UMOJA WA ULAYA UMEELEZEA WASIWASI WAKE JUU YA UKANDAMIZAJI UNAOENDELEA KWENYE MPAKA WA UGIRIKI NA MACEDONIA
Global News

UMOJA wa Ulaya umeelezea wasiwasi wake kuhusu ukandamizaji unaoendelea kwenye mpaka wa Ugiriki na Macedonia, ambako polisi wa Macedonia waliwafyatulia mabomu ya kutoa machozi mamia ya wahamiaji. Msemaji wa halmashauri kuu wa umoja huo Margaritis Schinas, amesema matukio yalioonyeshwa kwenye mpaka huo siyo njia sahihi ya kushughulikia mgogoro huo. Naye Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, amesema matukio hayo yanaonyesha umuhimu wa mkutano wa kilele wa viongozi wa mataifa ya umoja wa Ulaya wa kujadili mgogoro wa...

Like
190
0
Wednesday, 02 March 2016
WOSIA ULIOACHWA NA OSAMA WAPATIKANA
Global News

IMEELEZWA kuwa aliyekuwa kiongozi wa kidini wa mtandao wa kigaidi wa Al Qaeda Osama Bin Laden aliacha urathi wa dola milioni 29 za kulifadhili kundi la Jihad kabla ya kuuawa mwaka 2011. Kwa mujibu wa wosia wake aliouandika ambao umeonekana leo ameihimiza familia yake kuheshimu wosia wake na kuwashauri watumie mali yake yote kuendeleza kundi la jihad. Mali yake na wasia wake ni miongoni mwa maelfu ya stakabadhi muhimu zilizofichuliwa leo na maafisa usalama wa Marekani ambao pia wosia huo...

Like
197
0
Wednesday, 02 March 2016
BACLEY’S YAKANUSHA KUUZWA
Local News

BENKI ya Bacley’s Tanzania imekanusha taarifa ambazo sio sahihi juu ya kusitishwa kwa huduma zake kwa madai kuwa Benki hiyo imeuzwa kwa nchi za Afrika. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijni Dar s salaam jana wakati wa kutoa ripoti ya Benki hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja kwa niaba ya mkurugenzi mkuu wa benki hiyo, mkuu wa idara ya masoko wa Bacley’s JOE BENDERA amesema kuwa Benki hiyo inaendelea kutoa huduma kwa wateja wake kwa ufasaha na inaendelea kuboresha zaidi....

Like
201
0
Wednesday, 02 March 2016
JAMII IMEOMBWA KUWASAIDIA WATOTO WANAOISHI KWENYE MAZINGIRA HATARISHI
Local News

JAMII nchini imeombwa kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi ili kupunguza vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa watoto hao. Hayo yamebainishwa Jijini Dar es Salaam na Afisa Ustawi wa jamii Neema Mambosho wakati alipokuwa akizungumza na E FM juu ya ongezeko la watoto wa mtaani. Amesema kuwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi wanakabiliwa na changamoto mbalimbali za ukatili na kunyanyapaliwa hivyo jamii inapaswa kuelimishwa ili kuzuia vitendo...

Like
203
0
Wednesday, 02 March 2016
SYRIA: MASHAMBULIZI MAPYA KUCHUNGUZWA
Global News

WAZIRI wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema madai yote ya kuvunja muafaka wa kusitisha mashambulizi nchini Syria yatachunguzwa. Hata hivyo Kerry amesisitiza kwamba Marekani na Urusi wameafikiana kutojadili madai hayo hadharani. Ameongeza kuwa pande hizo zimekubaliana kuhakikisha mashambulizi yanalenga ngome za wapiganaji wa Islamic State na Al-Nusra Front pekee....

Like
196
0
Tuesday, 01 March 2016
SENETA WA NEBRASKA AKATAA KUMUUNGA MKONO TRUMP
Global News

SENETA wa Nebraska- Ben Sasse amesema hatamuunga mkono mgombea urais anayeongoza miongoni mwa wagombea wa chama cha Republican Donald Trump. Sasse ndiye mwanachama wa kwanza wa ngazi ya juu wa chama cha Republican aliyejitokeza kutangaza hadharani kwamba hatamuunga mkono Trump. Amesema amesikitishwa sana na kuvunjwa moyo na mfanyabiashara huyo na kwamba atamtafuta mgombea mwingine wa kumuunga mkono iwapo Trump atashinda uteuzi wa Republican....

Like
231
0
Tuesday, 01 March 2016
TRA YANASA CD NA DVD ZA MUZIKI NA FILAMU ZISIZOLIPIWA KODI
Local News

MAMLAKA ya Mapato Tanzania-TRA-kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi imefanya ukaguzi wa stempu za kodi kwenye kazi za wasanii na kufanikiwa kukamata CD na DVD za Muziki na filamu 7, 780 ambazo hazina stempu za kodi. Mkurugenzi wa huduma na Elimu kwa mlipa kodi Richard Kayombo ameyasema hayo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake. Kayombo amesema kuwa msako huo ulioanza Februari 26 katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dar es salaam umebaini ukiukwaji wa sharia kutoka kwa...

Like
276
0
Tuesday, 01 March 2016
KIPINDUPINDU BADO NI CHANGAMOTO
Local News

JUMLA ya Wagonjwa wapya 473 wamegundulika kuwa na vimelea vya Ugonjwa wa kipindupindu huku Watu 9 wakipoteza maisha kutokana na ugonjwa huo katika kipindi cha wiki iliyoanza Februari 22 hadi 28 huku ripoti ikionesha kuwa ugonjwa huo bado umeendelea kusambaa kwa kasi. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es salaam Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dokta Hamisi Kigwangala amewata Wananchi kuongeza juhudi za usafi wa afya zao na mazingira kwa kuhakikisha kuwa wanazingatia kanuni za...

Like
193
0
Tuesday, 01 March 2016
ZUMA ALAANI MATUKIO YA KUCHOMA MOTO VYUO AFRIKA KUSINI
Global News

RAIS wa Afrika Kusini Jacob Zuma amelaani matukio ya kuchomwa moto kwa vyuo vikuu nchini humo.   Rais Zuma amesema hasira haipaswi kuwafanya baadhi ya  wanafunzi kufanya vitendo vinavyoweza kuwakosesha kupata huduma ya elimu pamoja na wenzao.   Kauli hiyo ya Rais Zuma inafuatia matukio ya hivi karibuni yanayodaiwa kufanywa na wanafunzi nchini humo ya  kuyachoma moto majengo ya vyuo kadhaa kwa madai ya kupinga ongezeko la ada za masomo pamoja na masuala ya...

Like
186
0
Friday, 26 February 2016
BAGHDAD: SHAMBULIZI LA KUJITOA MUHANGA LAUA WATU 15
Global News

  KIASI cha watu 15 wameuawa kufuatia shambulizi la kujitoa muhanga linalodaiwa kufanywa na watu wawili wanaoshukiwa kuwa   na mahusiano na wanamgambo wa  kundi la itikadi kali la Dola la Kiisilamu katika eneo la msikiti wa kishia mjini Baghdad.   Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya madaktari na polisi   watu wengine 50 wanadaiwa kujeruhiwa katika tukio hilo.   Duru zinaarifu kuwa mtu wa kwanza  alijitoa muhanga na kufuatiwa  na wa pili ambaye pia alijilipua baada ya maafisa usalama kufika...

Like
223
0
Friday, 26 February 2016
WAZIRI MBARAWA AZITAKA TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YAKE KUFANYA KAZI KWA WELEDI
Local News

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amezitaka taasisi zote zilizo chini ya wizara hiyo kufanya kazi kwa uwazi, weledi na uaminifu ili kuongeza mapato na kutimiza adhma ya Serikali ya kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025.   Prof. Mbarawa ametoa wito huo mkoani Kilimanjaro katika majumuhisho ya ziara yake ya mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro iliyolenga kukagua miradi ya ujenzi wa barabara, viwanja vya ndege, Posta, TTCL, TBA na TEMESA.   Waziri Mbarawa amewataka mameneja na...

Like
168
0
Friday, 26 February 2016
« Previous PageNext Page »