ya Kilutheri ilianzishwa na kuanzisha...

Like
233
0
Tuesday, 26 January 2016
HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA YAPEWA MWEZI MMOJA KUBOMOA JENGO REFU KATIKA MTAA WA INDIRAGHANDI
Local News

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi mheshimiwa William Lukuvi amewaagiza watendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na shirika la Nyumba la Taifa kubomoa jengo refu lililojengwa chini ya kiwango katika mtaa wa Indiraghandi ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kuanzia jana. Lukuvi ametoa kauli hiyo Jijini Dar es salaam kabla ya kuelekea kwenye ziara fupi ya kikazi wilayani Bagamoyo mkoani Pwani ambapo huko pia amebaini matatizo mbalimbali katika sekta ya Ardhi. Miongoni mwa changamoto alizozikuta ni pamoja...

Like
312
0
Tuesday, 26 January 2016
BUNGE LA 11 LAANZA KUJADILI HOTUBA YA RAIS
Local News

MKUTANO wa pili wa Bunge la 11 umeanza leo mjini Dodoma ambapo Bunge la Jamhuri ya Muungano linajadili hotuba ya Rais kwa muda wa siku tatu aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Bunge hilo. Kikao cha kwanza cha Bunge hilo kimeanza kwa kipindi cha maswali na majibu ambapo baadhi ya wabunge wamepata nafasi ya kuiuliza maswali serikali na kuhoji mikakati mbalimbali inayotarajiwa kufanywa kwa manufaa ya Taifa. Awali kabla ya kipindi cha maswali na majibu kuanza, Spika wa Bunge mheshimiwa Job...

Like
244
0
Tuesday, 26 January 2016
« Previous PageNext Page »